Mke kamuombea mmewe kazi Kwa mchepuko

Mke kamuombea mmewe kazi Kwa mchepuko

Ni mmoja kati ya walioitwa kutoa ushauri baada ya mwanaume kugundua bosi wake ni mchepuko wa mkewe na kazi anayoifanya aliombewa na mke wake.

Story iko hivi

Jamaa alikuwa na kazi nzuri na maisha ya mtanzania wa kati, Mkewe alikuwa akisimamia mradi aliofunguliwa na jamaa.

Baada ya Kazi kubuma jamaa aliamua kukaa nyumbani na kuacha mke aendelee kuiendesha familia Kwa mradi wa jamaa.

Siku zilienda jamaa akawa anapokea malalamiko kutoka Kwa mke kuwa hatafuti pesa, kazi yake ni kukaa tu.
Siku zimeenda mke akaja na taarifa nzuri ya kumpatia jamaa kazi nyingine nzuri kuliko ya mwanzo.
Kwa hiyo ikawaje sasa?
 
Mkuuuu huna,kazi umetaftiwa kazi bado unalalamika tatizo lenu vijana wa kinondoni na sinza mnaruhusu wake zene wadange nyie mnacheki move shezi kabisa
 
Back
Top Bottom