Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 10,088
- 15,668
Unaongea na simu ama.?Nimempenda wuyu jamaa bure.
Mtu kama huaualify kwa sifa alizotoa usimkatishe tamaa, Kaa kimya.
Kidume Komaa utampata wa kukufaa
Unaongea na simu ama.?Nimempenda wuyu jamaa bure.
Mtu kama huaualify kwa sifa alizotoa usimkatishe tamaa, Kaa kimya.
Kidume Komaa utampata wa kukufaa
Mkuu Nipigie ndogo ndogo na mimi nipate mke mtarajiwaMuwahi jamaaa
No mimi Napita tu.Mkuu Nipigie ndogo ndogo na mimi nipate mke mtarajiwa
Y ???Unaongea na simu ama.?
Hahahaaaaaa sawaNo mimi Napita tu.
Nilifurahishwa na comment za wadau nikashindwa kujizuia mkuu !
Asante.Mkuuu nmemaliza kusoma kunamahali nikaishia kucheka ..safi sana ,,hukutaka kujivunga nahuo ndo uanamme !!...elezea utakavyomaana weee ndo mchaguzi , nilichokukubali zaidi nipale ambapo hujaweka kigezo chamwanamke kua nakazi naumemuachia Mungu .nahuu ndo uanamme.
Wanakuja mkuuu kweli kuna baadhi humu wanakiu nandoa nawanaomba sana wapate ndoa !!.
Upate sawSawa nahitaji lako
Yaaah nmeliona ilo ,,umeandika ktk muktadha ya mwenye nia ndo anapata.Asante.
Kuna wachache wanadhani natania.
Ï am Very serious.
Sifa kama mtu hana anyamaze.
Bora kukosa kuliko kugomba.