Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 551
Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na kuniletea either matunda au chochote kile. Wiki end hii kaniletea bukta eti anasema ya kulalia. Je nifanyeje nimwambie mke wangu?
Na huyu mkeo ugomvi wenu ulikwisha? Ref. Topic: 'Wanawake wana roho mbaya sana!'