Mke ajipiga selfie wakati mumewe anafariki ili kumtumia mchepuko

Mke ajipiga selfie wakati mumewe anafariki ili kumtumia mchepuko

Tundusami

Senior Member
Joined
Feb 7, 2026
Posts
116
Reaction score
262
Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia.

Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo mdada huyu aligundua kua mume wake Hana maisha marefu na hakuna kitu anaweza kumfanyia tena kwaio alitafuta mwanaume wa pembeni ili kufidia nafasi atakayoicha mme wake akishafarikii..

Hata hivo haikwenda kama alivyotarajia kijana huyo aligoma kuishi nae na kumwambia kama ameshindwa kuonyesha upendo Kwa mme wake wa ndoa atawezaje kumpenda yeye Kwa dhati.
Picha ningeweka apa ila zinatia huluma sana
 
Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia.
Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo mdada huyu aligundua kua mume wake Hana maisha marefu na hakuna kitu anaweza kumfanyia tena kwaio alitafuta mwanaume wa pembeni ili kufidia nafasi atakayoicha mme wake akishafarikii..

Hata hivo haikwenda kama alivyotarajia kijana huyo aligoma kuishi nae na kumwambia kama ameshindwa kuonyesha upendo Kwa mme wake wa ndoa atawezaje kumpenda yeye Kwa dhati.
Picha ningeweka apa ila zinatia huluma sana
Nitumia hiyo picha PM.
 
Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia.

Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo mdada huyu aligundua kua mume wake Hana maisha marefu na hakuna kitu anaweza kumfanyia tena kwaio alitafuta mwanaume wa pembeni ili kufidia nafasi atakayoicha mme wake akishafarikii..

Hata hivo haikwenda kama alivyotarajia kijana huyo aligoma kuishi nae na kumwambia kama ameshindwa kuonyesha upendo Kwa mme wake wa ndoa atawezaje kumpenda yeye Kwa dhati.
Picha ningeweka apa ila zinatia huluma sana
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote

Amemkosa mume, kakosa na mchepuko, tamaa mbele mauti nyuma Sasa kifo kina mwita ni zam yake sasa
 
Back
Top Bottom