- Thread starter
- #21
Lady we acha tu, nlikuwepo ila nlijaribu kuwa karibu sana na elimu na kuamua nioe nikisha maliza hatimaye nimesoma hata zaidi ya diploma ila sijafanya mitihani 2 nimalizie kabisa nikaona nimechoka sasa nioe tu sina jinsi.
jibu kwanza swali, ulikuwa wapi?