tryphone005
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 453
- 507
- Thread starter
- #21
Amina mkuu, na iwe hivyo!Kila LA heri mkuu,Mungu akujalie hitaji LA moyo wako,..
Amina mkuu, na iwe hivyo!Kila LA heri mkuu,Mungu akujalie hitaji LA moyo wako,..
Tatizo unawabagua sana Wa hapo mtaani kwakoWasio wema hawajisemi mkuu, ukisikia paa, ujue imekukosa!
Mkuu siku hizi watu wanakuwa netzen zaidi kuliko kuwa citizen, tunaishi mtandaoni kuliko mtaani so wacha tuoe hukuhuku,Tatizo unawabagua sana Wa hapo mtaani kwako
Haya bna kila LA kheri ila kuwa makini.Mkuu siku hizi watu wanakuwa netzen zaidi kuliko kuwa citizen, tunaishi mtandaoni kuliko mtaani so wacha tuoe hukuhuku,
Mke mwema anatoka kwa bwanaNalipanda hili jukwaa tena kwa heshima zote na taadhima, ni wengi wameleta maombi yao humu ya kutafuta mwenzi wa maisha na wamefanikiwa,
Na mm sio ajabu nikirudia ombi langu humu, natafuta mke mwema.
Asiwe mpenda makuu, awe na elimu walau awe na fani yake maalum, awe mkweli, awe mkazi wa dar ama pwani, umri 23-28,
Kuhusu mm please jisikie huru kuja pm tuwasiliane kwa undani zaidi,
Welcome!
Asante sana mkuu, hapo kwenye umakini ndio tunamtegemea BWANA sasa, atuepushie kila nafsi isiyofaa,Haya bna kila LA kheri ila kuwa makini.
Amina..Asante sana mkuu, hapo kwenye umakini ndio tunamtegemea BWANA sasa, atuepushie kila nafsi isiyofaa,
Kila LA heri mkuu,Mungu akujalie hitaji LA moyo wako,..
Wahi kwenda fursa hiyo.Niende nisiende
Uchumba ukikomaa unazaa ndoa.amakweli digital wake mitandaoni. Mm kweli mshamba nilijua mchumba tu ndio anatafutwa mitandaoni kumbe hadi mke
Yaani wale wadada wakiweka tu uzi , unakutana na reply kama mia moja za kuwahi nafasi, nahisi wao wenyewe huwa wanachanganyikiwa, lakini sisi wanaume ukimpata mdada ujue kweli amekuelewa,sasa wewe ndugu yangu, hauko siriaz, manake kuna wadada humu wengi tu wanaleta nyuzi la kutafuta waume, sasa kwanini usiwafate pm wale wanaotafuta waume humu kuliko kuanzisha thread
Ficha aibu yakochangamkia fursa ila muulize ataweza kukugaramia mtaji upo ATM inasoma anajua kutombana
Naomba nimteteeee. ..ukianzisha thread Ni rahisi kupata!sasa wewe ndugu yangu, hauko siriaz, manake kuna wadada humu wengi tu wanaleta nyuzi la kutafuta waume, sasa kwanini usiwafate pm wale wanaotafuta waume humu kuliko kuanzisha thread
Asante sana mkuu,Naomba nimteteeee. ..ukianzisha thread Ni rahisi kupata!
Wema wapo hata mikoani ila umesema dar, au pwani ndo tushakosa fursa. Any way kila lakheri Mkuu Mungu akuonekanieAmina mkuu, na iwe hivyo!