Mke wa mshikaji simuelewi

Mke wa mshikaji simuelewi

Ni shem wangu anapitia kipindi kigumu na mumewe na ananishirikisha mpk siri zake za ndani na analalamika kuwa jamaa hamjali na hata huduma ya unyumba haipati nimemshauri mpk nimeshindwa kuwaweka sawa hii ipoje
Kula kimasihara
 
Mumewe akigundua ukaribu wako na mkewe atahisi kua wewe ndio sababu ya ugomvi wa kwenye ndoa yao,kitakachofuata najua unakitambua tayari.
 
Usitembee na mke wa mshkaji wako au ndugu yako utapoteza vingi sana na utajihisi una hatia siku zote za maisha yako.
 
Ni shem wangu anapitia kipindi kigumu na mumewe na ananishirikisha mpk siri zake za ndani na analalamika kuwa jamaa hamjali na hata huduma ya unyumba haipati nimemshauri mpk nimeshindwa kuwaweka sawa hii ipoje
Mimi nakubanika kwanza ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kula nyama ya mtu

Kichwa chako kinakuwa mchemsho wa supu asubuhi
 
wanawake sio wa kuwaamini,tena ogopa mwanamke anayeweza kutoa siri za ndani kwake kwa mtu baki wakati kuna wazazi wake hata kama ni sogea tuishi,nachojua nyumbani kukiwa na tatizo lazima kama familia mkae kwanza mujue tatizo ni nini
mwanamke pia unatakiwa kuangalia mwanamme anapitia changamoto gani kama psycholojia haiko sawa basi ujue na unyumba itakuwa shida.
Ushauri wangu kaa naye mbali
🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom