ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,950
Soma kwa mstari hadi msitari mkuu! Narejea aliposema jamaa ana demu kisu balaa! Itakuwa alimkabidhi moyo, biashara, uhai, kachaguliwa ndugu wa kuongea na kutokuongea nao, kachaguliwa nani wakufika na kutofika nyumbani!Mwanamke akiomba talaka mpe haraka iwezekanavyo, halafu wewe angalia Mambo mengine!!
Talaka itakuwa ngumu maana ashageuzwa dubwasha sio mwanamme tena. Akiachwa anahisi ataishije ilihal kila kitu kakabidhi