tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Baada ya kuona mumewe amekawia kurudi nyumbani bibi alipatwa na hasira akaamua kumpigia simu kwa hasira ''....
Uko wapi mpaka sasa hivi kinyago cha mwanaume wewe?"......mume akapokea kwa sauti ya kumbembeleza ....."dear unakumbuka duka linalouzwa vitu vya dhahabu ambalo siku ile uliona pete ukaipenda ile sikuwa na hela nikakwambia kuna siku darling nitakununulia?...Mke akajibu kwa furaha, kicheko huku akijilegeza .."Ehe ehe ehe nimekumbuka dear si pale kwa duka la yule Mwarabu? Mume akajibu "Yaah ndo penyewe ....sasa ukiwa hapo dukani kuna bar moja pembeni napata moja mbili baridi na rafiki zangu. Jijazie mazungumzo yalikuwaje baada ya hapo!!!
Uko wapi mpaka sasa hivi kinyago cha mwanaume wewe?"......mume akapokea kwa sauti ya kumbembeleza ....."dear unakumbuka duka linalouzwa vitu vya dhahabu ambalo siku ile uliona pete ukaipenda ile sikuwa na hela nikakwambia kuna siku darling nitakununulia?...Mke akajibu kwa furaha, kicheko huku akijilegeza .."Ehe ehe ehe nimekumbuka dear si pale kwa duka la yule Mwarabu? Mume akajibu "Yaah ndo penyewe ....sasa ukiwa hapo dukani kuna bar moja pembeni napata moja mbili baridi na rafiki zangu. Jijazie mazungumzo yalikuwaje baada ya hapo!!!