Mke wa mtu ameniponza

ebwana eeeh andaa vaseline kabisa
Sasa Tanzania ina utajiri gani mkuu ?, huo ndiyo ukweli sisi Tanzania ni maskini ndiyo akina Dangote wanakuja kuekeza huku mana hakuna mtanzania mwenye pesa za kujenga kiwanda cha saruji pamoja na bandari, ni maskini ya kutupwa watanzania wote ila ni matajiri wa kutoa laana, kila kitu utaskia laana hii
 
nipo my dear..salama lkn?
Salama tu wangu, kitambo sana hatuja wasiliana ngoja nikufuate inbox niache nafasi hapa watu waendelee kumpa ushauri jamaa yangu maana haya majanga yanaweza kumpata mwanaume yoyote aliye rijali, wanawake wa siku hizi atakwambia sijaolewa ili umkubali kiulaini na mwisho wa siku yanatokea kama haya, utajuta kuzaliwa
 







pombe..........
vis uhame da..........
mdogo angu yupo nyumban walimsindikiza mpaka moro hao jamaa sio wazur bora bado yupo hii maana na kaz aliiacha tumempa bajaj anapigia dili tuu sasa....
tatizo umekua YONA kukimbia Mungu alikokuita ndo Papa anakumeza hivyo.....
 
Hahaha
Aiseeeh nyie wote Malaya tu.
Natamani hii dozi ya dawa ninayomeza iishe nianze zangu kunywa kikombe cha babu.
Maisha yenyewe mafupi halafu full stress.
We jiandae tu kuvunjiwa chelewa ndani ya mboo.
 
kutana na mwanaume mwenzio zungumza nae na wewe uwe mpole then huyo mwanamke kama hajapewa talaka acha hatakama unamtak bdo yan kesi yako c mchezo bora ungeendelea kuwa padri maana asali ukionja lazma utataka ziaid {just a joke} ukikimbia utaishi kwa mashaka sana
 
Kutembea na mke wa mtu ni kosa,ila kumzalisha mke wa mtu ni DHARAU
 
Dah njaa zingine mbaya sana ! wenzio tulikuwa tunakomaa unatembea kutoka Buza hadi posta na vyeti unasaka kazi ,na mademu tuliwakimbia wewe unalainishwa kilaini hivo .....subiri wakuchome moto !
 
mathew chance usimuogope mwanaume mwenzio we pambana mpk mwisho tena akija we muite huyo mke wake mbele yake kisha umuulize anataka kwenda kwa nani
 
Last edited by a moderator:
Nahisi jamaa ataku 0713
Duu nh
Ngoja nitarudi!
 
Pole ni mtihani ya Dunia lakini nakushaur mludie mungu wako,ukaache uzinzi kabisa na starehe za Dunia,Bado nafasi unayo..hakika uanweza kuwa mfano mzuri katika jamii endapo utachukua hatua na kuacha Tabia ya Uzinzi,chukua hatua kijana,bila hivyo utakuwa katika hali ngumu sana..
Jesus loves you hata kama wanadamu wa hapa Jf wanakuvunja moyo lakini mungu anakupenda ...just cry to Him
 
halafu naww ntaanza kukukagua mda si mrefu
 
si ulijifanya fundi kwa mke wa mwenzio? hilo lako mkuu tena jipange
 
tatzo umeanzia mapenz ukubwan... hapo suluhu n kuhama... hata ukimalizqna na huyo jamaa lakn hao wanawake wataendelea kukusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…