Wana jf me nakuambia msimcheke huyo dada yann me nnaeujua huo utam namsupport kabsaaa,kupata ukimwi unaweza kuupata kokote tu...ngoja niwaambie me nina mme wa mtu na tumeshapima na alishamlazimisha mkewe nae keshapima na hivi sasa tunahangaika kutafuta mchumba wa kunioa mimi ili tuibe vizuri tupate pa kubadilishia ladha.......we unasema mumewa mtu sumu hujajaribu nakuambia kamwe hutatamka hayo maneno...........acha maneno me nakuambia