NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,383
- 12,946
Wanaume wenzangu mpenzi/mke wako unapomkosea kili kosa/ omba radhi na ikiwezekana piga hata magoti haswa unapojua kuwa amegundua unavyo mcheat maana ni watu wa visasi Hawa.
Ipo hivi Kuna dada mmoja black beauty huko nyuma kafunga utadhani haendi chooni, NALIA NGWENA nilikua niliomba namba za simu nilipewa lakini alikua mgumu sana kwenye masuala ya kukutana kama nilivyorusha vesi zangu tongozo nilimuelezea hisia namna gani Ngwena nammezea mate lakini juhudi zangu ziligonga mwamba na hakuwahi kuniambia kuwa yeye ni mke wa mtu.
Holiday moja nilikua ninasort mambo yangu niliona meseji ikisema upo wapi kucheki vizuri ni ya Yule madam X, nilimjibu home na alisema nimuelekeze aje, mjuba sikua na hiyana mara gafla mtoto wa kike yupo ndani.
Nikatishe story twende kwenye point Sasa baada ya hapo ndipo aliniambia kuwa yeye ni mke wa mtu but amefanya hivyo ilikulipiza kisasi kutokana na mume wake huyo anaye mcheat hadharani, anafanya mambo anayotaka yeye kiufupi jamaa hamuheshimu kabisa.
NALIA NGWENA nilipata funzo hapo kumbe wanawake/wapenzi huwa ni watu wa visasi, na tunatakiwa wanaume tuombe msamaha /kukiri Kama kweli umebainika kuwa ulikua unatenda kosa.
Ukiomba msamaha itasaidia sana kuliko kujifanya mwanaume wa shoka/mjuaji na yeye ataamua kufanya maamuzi yake binafsi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ipo hivi Kuna dada mmoja black beauty huko nyuma kafunga utadhani haendi chooni, NALIA NGWENA nilikua niliomba namba za simu nilipewa lakini alikua mgumu sana kwenye masuala ya kukutana kama nilivyorusha vesi zangu tongozo nilimuelezea hisia namna gani Ngwena nammezea mate lakini juhudi zangu ziligonga mwamba na hakuwahi kuniambia kuwa yeye ni mke wa mtu.
Holiday moja nilikua ninasort mambo yangu niliona meseji ikisema upo wapi kucheki vizuri ni ya Yule madam X, nilimjibu home na alisema nimuelekeze aje, mjuba sikua na hiyana mara gafla mtoto wa kike yupo ndani.
Nikatishe story twende kwenye point Sasa baada ya hapo ndipo aliniambia kuwa yeye ni mke wa mtu but amefanya hivyo ilikulipiza kisasi kutokana na mume wake huyo anaye mcheat hadharani, anafanya mambo anayotaka yeye kiufupi jamaa hamuheshimu kabisa.
NALIA NGWENA nilipata funzo hapo kumbe wanawake/wapenzi huwa ni watu wa visasi, na tunatakiwa wanaume tuombe msamaha /kukiri Kama kweli umebainika kuwa ulikua unatenda kosa.
Ukiomba msamaha itasaidia sana kuliko kujifanya mwanaume wa shoka/mjuaji na yeye ataamua kufanya maamuzi yake binafsi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app