dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Ni baada ya kuhisi kuwa mke wangu anamtamani mume wake ndipo Jana nimekutana nae dukani kwa mangi akaniambia.Mkeo na mume wangu naskia wana mahusiano.kama vipi na sisi tulipize kwa kugegedana.Kama haitoshi Leo asubuhi kaja ninapokaa kuchota maji na khanga moja.
Swali nimgegede au nipotezee Kesho nikampe kura yangu Lowasa.
Swali nimgegede au nipotezee Kesho nikampe kura yangu Lowasa.