fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
napenda kuwashirikisha katika ulingo kwa kutaka kila mmoja aliyeoa au kuolewa atwambie je mtu aliyemuoa au aliyeolewa nae ana sifa au vigezo ulivyokuwa ukivihitaji kabla. au umeoa au kuolewa mtu tofauti? kaz kwenu