Mke ni 'kiburudisho cha mume'?

Mke ni 'kiburudisho cha mume'?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Leo nimeona tuzungumze kitu hiki ambacho nimekiona mahala..

Wanawake weengi wanasema au wanataka waume zao wa demand na kupewa 'mahitaji yoote' ya sex na burudani za kingono kutoka kwa wake zao...

Utasikia wanawake wakisema 'nitakupa au kukufanyia chochote utakacho' au uutasikia wakisema 'si mwambie au mfundishe mkeo ili akuridhishe'....

Sasa kwa wanaume weengi mara nyiingi huwezi sikia 'wakiwazungumzia wake zao' ki 'burudani zaidi' most of time mke atazungumzwa 'kiheshima' na kama kuna mazungumzo ya 'burudani za kingono' mostly utasikia wanaume wanataja 'vifaa vya pembeni' kama reference...

Sasa hapa ndo nilipoona kuna kitu cha kujadili.......au kuulizana maswali yangu yako hivi kwa wanaume na wanawake wa JF....

Kwa wanaume:
1. Mke unaona ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex?
2. Mke anatakiwa kukupa burudani zoote utakazo hitaji? wild sex? anything on the menu?
3. Mstari wa kumheshimu mkeo na hapo hapo alkuburudishe kisawa sawa ukoje?
4. Je, kuna vitu kwa mkeo ni marufuku lakini kwa pembeni ni fair game?

Kwa wanawake
1. Mke unatakiwa kumpa burudani yeyote atakayohitaji mumeo ili aridhike?
2. Mstari wa yeye kukuheshimu na still umpe burudani atayotaka uko vipi?
3. Unafikiri mke na mume 'wawe na mipaka kwenye sex'? ipi hiyoo?

Je, kama mumeo 'anatoka nje kutafuta burudani' ambayo wewe 'anakuheshimu sana' hataki umpe utapenda kutatua tatizo hilo vipi? Ufundishwe uweze?

Baadhi ya burudani ambazo watu huzitafuta lakini unaweza kukuta kwa mke hawezi demand
1. Lap dance
2. Striping n tease
3. Threesome..
4. Sex on the beach, public spaces n.k...
5. Na nyingine mtakazoziongezea...

Karibuni......
 
Yaani kwanza ni marufuku mke wangu kulala na nguo.
Yes, ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex, sipendi aniletee kauzibe au mizengwe yoyote, napenda aniachie mwili wake wote nijivinjari kwa raha zangu kila nipatapo ashki.
Anipe burudani zote nitakazo hitaji hilo ni jukumu lake kama mke wangu.
 
Yaani kwanza ni marufuku mke wangu kulala na nguo.
Yes, ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex, sipendi aniletee kauzibe au mizengwe yoyote, napenda aniachie mwili wake wote nijivinjari kwa raha zangu kila nipatapo ashki.
Anipe burudani zote nitakazo hitaji hilo ni jukumu lake kama mke wangu.


wewe ukiwa na mkeo 'hakuna mipaka'?
everything is on the menu?
 
Wanawake wa uswahilini ndiyo wanatamka maneno hayo (eti nitakupa kila kitu) ,kwao wanaamini kitu cha maana cha kumpa mwanamme ili ampende ni K
 
Mi ngoja nipite zangu maana ni mke vs mume, na nyumba ndogo, mimi nipo neither of the above!!!! Nikisema chochote tu LAZIMA ITIFAKI itakumbushiwa, ngoja niwe mtazamaji na MBONYEZA LIKES!!!!!!
 
Wanawake wa uswahilini ndiyo wanatamka maneno hayo (eti nitakupa kila kitu) ,kwao wanaamini kitu cha maana cha kumpa mwanamme ili ampende ni K

Inasemekana kama mwanaume si mlevi wa pombe wala sigara basi ulevi wake utakuwa ni K, hivyo K ni kiburudisho murua cha kumliwaza mwanaume hata anapokuwa na msongo wa mawazo.
 
kwani wana tofauti gani na wanamme?

Wanamme nao hudhani B ndio zawadi kuu ya ushindi duniani.

Kukiwa na kamtafaurku kidogo tu, mkisuluhisha unazawadiwa.

Mule mule wake kwa waume.

Wanawake wa uswahilini ndiyo wanatamka maneno hayo (eti nitakupa kila kitu) ,kwao wanaamini kitu cha maana cha kumpa mwanamme ili ampende ni K
 
Mi ngoja nipite zangu maana ni mke vs mume, na nyumba ndogo, mimi nipo neither of the above!!!! Nikisema chochote tu LAZIMA ITIFAKI itakumbushiwa, ngoja niwe mtazamaji na MBONYEZA LIKES!!!!!!

wewe unataka waume za watu waridhishwe na wake zao?
au wawe na 'heshima na wake zao'?
lol vingine waende kwa kina lara1?
 
Nadhani huu uzi ni mahsusi kwa walio kwenye ndoa... Mie ngoja niondoe kiwingu..!
 
nice mada The Boss ...
it really differs from couple to couple. inategemea mazoea yenu. zipo couples ambazo mahusiano yao yako kimissionary sana na zingine ambazo mahusiano yao yapo kivegas. from "missionary" to "vegas" tunaweza kuchora graph. in other words couples range in that line. wapo wanawake ambao kuwapa waume zao b**w job ni "kukosewa heshima" so wanaume wanaitafuta hiyo service elsewhere wakati kwa couple zingine wife anaweza toa hiyo service ndani ya gari...so it all depends.

vilevile hutegemea shared exposure na social environment ya couple husika...kwa wengine sex on the beach ni okay...kwa wengine even a peck kwenye kadamnasi ya familia is a big NO.

wengine wanawekeana stripping polls ndani ya master zao ila kwa mazingira yetu I'm not very sure...ila kama watu wana exposure hiyo na wanakubaliana, y not?

kwa wengine marriage has some degree of fun, kwa wengine marriage has less fun more rigidness (sijui niiweke hivyo) so lazima watofautiane....

ambalo mie naliona SIO SAWA hata mtu aniconvince vipi, ni sodomy coz hiyo ni DHAMBI!

huo ndiyo uelewa wangu, i stand to be corrected...
 
wanawake wengine husema 'mambo hayo kawafanyie ma.laya zako huko'
umenipata?

Tendo la ndoa ni burudani kwa kila mmoja wetu na kila lifanywapo tunategemea kila mmoja kulifurahia.
Vitendo wanavyofanyiwa malaya ni vya kinyama na kuudhalilisha utu wa mwanamke.
Nami Nampenda sana mke wangu na ninamuheshimu sana siwezi kumfanyia kitu ambacho hata kifurahia.
 
Everything should be on the menu except 'fornication', which should be decided well ahead of the relationship. Mfano, kwangu mimi fornocation ni pamoja na 'tigo' na threesome.
Hiyo threesome is very unfair kwa wanawake jamani. Hivi bossman, mkeo akisema mfanye threesome na boss wake mwanaume utakubali?
 
wewe unataka waume za watu waridhishwe na wake zao?
au wawe na 'heshima na wake zao'?
lol vingine waende kwa kina lara1?

Kwangu nafasi ya mume wa mtu hamnaaaa! Sitaki stress za ada ya mtoto sijui, wakwe wanahitaji nauli waje, harusi ya shemeji blah! blah! blah! achia mbali risk ya kuchanwa chanwa na VIWEMBE mkifumaniwa chobingo!!!!!! Mi wangu VIJANA wasio na majukumu na Pesa ya ziada ipo ikiningoja niitumie.

Kuhusu kuwafurahisha na kuwaridhisha Wake zao ni haki kwa kweli, ukizingatia baada ya uzazi, SEXY SHAPE KUSHNEY BABUJ, Tambi tambi, nido saa nane kasorobo ya usiku, they have sacrifised a lot to start a family with you, so its fare n square UMPE EXTRA LOVE, CARE N RESPECT, Hata kama viwango vyake kwenye 6 by 6 ni F umuangalie mwanao na kumshukuru mamushka (shughuli ile ya kuleta kiumbe ni balaaaa! Nusu ya kufa)

Sio mkeo akizaa, shepu kushney unaanza kumkwepa kutoka nae out!

Mimi mume wa mtu hata iweje simpi KIDUDE for the sake of the wife!!!! Ila pesa yake naila mtanisamehe kwa hilo!.
 
nice mada The Boss ...
it really differs from couple to couple. inategemea mazoea yenu. zipo couples ambazo mahusiano yao yako kimissionary sana na zingine ambazo mahusiano yao yapo kivegas. from "missionary" to "vegas" tunaweza kuchora graph. in other words couples range in that line. wapo wanawake ambao kuwapa waume zao b**w job ni "kukosewa heshima" so wanaume wanaitafuta hiyo service elsewhere wakati kwa couple zingine wife anaweza toa hiyo service ndani ya gari...so it all depends.

vilevile hutegemea shared exposure na social environment ya couple husika...kwa wengine sex on the beach ni okay...kwa wengine even a peck kwenye kadamnasi ya familia is a big NO.

wengine wanawekeana stripping polls ndani ya master zao ila kwa mazingira yetu I'm not very sure...ila kama watu wana exposure hiyo na wanakubaliana, y not?

kwa wengine marriage has some degree of fun, kwa wengine marriage has less fun more rigidness (sijui niiweke hivyo) so lazima watofautiane....

ambalo mie naliona SIO SAWA hata mtu aniconvince vipi, ni sodomy coz hiyo ni DHAMBI!

huo ndiyo uelewa wangu, i stand to be corrected...

Thanx kwa mchango
umeelewa mno mada yangu

sasa swali hapa ni hili......'mke anatosha kuwa burudani kwa mume'?
 
wanawake wengine husema 'mambo hayo kawafanyie ma.laya zako huko'
umenipata?

tatizo la wanandoa kuogopana. What is wrong with a nice bj, lap dance ama strip tease with your hazbend? Tunarudi.kule.kwenye 'shkamoo mume wangu'. Baada ya shkamoo kuna lapdance kweli? Im seriously considering kuweka strip pole in my bedroom,lol
 
Back
Top Bottom