Mke anatambia ndumba za ukeni!

Mke anatambia ndumba za ukeni!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,508
Reaction score
911,249
Jana jioni nimeipata hii: mke wa jirani ametonya rafiki yake wa karibu sana kuhusiana na siri ya kumtia kitanzini mumewe kuwa ni ndumba ambazo zimejaa kwenye kabati na ya kuwa kamwe hawezi kufurukuta.

Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.

Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huitikia tu kama
"ana akili ndogo vile" na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!

Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.


Nishaurini hapa
 
Jana jioni nimeipata hii: mke wa jirani ametonya rafiki yake wa karibu sana kuhusiana na siri ya kumtia kitanzini mumewe kuwa ni ndumba ambazo zimejaa kwenye kabati na ya kuwa kamwe hawezi kufurukuta.

Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.

Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huiotikia tu kama ----- na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!

Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.


Nishaurini hapa

Na ukizingatia kuwa jamaa huwa anakwenda chumvini, ndo kabisaaa. Cc Chiefmtz
 
Mkuu nilishasikia siku nyingi sana zaidi ya miaka 15 iliyopita .
eti ni kwamba wanawekaga nyama huko kunako maeneo nyeti na itakaa kwa muda Fulani kisha siku anapika nyama huitoa na kuichanganya na na nyingine kwenye mapishi hasa mboga ya mumewe. Na mumewe akiila tu anakuwa zuzu kwa mkewe.................!
 
Na ukizingatia kuwa jamaa huwa anakwenda chumvini, ndo kabisaaa. Cc Chiefmtz

Kwahiyo amekwisha khabari yake? Sina cha kumsaidia hapo?
 
Mkuu nilishasikia siku nyingi sana zaidi ya miaka 15 iliyopita .
eti ni kwamba wanawekaga nyama huko kunako maeneo nyeti na itakaa kwa muda Fulani kisha siku anapika nyama huitoa na kuichanganya na na nyingine kwenye mapishi hasa mboga ya mumewe. Na mumewe akiila tu anakuwa zuzu kwa mumewe. .................!

lisemwalo lipo kama halipo lipo nyuma laja!
 
mwanangu hii nilisikiaga kwa wajita na wakerewe kama mpo naomba mtujuzeni ata mimi huwa nasikia wanasema, kwa wahaya wanakitu moja inaitwa NKULATA(nifuate) na NSHUNTAMA(kaa chini) nasikia ukitia tu mguu umeliwa ndugu zako watakuwa wanaona manyoa tu!!
 
Utashauri wangapi?
ushirikina ni wide spread culture Tanzania
hata wewe yawezekana ulishalishwa uchafu tele ila hujui
unajua hata mama ntilie na wenye restaurant wanawalisha wateja uchafu huo huo ili wadhibiti soko?
go figure now
 
Utashauri wangapi?
ushirikina ni wide spread culture Tanzania
hata wewe yawezekana ulishalishwa uchafu tele ila hujui
unajua hata mama ntilie na wenye restaurant wanawalisha wateja uchafu huo huo ili wadhibiti soko?
go figure now

Yaani baada ya kusoma hii nilikuwa nakula vitu hapa nimevitapika vyote! Naona kama vina ndumba hivi! Tabia za kulakula bila mpangilio wakati mwingine zinatufanya tumeze vitu ambavyo hata hatuvijui au kuviagiza tulishwe navyo. Kisa kuchochea biashara
 
mwanangu hii nilisikiaga kwa wajita na wakererwe kama mpo naomba mtujuzeni ata mimi huwa nasikia wanasema, kwa wahaya wanakitu moja inaitwa NKULATA na NSHUNTAMA nasikia ukitia tu mguu umeliwa ndugu zako watakuwa wanaona manyoa tu!!

kwa mazingira ya namna hii Africa kamwe hatutaendelea kwa kutegemea spiri of tradition to get us ahead badala ya kutumia sayansi na teknolojia ya kweli
 
Kwa vyovyote huo uke utakuwa na ukubwa wa mfuko wa Rambo!

Kwanini unasema hivyo? Kwani lazima aingize kilo nzima ya mnofu? Si kipande tu khalafu anaenda kukolezea na mlo mzima baadaye kwa kuchanganya au sikumwelewa vizuri mchochea mafiga.
 
Utashauri wangapi?
ushirikina ni wide spread culture Tanzania
hata wewe yawezekana ulishalishwa uchafu tele ila hujui
unajua hata mama ntilie na wenye restaurant wanawalisha wateja uchafu huo huo ili wadhibiti soko?
go figure now

Aaaaaaargh The Boss why did you say this now??!

From now ntakuwa napata lunch Holiday Inn ama Serena Hotel...:A S shade:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom