Mke wa jirani yangu ananisumbua

Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na kuniletea either matunda au chochote kile. Wiki end hii kaniletea bukta eti anasema ya kulalia. Je nifanyeje nimwambie mke wangu?

Na huyu mkeo ugomvi wenu ulikwisha? Ref. Topic: 'Wanawake wana roho mbaya sana!'
 
Na baada ya vyoote amuambie mkewe amshukuru mke wa jirani kwa bukta ya kulalia.

Angekuwa na mke mwenye akili ndefu kama mie, namuambia 'jirani asante kwa bukta. Sie hulala bila nguo, so inanifaa mie wakati niko masika. Next time umpe bukta kubwa manake hizi hipsi na wowowo langu havienei'

Hahahaaaa....King'asti umenichekesha mbayaaaaaaaaaaaaaa.....Dah!
 
Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na kuniletea either matunda au chochote kile. Wiki end hii kaniletea bukta eti anasema ya kulalia. Je nifanyeje nimwambie mke wangu?

Akikuletea unavipokea au unavificha haraka kwenye gari ??? Hiyo bukta umeichukua? unaivaa? mkeo alivyoiona ulimwambia umeinunua au umepewa?
 
Ipo siku atawaona mme wake ndooo utajua kama mnacheza au mnataka kuchezeana
 
ngoja waje wenye busara

mie hapa naona wote wawili mmevuta mneli na hamjui mwendako.

Wee mzawadie matoke.

Ndio maana nasema wanaume wameisha wamebaki wavulana tu..
Mke wa mtu anakupa bukta..huwezi kuamua mwenyewe hadi uje JF?...lol!
 
Ha ha ha ha, wamekwisha kwa kweli
Yaani maswali mengine unashangaa anayeuliza ni mme wa mtu lol

Ndio maana nasema wanaume wameisha wamebaki wavulana tu..
Mke wa mtu anakupa bukta..huwezi kuamua mwenyewe hadi uje JF?...lol!
 
Ndio maana nasema wanaume wameisha wamebaki wavulana tu..
Mke wa mtu anakupa bukta..huwezi kuamua mwenyewe hadi uje JF?...lol!

Mara nyingine watu hutaka kuandika fantasies zao kama ukweli.

Kwa hiyo mwenye kumtamani mke wa jirani yake na kutaka siku moja azawadiwe bukta naye, ataandika kazawadiwa bukta na mke wa jirani yake.

Ilimradi kama hakijatokea katika ulimwengu wa kweli, kitatokea katika ulimwengu wa JF.

I am not saying this is the case here, but it is becoming increasingly common to warrant this caveat.
 
Napita tu kwani nakwazika. Hivi mtu anaweza tu kukuletea bukta bila sababu, ni lazima kuna hali fulani ya kutakana ya wawili iliyopelekea bukta au matunda kutolewa. Hebu tupe historia ya before kupewa bukta au before kutolewa matunda. Inawezekana mtoa mada alibeep akapigiwa, sasa analalamika.
Mkuu usinye mlangoni, patanuka.
 
Back
Top Bottom