MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,137
- 3,942
Ulishawahi kuishi au kushuhudia mwanamke mbishi anajifanya anajua kila kitu yaani yeye ndio profesa,nabii ingawa lowkey unajua yeye ni bongo lala?
Unaishia kufanya mambo kimya kimya smart maana haelimiki na ajitambui kuwa mbishi baadae anajiona alipiga boko?
Unaishia kufanya mambo kimya kimya smart maana haelimiki na ajitambui kuwa mbishi baadae anajiona alipiga boko?


