Mke kazidi mizaha

Shida inaanzia hapo wewe kutompiga japovibao kadhaa. Kuna watu mpaka nguvu itumike ndio wanaelewa. Mwanamke kuna muda mwenyewe anamiss kupigwa, usimnyime kibao mke wako
Sasa hapo apigwe kisa nini?
Acheni udikteta kama wa Samia.
 
Eti acha kusali uongo hahh,aisee mwingine angekatisha sala na kumfumua kofi la mbavu ya chini.
 
Mbona kawaida tu mkuu hyo shida nini sasa.
 
Mbona ni Kama siku hio alikuwa "mhitaji", kwa ufupi siku hiyo alihitaji "fimbo ya Musa"
hio elimu unayosema unamzidi itumie zaidi kufanya upembuzi wa Mambo mkuu!

Samahani lkn Kama nimekukwaza!
 
Kama nimekuelewa vizur huyo mwanamke ana changamoto zake kadhaa...pamoja na kumtoa out kiume na kuongelea changamoto zenu faragha ...umesema anaomba msamaha kisha baadae anarudia tena.....umesema ameshaitwa kwao na kusemwa lkn bado Tu....naona chukulia huo ni kama udhaifu wake Tu.... Na hio wala sio sababu ya kumwacha huyo mkeo.

Ila hili la kuleta mdhaha ktk sala linasikitisha Sana na ulikuwa na haki ya kukasirika....huo sio utani Bali upumbavu ambao ameuonyesha mkeo.

Watu wamekusema Sana labda hujui utani na mambo kama hayo....lkn najua wewe ni mwanaume na sio mvulana....Kwa maana unajua huu sasa ni utani na huu ni mdhaha...siamini kama wewe ni mpumbavu kiasi kwamba ushindwe kujua utani na mdhaha....tatizo la mkeo ni kwamba Hana Busara hiyo ndio shida yake ndio maana analeta utani mpaka kwenye sala! Na Busara ni kuliweka jambo ktk mahala pake.....mkeo Hana Hilo.

Jitahidi kumuweka Sawa Kwa hekima Sana....Kwa mfano ukipita Mda Fulani Bila kukuletea mdhaha ebu mnunulie zawadi au mpe hela akajinunulie zawadi na mwambie kipenz huwa nafurahi Sana pale unapoacha mdhaha unanifanya nizidi kukupenda ebu kajinunulie chochote unachopenda.....jaribu kuangalia kama mbinu hii itafanya kazi.

Kuna utani na mdhaha....mdhaha sio utani unakera na ni kama dharau Fulani hivi.

Ila usifikirie kumuacha hata kidogo....hayo ni ya kawaida tofauti na usaliti
 
Duuuh kwani we jamaa ni psychologist!
Umemaliza Kila kitu kaka
 
Utani wote sawa ila kwenye maombi/sala hapana hilo nakuunga mkono.
 
Mzaha hadi kwenye sala..hapana nakataaa.
Jamani tuwe wakweli
Hiyo ni mbaya zaidi.
Ila pia watu hawafanani
Kuna watu wako hivyo yaani ndobyo walivyo
Wewe hapo unatamani ungekua na mwanamke siriaz flan hivi
Ila mpaka mnaoana hukuona hayo yote?au alikua anaficha?
Sawa ushamuoa na hilo jambo unaona linakukera mpaka mwisho
Ongea nae tu kila mara maana ndo mshaoana tena.hamna namna.
 
Reactions: _ly
Mzibue vibao vi tatu akizinduka hapo badae atajua mda WA matani na muda WA seriously
 
nadikitika kwamba hujielewi na ukijidanganya kumuacha wajuba tunaruka nae kama mwanaume umefika umri wa miaka kumi kw ndoa unataka nn kama sio mkeo kua peace na mwenye masihara unataka akuwekee gubu utaweza kuish nae acha ufakeni mleta mada
 
Utani napenda sana, ila mizaha ndio tatizo lilop.

Unaweza ukamwambia jambo afu yeye akafanga mizaha hadi ukaona uache tuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…