katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Wajameni tujadili hili kwa maana inaonekana ndoa kwa sasa ni mjukuu au zilipendwa hebu tushauriane shida nini ??
Mbona mmekata tamaa haswa wanaume??
Tatizo nini??
Mbona mmekata tamaa haswa wanaume??
Tatizo nini??