Mke mwema nani amjuaye?

Mke mwema nani amjuaye?

Ila jua Jana ngumu kupata alie na sifahizo mojakwamoja
 
Sifa hizo za mke mwema kuzipata zote siku hizi imekuwa adimu sana sawa na kutafuta bikra kwa changudoa.
 
Tupo wachache itabid tupelekwe kwenye makumbusho ya Taifa
 
Hizi ni sifa halisi za mwanamke wa kweli

1. Ni nguvu ya mwanaume
2. Ni jasiri
3. Mchapakazi
4. Mwenye kujiamini
5. Tegemeo la familia
6. Mwalimu wa watoto na familia yake kiujumla
7. Mlinzi wa mwanaume.
8. Chanzo cha baraka ya familia.
9. Adui wa maadui wa familia.
10. Sauti ya familia.
11. Mponyaji wa familia yake na taifa.
12. Mlezi wa huduma.
13. Mkombozi wa familia na taifa.
14. Msaidizi wa Mungu tumfanyie msaidizi wa kufanana naye.
15. Mwombezi wa familia, huduma na taifa.
16. Mficha siri wa Mungu
Nadharia na vitendo tafauti ungekuwa nadharia na vitendo ni sawa ningetafuta kwa gharama yoyote kama hujaolewa. Ila kwa kuwa najua hilo hata sioni umuhimu wa andiko lako hukuna uliwezaye hata uliyeandika huliwezi.
 
Tupo na humu tumejaa tele.
mm nikiwa mmojawapo. mume wangu analijua hili. teh teh. jifagilie mwenyewe!!
 
Back
Top Bottom