Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Jana jioni nimeipata hii: mke wa jirani ametonya rafiki yake wa karibu sana kuhusiana na siri ya kumtia kitanzini mumewe kuwa ni ndumba ambazo zimejaa kwenye kabati na ya kuwa kamwe hawezi kufurukuta.
Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.
Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huitikia tu kama "ana akili ndogo vile" na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!
Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.
Nishaurini hapa
Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.
Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huitikia tu kama "ana akili ndogo vile" na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!
Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.
Nishaurini hapa