Mke amkimbia mume kingono

Mke amkimbia mume kingono

Mkuu hili swali naona liende kwa anaelalamika sio mimi
Basi ili kupunguza lawama inabidi hatujaanza mahusiano uniambie kiwango chako cha ladha....na ili nikufikishe kileleni nikimbie kilometer ngapi kwa saa......????
 
Kuna umuhimu wa Mungu kuharakisha kuja duniani maana hali ni mbaya sana na watu wake hawaeleweki hivi...
 
Angekuja bongo angemkumbuka sultan,huku bongo unaachwa na genye lako daily!

mmmmh! Umewahi kutana na wangapi na wote wakakuacha na genye?
Labda huyo uliye naye.. Kama huamin ni pm namba yako nikutafute kwa mtanange
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana...wakisuguliwa sana kesi ,wakisuguliwa kidogo lawama eti hunifikishi....wasiposuguliwa kabisa matusi yanaanza.......

kuna mtu humu ana kauli mbiu yake "ni ngumu sana kumuelewa mwanamke"
 
Hahahaaa huyu atakuwa anakunywa kitu inaitwa "mtombashi"
 
Haya nyie watoto wa kike huku someni hii..

Mwanamke mmoja wa Uganda amemkimbia mume wake kutokana na mahitaji makubwa ya tendo la ndoa. Tukio hilo limewashangaza watu wengi wa Uganda baa ya Ruth Nakyeyune kumkimbia mume wake alietajwa kuwa ni Sultan Ali Baba.
Ugomvi wa wawili hao umefikishwa katika kituo cha polisi cha Bulenga ambako mama huyo alimuomba mume wake waachane kutokana na kushindwa kumudu mahitaji ya mume wake. "Naomba kuachana na ndoa hii kwa kuwa mahitaji ya tendo la ndoa yamekuwa makubwa na ya mara kwa mara" mama huyo alitoa kauli hiyo katika kituo hicho cha polisi.
Mama huyo alisema hawezi kuendelea kuvumilia hali hiyo kwa kuwa anapomwambiwa hawezi kufanya hivyo ugomvi mkubwa hutokea kati ya wawili hao. Nakyeyune alisema inapotokea anaumwa au hajisikii kufanya tendo hilo, Sultan anabadilika na kukataa kuzungumza nae kwa siku kadhaa.

Kwa upande wake Sultan alisema mke wake amekuwa akimdanganya na anashindwa kueleza ukweli kwamba ameshindwa kukidhi mahitaji yake. "Mara nyingi amekukwa akiomba msamaha na wakati mwingine amekuwa akitishia kujiua wakati ninapohitaji huduma" alisema Sultan.
Alisema yeye ni mume mwema kwa kuwa hanywi pombe kama walivyo wanaume wengine na anashangaa kwa nini mke wake anashindwa kumtosheleza licha ya kuwa na sifa hiyo.
Sultan alisema anashangaa kwa nini mke wake aliamua kuwaacha wazazi wake na kuamua kuolewa na yeye huku akijua hana uwezo wa kutekeleza jukumu hilo ipasavyo.

Rafiki wa Sultan alisema ni kweli mama huyo alikimbia nyumbani kutokana na mume wake kuwa na mahitaji makubwa na alifafanua kwamba wake zake wawili wa zamani walimkimbia kutokana na "dozi" kuwa kubwa. "Maneno yote anayozungumza huyo mama ni tuhuma za kawaida, lakini ukweli ni kwamba anamuogopa mume wake. Na si malalamiko ya kwanza kwani amekuwa akilalamika mara kwa mara" alisema rafiki huyo.
Baada ya mazungumzo ya muda mrefu, Sultan alimuomba mke wake arejee nyumbani kwa ajili ya kuwatunza watoto, lakini mama alikataa.


 
sasa huyo mwanamke yeye anatakaje hasaaa...hajui hiyo ni bahati aliyonayo anatakiwa kuitumia!!
 
Sultan Ali Baba
Mwanamke mmoja wa Uganda amemkimbia mume wake kutokana na mahitaji makubwa ya tendo la ndoa!

Tukio hilo limewashangaza watu wengi Uganda baada ya Ruth Nakyune kumkimbia mume wake alietajwa kwa jina la Sultan Ali Baba.

Ugomvi wa wawili hao umefikishwa katika kituo cha Polisi cha Bulenga ambako mama huyo alimuomba mume wake waachane kutokana na kushindwa kumudu mahitaji ya mume wake.

"Naomba kzachana na ndoa hii kwa kuwa mahitaji ya tendo la ndoa yamekuwa makubwa na ya mara kwa mara" mama huyo alitoa kauli hiyo ktk kituo hicho cha Polisi.

Mama huyo alisema hawezi kuvumilia hali hiyo kwa kuwa anapomwambia hawezi kufanya hivo ugomvi mkubwa hutokea.

Kwa upande wake Sultan alisema mke wake alikuwa akimdanganya na anashindwa kueleza ukweli kwamba ameshindwa kukidhi mahitaji yake.

Rafiki wa sultan alisema ni kweli mama huyo alikimbia nyumbani kutokana na mume wake kuwa na mahitaji makubwa na alifafanua kuwa wake zake wawili wa zamani walimkimbia kutokana na dozi kuwa kubwa.

Baada ya mazungumzo marefu Sultan alimuomba mke wake arejee nyumbani kwa ajili ya kuwatunza watoto, lakini mama alikataa.

Mwananchi, Dec 18, 2014, pg 32.
Kwa hiyo hii stori yako inaisaidia nini au inaifundisha nini jamii?
 
Back
Top Bottom