mark girland
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,026
- 757
Anazingua huyu mbele ya mabaharia..Hahahaha mabaharia hatukubaliani kabisa na mtoa mada. .Hizi conspiracy theory anazo taka kutulisha hazi apply katika dunia hii ya sasa
Anazingua huyu mbele ya mabaharia..Hahahaha mabaharia hatukubaliani kabisa na mtoa mada. .Hizi conspiracy theory anazo taka kutulisha hazi apply katika dunia hii ya sasa
🤣🤣🤣🤣Anajikuta Angelo 🤣🤣🤣
Kwa bahati mbaya bado hawawezi kupata same treatment maana ile treatment nyingine ataipata kwa baba yako!! Kwahyo mizani za hawa watu haziwezi kulingana kamwe lazma kuna sehemu utaegamia kidgo tu