Mke ageuka kuwa mama yako

Mke ageuka kuwa mama yako

Tuive

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
20
Reaction score
2
Utakuta Mwanaume akioa mke basi kila kitu anataka afanyiwe: apikiwe, anyoshewe, achaguliwe nguo ya kuvaa, nguo za ndani afuliwe na pia aambiwe badilisha leo na vaa hizi hapa, maji ya kuoga awekewe tena ya moto sababu ameoa asipofanyiwa ataenda nyumba ndogo
hebu tujadiliane inawezekana kama mke pia anafanya kazi. huku si
ndo kumfanya mke mama na mume kuwa mtoto mdogo
asiejiweza mwenyewe
nini maana ya kuwa mke ni msaidizi ni kuwa kila kazi yako ifanywe na msaidizi na wewe huna kazi hiyo wenzetu wanaita overdelegation
KARIBUNI
 
Halafu na kodi ya nyumba, kununua magari na kujenga nyumba bado mwanamke achangie! Wanaume wa siku hizi wanaohopa majukumu yao kuliko kuukosa uanaume wao!
 
Halafu na kodi ya nyumba, kununua magari na kujenga nyumba bado mwanamke achangie! Wanaume wa siku hizi wanaohopa majukumu yao kuliko kuukosa uanaume wao!

Mimi wa kwangu vyote ulivyovitaja huwa hachangii licha ya kuwa na kazi nzuri, fedha zote anapeleka kwao kwa hiyo na mimi Assets zote ninazonunua naandika majina yangu na wanangu pekee na mambo yote naweka wazi kwa mwanasheria wangu.Siku akileta nyodo namtimua kama kuku maana hana chake vyake viko kwao anakopeleka.
 
Utakuta Mwanaume akioa mke basi kila kitu anataka afanyiwe: apikiwe, anyoshewe, achaguliwe nguo ya kuvaa, nguo za ndani afuliwe na pia aambiwe badilisha leo na vaa hizi hapa, maji ya kuoga awekewe tena ya moto sababu ameoa asipofanyiwa ataenda nyumba ndogo
hebu tujadiliane inawezekana kama mke pia anafanya kazi. huku si
ndo kumfanya mke mama na mume kuwa mtoto mdogo
asiejiweza mwenyewe
nini maana ya kuwa mke ni msaidizi ni kuwa kila kazi yako ifanywe na msaidizi na wewe huna kazi hiyo wenzetu wanaita overdelegation
KARIBUNI

Mkuu unazungumzia wanawake gani hapa, hawa wake zetu wa siku hizi au mama zetu?
 
Utakuta Mwanaume akioa mke basi kila kitu anataka afanyiwe: apikiwe, anyoshewe, achaguliwe nguo ya kuvaa, nguo za ndani afuliwe na pia aambiwe badilisha leo na vaa hizi hapa, maji ya kuoga awekewe tena ya moto sababu ameoa asipofanyiwa ataenda nyumba ndogo
hebu tujadiliane inawezekana kama mke pia anafanya kazi. huku si
ndo kumfanya mke mama na mume kuwa mtoto mdogo
asiejiweza mwenyewe
nini maana ya kuwa mke ni msaidizi ni kuwa kila kazi yako ifanywe na msaidizi na wewe huna kazi hiyo wenzetu wanaita overdelegation
KARIBUNI

Wapo wengine hayo unayoano kama manyanyaso wao wanaona ndio wajibu wao haswa, na mwanaume akijaribu kuyafanya anaambiwa asiingilie majukumu yake. Ni mapenzi tu, fanya kwa moyo wala hutopata shida, ila ukifanya kwa kinyongo utakufa kwa vidonda vya tumbo ama utavunja ndoa.

Vile vile ni mgawanyo tu wa majukumu katika familia, kwa wale wenye wito wa ndoa hicho ulichotaja sio tatizo kwao, nadhani wanashangaa na kwa kwale wasio na ndoa wanaosubiri mmeo atoke kwako ili akatoe huduma kwao pia wanafurahia huo msimamo wako ili wapate kumnasa na kumtumia vizuri.

Ni mtazamo tu, kama ulivyo na wako.
 
Labda kabla sijajikita kuchangia ningependa kujulishwa hawa wanawake huwa wanafundishwa nini kuhusu mume wanapofanyiwa kitchen party? Kile wanachofundishwa kuhusu mume ndicho wanachokitendea kazi? na walimu wao huwa ni wanawake au wanaume?
 
iko hiv!
ukiweza fanya,usipoweza acha!
wala hakuna mtu anakulazimisha!
AU??
siku hiz sijui sana kubembeleza wanaokuja na misimamo yao!
naona natoka sugu za vidole tu!
 
Bora umesema King,asti......
Halafu na kodi ya nyumba, kununua magari na kujenga nyumba bado mwanamke achangie! Wanaume wa siku hizi wanaohopa majukumu yao kuliko kuukosa uanaume wao!
 
Halafu na kodi ya nyumba, kununua magari na kujenga nyumba bado mwanamke achangie! Wanaume wa siku hizi wanaohopa majukumu yao kuliko kuukosa uanaume wao!
heshima ndugu. mbona kodi ya nyumba ikidaiwa mwenye nyumba anaambiwa subiri baba hayupo? mimi siwezi kupanda gari aliyonunua mke wangu unless huo mchakato wa kulinunua tumefanya pamoja. wazima ara lakini?
 
Labda kabla sijajikita kuchangia ningependa kujulishwa hawa wanawake huwa wanafundishwa nini kuhusu mume wanapofanyiwa kitchen party? Kile wanachofundishwa kuhusu mume ndicho wanachokitendea kazi? na walimu wao huwa ni wanawake au wanaume?
siku hizi kitchen party wahudhuriaji ni majitu yasiyoolewa unategemea kuna somo zaidi ya kucheza taarabu kama kwenye mikutano ya maccm? ni uharibifu wa fedha za kusomeshea watoto tu ndo unafanyika
 
Back
Top Bottom