Mke ammwagia mume na hawara maji ya moto baada ya kuwafumania (Picha zinaogofya kidogo)

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
Hii imetokea hapo nchi jirani ya Zambia.

Mwanamke amemfumania mumewe akila mambo na hawara. Mwanamke hakukawiza, akawa na maji yake ya moto na kuwamwagia wote ili mume akituliza au kama vipi wakose wote.

Ni hatari sana haya mambo, japo sie tuliokaa Kigoma huwa tunajuwa "Haina makombo"

image.jpeg
image.jpeg
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    125.2 KB · Views: 196
Masikini kabinti ka watu, tena chuchu sa sita mchana hizo.Wivu nao ni tatizo sana.
Naam, Kijana wangu hata mimi nimeziona chuchu kama Nyanya Mshumaa, saaafi kabisa, hata kama ni mimi ningekuwa radhi nimwagiwe hayo maji ya moto, tena hata acid. Bint yuko slim, black Fulani hivi, chuchu na kikalio cha uchokozi!!! Hahahahhaha Jumatatu kumbe leo
 
Naam, Kijana wangu hata mimi nimeziona chuchu kama Nyanya Mshumaa, saaafi kabisa, hata kama ni mimi ningekuwa radhi nimwagiwe hayo maji ya moto, tena hata acid. Bint yuko slim, black Fulani hivi, chuchu na kikalio cha uchokozi!!! Hahahahhaha Jumatatu kumbe leo
Hhahahahhahaha Huyo mama wakushtakiwa na kufungwa, haiwezekani awakoseshe utamu wanaume wote wa Zambia kwa kosa la mme wake. Na alivokua mbaguzi mbona mume wake hamuunguza kwenye dyudyu?
 
Chuchu saa 6,tumbo flat,ajachibua hapo lazma nichepuke,viumbe wa hiyo type wamepungua sana
 
Duuuh.. Hatari san hii,utamu wote wa haka kabinti umetiwa shubiri.Sasa eneo lote la utamu limefilisiwa
Loooh...Asalaleeeee!!!!Kabinti kenyewe katamuuu!!Chuchu konzi,kamwili portable..yaani kanageuzika kama sato wa kuokwa na moto!!Kweli jamaa wacha uzalendo umshnde
 
Masikini kabinti ka watu, tena chuchu sa sita mchana hizo.Wivu nao ni tatizo sana.

Lakini inaonekana kabinti ni katamu sana, hii ni sawa inzi kufia kidondani

Naam, Kijana wangu hata mimi nimeziona chuchu kama Nyanya Mshumaa, saaafi kabisa, hata kama ni mimi ningekuwa radhi nimwagiwe hayo maji ya moto, tena hata acid. Bint yuko slim, black Fulani hivi, chuchu na kikalio cha uchokozi!!! Hahahahhaha Jumatatu kumbe leo

Chuchu saa 6,tumbo flat,ajachibua hapo lazma nichepuke,viumbe wa hiyo type wamepungua sana

Duuuh.. Hatari san hii,utamu wote wa haka kabinti umetiwa shubiri.Sasa eneo lote la utamu limefilisiwa
Loooh...Asalaleeeee!!!!Kabinti kenyewe katamuuu!!Chuchu konzi,kamwili portable..yaani kanageuzika kama sato wa kuokwa na moto!!Kweli jamaa wacha uzalendo umshnde

Chuchu sikonzi dah!

kweli mkuu hyo type imekua hadimu sana.
Wazee wa chuchu SAA sita.
 
Back
Top Bottom