The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Leo nimeona tuzungumze kitu hiki ambacho nimekiona mahala..
Wanawake weengi wanasema au wanataka waume zao wa demand na kupewa 'mahitaji yoote' ya sex na burudani za kingono kutoka kwa wake zao...
Utasikia wanawake wakisema 'nitakupa au kukufanyia chochote utakacho' au uutasikia wakisema 'si mwambie au mfundishe mkeo ili akuridhishe'....
Sasa kwa wanaume weengi mara nyiingi huwezi sikia 'wakiwazungumzia wake zao' ki 'burudani zaidi' most of time mke atazungumzwa 'kiheshima' na kama kuna mazungumzo ya 'burudani za kingono' mostly utasikia wanaume wanataja 'vifaa vya pembeni' kama reference...
Sasa hapa ndo nilipoona kuna kitu cha kujadili.......au kuulizana maswali yangu yako hivi kwa wanaume na wanawake wa JF....
Kwa wanaume:
1. Mke unaona ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex?
2. Mke anatakiwa kukupa burudani zoote utakazo hitaji? wild sex? anything on the menu?
3. Mstari wa kumheshimu mkeo na hapo hapo alkuburudishe kisawa sawa ukoje?
4. Je, kuna vitu kwa mkeo ni marufuku lakini kwa pembeni ni fair game?
Kwa wanawake
1. Mke unatakiwa kumpa burudani yeyote atakayohitaji mumeo ili aridhike?
2. Mstari wa yeye kukuheshimu na still umpe burudani atayotaka uko vipi?
3. Unafikiri mke na mume 'wawe na mipaka kwenye sex'? ipi hiyoo?
Je, kama mumeo 'anatoka nje kutafuta burudani' ambayo wewe 'anakuheshimu sana' hataki umpe utapenda kutatua tatizo hilo vipi? Ufundishwe uweze?
Baadhi ya burudani ambazo watu huzitafuta lakini unaweza kukuta kwa mke hawezi demand
1. Lap dance
2. Striping n tease
3. Threesome..
4. Sex on the beach, public spaces n.k...
5. Na nyingine mtakazoziongezea...
Karibuni......
Wanawake weengi wanasema au wanataka waume zao wa demand na kupewa 'mahitaji yoote' ya sex na burudani za kingono kutoka kwa wake zao...
Utasikia wanawake wakisema 'nitakupa au kukufanyia chochote utakacho' au uutasikia wakisema 'si mwambie au mfundishe mkeo ili akuridhishe'....
Sasa kwa wanaume weengi mara nyiingi huwezi sikia 'wakiwazungumzia wake zao' ki 'burudani zaidi' most of time mke atazungumzwa 'kiheshima' na kama kuna mazungumzo ya 'burudani za kingono' mostly utasikia wanaume wanataja 'vifaa vya pembeni' kama reference...
Sasa hapa ndo nilipoona kuna kitu cha kujadili.......au kuulizana maswali yangu yako hivi kwa wanaume na wanawake wa JF....
Kwa wanaume:
1. Mke unaona ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex?
2. Mke anatakiwa kukupa burudani zoote utakazo hitaji? wild sex? anything on the menu?
3. Mstari wa kumheshimu mkeo na hapo hapo alkuburudishe kisawa sawa ukoje?
4. Je, kuna vitu kwa mkeo ni marufuku lakini kwa pembeni ni fair game?
Kwa wanawake
1. Mke unatakiwa kumpa burudani yeyote atakayohitaji mumeo ili aridhike?
2. Mstari wa yeye kukuheshimu na still umpe burudani atayotaka uko vipi?
3. Unafikiri mke na mume 'wawe na mipaka kwenye sex'? ipi hiyoo?
Je, kama mumeo 'anatoka nje kutafuta burudani' ambayo wewe 'anakuheshimu sana' hataki umpe utapenda kutatua tatizo hilo vipi? Ufundishwe uweze?
Baadhi ya burudani ambazo watu huzitafuta lakini unaweza kukuta kwa mke hawezi demand
1. Lap dance
2. Striping n tease
3. Threesome..
4. Sex on the beach, public spaces n.k...
5. Na nyingine mtakazoziongezea...
Karibuni......