Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Huhuhuhuhu wana hizo tabia za kumfanya mwanamke kama punda ni ukweli usiopingika mtasemwa sanadada naona unataka kuvuka mipaka sasa, kutuita sisi manyau wa kanda ya ziwa ni sawa na kumtukana kuingoz wa nchi hii na nchi ya Tz kwa ujumla, emb kuwa na adabu kwa watu usiowajua..
Kanda ya ziwa oyeeeeeeeeeee!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
