Mke kazidi mizaha

Duh utani huo TU umekuumiza hivyo? We ndo tatizo mkuu
 
Hapana hichi alichokisema jamaa nasapoti kabisa. Kwakweli mizaha hata matani yasizidi. Mfano, mimi ninatakiwa kusafiri kuna kazi Dar nahitaji kuimaliza hivyo bibie akasema anakuja leo kutoka Arusha kuja Mwanza ila asubuhi namuuliza ushapanda gari ananiambia imeshindikana kupitia text. Mimi nikasema acha niwahi safari yangu Dar, chakushangaza anafika jioni ananiambia ujue nafikia kwako ila hutaki kujibu text zangu. Sasa kuongea naye anasema asubuhi alikuwa anatania tu. Mimi nikamwambia utakuja na kuondoka lasivyo nikuachie nyumba ukae mwenyewe. Anaanza kulalamika na kunilaumu, wakati kuna vitu utani utakucost. Mimi nikimwambia siwezi geuza msimamo wangu, na hajui kuwa mimi nimekereka kuliko yeye ila anataka abembelezwe, huo ujinga sifanyi. Hivyo kwamtu aliyekutana nayo, mizaha inakera na ni maudhi.
 
Acha kuwa serious sana na maisha utajinyonga Bure , so mbona hapo sijaona kosa kubwa la mkeo mpaka
Kukufanya u- react to that extent
 
Mkuu nadhani wewe ndo mwenye matatizo! Sasa kwa mfano hapo ulichokasirika mpaka kwenda kukaa barazani ni nini?
Mbona unacomplicate sana maisha? Kwa kweli kama mambo kama haya ndo ulienda kushtaki ukweni hakika walikushangaa sana!
Yaaani Nimeshangaa jamaa ni mkoloni Ile mbaya
 
nimekuja dm mkuu naomba unijibu kuna jambo nimekuuliza
 
Jomba hapo mwenye shida ni wewe, humpendi tena ndio maana jokes za kawaida unafura kwa hasira, angekuwa mwenzio hapo kwa jokes hizo wangeishia kucheka na kugonga mikono na siku zingeendelea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…