Ujumbe umefikaJF ni mijimama usibabaike na avatar you better go facebook!
JF ni mijimama usibabaike na avatar you better go facebook!
JF ni mijimama usibabaike na avatar you better go facebook!
Yatakushinda na assumption zako za kizee,kila la kheri mkaka.........watajitokeza usijali.
Mijimama ni sifa nimewamwagia usiogope!Mmm sasa kwa nini watuita mijimama?? Si useme tu ni wamama au wadada tu jamani.
Yatakushinda na assumption zako za kizee,kila la kheri mkaka.........watajitokeza usijali.
Mijimama ni sifa nimewamwagia usiogope!
Nakutaka wewe kumbe ulishajua tatizo langu sasaiweje uwezi nisaidia???
Haswaaaa na haujakosea!LDLakini sishangai sana yawezekana huyo uliye nae ulimtoa huko. So na ww ni MjIBaba???
JF ni mijimama usibabaike na avatar you better go facebook!
Namimi nawapenda pia ila mkipewa apointment mnajidai mpo mbauda!Kaka kiiza Wadada wa JF tunakupenda. Pole na majukumu ya maisha, hongera kwa uzima ulionao. Kama una tatizo linakusumbua usihofu sana kwani Mungu ni mwema atakusaidia. Tunakupenda upendo wa Agape.
Ndg wana dada wa JF, nahitaji mdada mwadilifu na mzuri kuwa mke wangu... Umri 20-25yrs
Mhnn wapiii??bwana karagabao hao ni mamazenyu acheni teeneger kitabu sura!acha uongo. Tupo vibinti vibichiii... Ha ha ha!
Namimi nawapenda pia ila mkipewa apointment mnajidai mpo mbauda!
Ndg wana dada wa JF, nahitaji mdada mwadilifu na mzuri kuwa mke wangu... Umri 20-25yrs