Hasira za nn wewe "mama" (kama mumeo anavyokuita)wanichukia bure "mama" uzi si wangu wewe si wako chuki ya nini kati yangu mimi na wewe,sina makosa sina makosa mie.
Hasira za nn wewe "mama" (kama mumeo anavyokuita)wanichukia bure "mama" uzi si wangu wewe si wako chuki ya nini kati yangu mimi na wewe,sina makosa sina makosa mie.
Ndio akili za wanaume wengi wakiambiwa thamani ya mke wao hudhani wake wanafananishwa na mama zao, wanakua mbogo balaa lakini hao hao mama zao wanalalia telemka tukaze huku wake zao waki bang na ma iPhone sasa sijui wanatumiaga akili za wapii...ila Mkuu Daktari sio mama yako don't take it personal