Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
Wanajamvi, maoni yenu tafadhali.
Mchana nilimtaarifu mke wangu kuwa usiku nitahitaji huduma, akadai kuwa vidonge siku hizi vinamkosesha hamu ya kula n.k. hivyo akachome sindano, nikampa hela na akaenda hospitali.
Jioni tukakwaruzana kwa swala la hausigeli kuchelewa kurudi nyumbani baada ya kutumwa. Hali hiyo ilizua taharuki baada ya mke wangu kumuuliza binti yuko wapi na hatoi majibu, basi tukalala hatuongei.
Usiku mimi nikataka penzi, ile kumwamsha akadai yuko period, nikamwambia basi nipe hela niliyokupa ukachomee sindano maana ulinidanganya, akadai hela hana. Nilijisikia hasira kwasababu ameniongopea kuhusu pesa yangu, lakini pia anataka kucontrol mambo ya chumbani,hivyo nilimshushia ngumi moja ya kichwa, akaamka kama amewehuka, makelele kibao kasha akakimbilia kwa mpangaji jirani, ni bibi.
Ilikuwa saa 7 usiku, baba akaja kunisihi na mke akaingia ndani huku akikusanya nguo zake akidai anaondoka akalale sebuleni, aliendelea na kauli chafu nikamshushia ngumi ingine matata, akakaa kimya, akalala sebuleni.
Kulipokucha, kumbe alishaondoka alfajiri pamoja na Smartphone yangu na ufunguo wa nyumba, ukweni ni mtaa wa 3. Nikaenda kwao kwa niaba ya kuchukua simu na ufungua lakini baba mkwe akanisukumia nje kama mbwa. Nilighadhabika, pia simu ilikuwa na appointment muhimu kuliko kito chochote kwa siku hiyo. Nikaenda kupiga viroba kadhaa, nikanunua panga jipya na kuwarudia. Aisee, mama mkwe alivyotaharuki nilicheka sana kimoyomoyo lakini lengo ilikuwa kuwapiga mkwara wanipe simu yangu.
Baba mkwe akaninyemelea kwa nyuma na kuninyakua panga, nikawa nimeishiwa ujanja, nikajiondokea zangu. Nilirudi nyumbani nikachoma nguo zote mke wangu hadi mafuta ya kujipaka, yaani kila kitu chake nikapiga petrol.
Jioni nikaletewa barua ya wito wa Polisi ati niende kesho asubuhi nasubiriwa vinginevyo nitafikishwa mahakamani, mimi kulipokucha nikabadili kitasa (maana aliondoka na ufunguo ), nikabeba begi la nguo na kusepa. Baadae nikaanza kutukanana nao kwa simu; mkwe, mke, polisi na wote wanaomsapoti huyu mke niliyemtaraki kwa staili hiyo, nikabadili na namba na simu.
Sasa, yupi mwenye makosa? Ingawa najua laiti ningevumilia kunyimwa penzi usiku ule, yasingefika hapa, pia ningeamua kutoifata simu yangu, yasingefika hapa. Pia na yeye angekubali kutekeleza wajibu wake chumbani (ikumbukwe nimemuandaa tangu mchana), yasingefika hapa. Na angekuwa mtiifu na kutonijibu kuntu jioni ile kuhusu hausigeli, yasingefika hapa.
Mkwe kaapa kunifunga, kunibambikia kesi. Nimerudi juzi kati, nikakuta walivunja nyumba na kuchukua kila kitu hadi ndala za chooni, labda walidhani nitawafuata tena. Mwanamke kapangishiwa na baba mkwe kwa fenicha zangu.
Ndo hivyo sasa polisi nina RB, je ni salama nibaki hapahapa Dar nianze maisha upya under hidden identity au nivuke boda? Nipe mchango wa mawazo, kunikosoa hakutanisaidia maana sikuomba yanipate haya majanga.
Mchana nilimtaarifu mke wangu kuwa usiku nitahitaji huduma, akadai kuwa vidonge siku hizi vinamkosesha hamu ya kula n.k. hivyo akachome sindano, nikampa hela na akaenda hospitali.
Jioni tukakwaruzana kwa swala la hausigeli kuchelewa kurudi nyumbani baada ya kutumwa. Hali hiyo ilizua taharuki baada ya mke wangu kumuuliza binti yuko wapi na hatoi majibu, basi tukalala hatuongei.
Usiku mimi nikataka penzi, ile kumwamsha akadai yuko period, nikamwambia basi nipe hela niliyokupa ukachomee sindano maana ulinidanganya, akadai hela hana. Nilijisikia hasira kwasababu ameniongopea kuhusu pesa yangu, lakini pia anataka kucontrol mambo ya chumbani,hivyo nilimshushia ngumi moja ya kichwa, akaamka kama amewehuka, makelele kibao kasha akakimbilia kwa mpangaji jirani, ni bibi.
Ilikuwa saa 7 usiku, baba akaja kunisihi na mke akaingia ndani huku akikusanya nguo zake akidai anaondoka akalale sebuleni, aliendelea na kauli chafu nikamshushia ngumi ingine matata, akakaa kimya, akalala sebuleni.
Kulipokucha, kumbe alishaondoka alfajiri pamoja na Smartphone yangu na ufunguo wa nyumba, ukweni ni mtaa wa 3. Nikaenda kwao kwa niaba ya kuchukua simu na ufungua lakini baba mkwe akanisukumia nje kama mbwa. Nilighadhabika, pia simu ilikuwa na appointment muhimu kuliko kito chochote kwa siku hiyo. Nikaenda kupiga viroba kadhaa, nikanunua panga jipya na kuwarudia. Aisee, mama mkwe alivyotaharuki nilicheka sana kimoyomoyo lakini lengo ilikuwa kuwapiga mkwara wanipe simu yangu.
Baba mkwe akaninyemelea kwa nyuma na kuninyakua panga, nikawa nimeishiwa ujanja, nikajiondokea zangu. Nilirudi nyumbani nikachoma nguo zote mke wangu hadi mafuta ya kujipaka, yaani kila kitu chake nikapiga petrol.
Jioni nikaletewa barua ya wito wa Polisi ati niende kesho asubuhi nasubiriwa vinginevyo nitafikishwa mahakamani, mimi kulipokucha nikabadili kitasa (maana aliondoka na ufunguo ), nikabeba begi la nguo na kusepa. Baadae nikaanza kutukanana nao kwa simu; mkwe, mke, polisi na wote wanaomsapoti huyu mke niliyemtaraki kwa staili hiyo, nikabadili na namba na simu.
Sasa, yupi mwenye makosa? Ingawa najua laiti ningevumilia kunyimwa penzi usiku ule, yasingefika hapa, pia ningeamua kutoifata simu yangu, yasingefika hapa. Pia na yeye angekubali kutekeleza wajibu wake chumbani (ikumbukwe nimemuandaa tangu mchana), yasingefika hapa. Na angekuwa mtiifu na kutonijibu kuntu jioni ile kuhusu hausigeli, yasingefika hapa.
Mkwe kaapa kunifunga, kunibambikia kesi. Nimerudi juzi kati, nikakuta walivunja nyumba na kuchukua kila kitu hadi ndala za chooni, labda walidhani nitawafuata tena. Mwanamke kapangishiwa na baba mkwe kwa fenicha zangu.
Ndo hivyo sasa polisi nina RB, je ni salama nibaki hapahapa Dar nianze maisha upya under hidden identity au nivuke boda? Nipe mchango wa mawazo, kunikosoa hakutanisaidia maana sikuomba yanipate haya majanga.