Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Kocha Wenger...mbona umemkomalia sana huyo msaidizi? Yaani huoni uwezekano wa wengine....unaanza kunikumbusha yale ya akina Malvo na mwenzake maana jamaa walikomalia na profile za ma serial killer huku wakiwaacha jamaa waendelee kufanya uhalifu wao...