Mke wa kaka hataki kunifulia

mchape makofi, yani anataka ufue wakati kaka ni wako?
Lakini pia tafuta msaada kituo cha afya wakupime akili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
NGOMA DRAW.,mbona wewe ulikataa KUFUKUZA JOGOO kwa ajili ya kuchinja siku XMASS.....ukikaa kwa KAKA,,mambo kama kufukuza KUKU,,kwenda KUSAFISHA BANDA LA KUKU,,NK ni KAWAIDA mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume wa dar huyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Ujinga siku hizi unafundishwa mashuleni.
 
Utakuwa raia wa kanda ya ziwa wewe, sio kwa jeuri hiyo
 
Kiazi kweli, yani mke wangu anifulie mimi na wewe tena? Oa wako!!
 
Hapa unakosea bibie...ndiyo hapaswi kumfulia shemejiye...lakini mumewe ni lazima amfulie...maana hata vitabu vitakatifu vimesema wanawake ni wasaidizi wetu.....
Kwa mujibu wa sheria za kiislamu sio lazima ni sunna asipofanya sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…