Mke mwema upo wapi?

Nalipanda hili jukwaa tena kwa heshima zote na taadhima, ni wengi wameleta maombi yao humu ya kutafuta mwenzi wa maisha na wamefanikiwa,
Na mm sio ajabu nikirudia ombi langu humu, natafuta mke mwema.
Asiwe mpenda makuu, awe na elimu walau awe na fani yake maalum, awe mkweli, awe mkazi wa dar ama pwani, umri 23-28,
Kuhusu mm please jisikie huru kuja pm tuwasiliane kwa undani zaidi,
Welcome!
Mke mwema anatoka kwa bwana
 
sasa wewe ndugu yangu, hauko siriaz, manake kuna wadada humu wengi tu wanaleta nyuzi la kutafuta waume, sasa kwanini usiwafate pm wale wanaotafuta waume humu kuliko kuanzisha thread
 
sasa wewe ndugu yangu, hauko siriaz, manake kuna wadada humu wengi tu wanaleta nyuzi la kutafuta waume, sasa kwanini usiwafate pm wale wanaotafuta waume humu kuliko kuanzisha thread
Yaani wale wadada wakiweka tu uzi , unakutana na reply kama mia moja za kuwahi nafasi, nahisi wao wenyewe huwa wanachanganyikiwa, lakini sisi wanaume ukimpata mdada ujue kweli amekuelewa,
 
sasa wewe ndugu yangu, hauko siriaz, manake kuna wadada humu wengi tu wanaleta nyuzi la kutafuta waume, sasa kwanini usiwafate pm wale wanaotafuta waume humu kuliko kuanzisha thread
Naomba nimteteeee. ..ukianzisha thread Ni rahisi kupata!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom