Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Nasikia yuko hoi uingereza wenye uthibitisho wa hili watujuze
Mke wa Magufuri hana Kimbelembele
tulia we gambaMke wa Magufuli ana uhakika wa kuwa first lady ndo maana hahangaiki km huyo mbibi mke wa mzee wa maumvi, a.k.a mzee wa kujinyeaaaaa. namcheka kwa dhalau hahahahaahahahahaha.......
Mbona Michell Obama mkewe alikua ana msaidia Obama kwenye kampeni? Shida iko wapi? Wote wawili wajitokeze na mme wa mgombea ACT nae ajitokeze ku msaidia mkeo.