Just take Anoyting Water from T.B Joshua and believe
in Jesus Christ
Ahsante sana, ni kweli nimeweka kinyume, barikiwaNi Yeremia 32:27
Daktari aliyenipima alishauri kuwa kutokana na procedure ya IVF/ICSI kuwa very delicate na inahitaji expensive equipment and expertise, alisema nchi anazojua zinasuccess nzuri katika hilo suala ni pakstani, Israel, India, UK, na akasema hata Kenya wameboresha siku za hivi karibuni ila kwa ujumla Africa alisema labda South Africa. Anasema ni kweli watu wanaenda lakini success rate sio sana na inatofautiana.Kama unajua ofisi za clouds fm zilipo, opposite na pale kuna fertility clinic nenda hapo utapata matibabu na ushauri
Ingekuwa mwanamke ndio mwenye tatizo wala tusingekuona hapa. Sasa tuseme huko hospitali umeambiwa huo ugonjwa hauna dawa au ni nini? Kama hakuna dawa mwenzio atakuvumilia tu hivohivo, ni shida na raha. Na hizi mambo za hospitali umejitafutia shida bure, sa hizi ungekuwa na watoto zamani! Akili kumkichwa. Nakupa mbinu hii kaka niskize uzuri. Nenda chukua dawa yoyote mradi haina madhara umeze. Halafu baada ya mwezi mwambie mkeo ushapona. Utaona anapata ujauzito na maisha yataendelea vizuri. Upole muhimu.Naomba ushauri kama kuna mwenye experience au amewahi kusikia options ambazo ni productive. Mimi na mke wangu tuna miaka 4 sasa ya ndoa ya kikristo bila mtoto. Tumefanya vipimo vyote vya afya ya uzazi imeonekana mimi nina low sperm count na mke wangu hana tatizo lolote. Tendo la ndoa tunafanya kama kawaida bila shida yoyote na ndoa haina migogoro yoyote pamoja na hali hiyo lakini tunapenda sana kupata mtoto. ushauri tafadhali kama kuna njia yoyote ya asili (natural) isiyoenda kinyume na imani ya Kikristo.
Ingekuwa mwanamke ndio mwenye tatizo wala tusingekuona hapa. Sasa tuseme huko hospitali umeambiwa huo ugonjwa hauna dawa au ni nini? Kama hakuna dawa mwenzio atakuvumilia tu hivohivo, ni shida na raha. Na hizi mambo za hospitali umejitafutia shida bure, sa hizi ungekuwa na watoto zamani! Akili kumkichwa. Nakupa mbinu hii kaka niskize uzuri. Nenda chukua dawa yoyote mradi haina madhara umeze. Halafu baada ya mwezi mwambie mkeo ushapona. Utaona anapata ujauzito na maisha yataendelea vizuri. Upole muhimu.
Ikiwezekana naomba ufafanue vizuri ndugu yangu naona kama njia hii imekuwa rahisi sanaIngekuwa mwanamke ndio mwenye tatizo wala tusingekuona hapa. Sasa tuseme huko hospitali umeambiwa huo ugonjwa hauna dawa au ni nini? Kama hakuna dawa mwenzio atakuvumilia tu hivohivo, ni shida na raha. Na hizi mambo za hospitali umejitafutia shida bure, sa hizi ungekuwa na watoto zamani! Akili kumkichwa. Nakupa mbinu hii kaka niskize uzuri. Nenda chukua dawa yoyote mradi haina madhara umeze. Halafu baada ya mwezi mwambie mkeo ushapona. Utaona anapata ujauzito na maisha yataendelea vizuri. Upole muhimu.
Naweza kuona umhimu wa kuangalia hii inaitwa anoiting water ni kitu gani, ni muhimu niangalie hii nielewe maana naisikia tu.Kama una uwezo nenda Synagogue Church of all Nations - Nigeria, jambo lako litabaki kuwa ni testimony...au tafuta mtu aliye'enda huko akupe anoiting water au kama kuna ambaye bado yupo huko akuletee.
utafunguliwa tu...Amini.
udaktari huu?? haya bana nafkiri degree zimelala doro
.Naweza kuona umhimu wa kuangalia hii inaitwa anoiting water ni kitu gani, ni muhimu niangalie hii nielewe maana naisikia tu
Amazing! Asante kwa imani yako iliyougusa mtima wangu. Hakika nitaindea njia. Ubarikiwe.Kaka nna uhakika na nilicho kushauri na ukitaka ushuhuda zaidi Emmanuel TV - A Christian Television Network by T.B. Joshua ingia hapo ujionee na BWANA akubariki...na labda nikuambie sio kufunikiwa kupata uzazi tu bali hata atakaye zaliwa atakuwa ni mbarikiwa
be Blessed !
Kaka nna uhakika na nilicho kushauri na ukitaka ushuhuda zaidi Emmanuel TV - A Christian Television Network by T.B. Joshua ingia hapo ujionee na BWANA akubariki...na labda nikuambie sio kufunikiwa kupata uzazi tu bali hata atakaye zaliwa atakuwa ni mbarikiwa
be Blessed !
Kuna Dk mmoja anafanyia Tumaini hospital. Kama sijakosea anaitwa Dk Kapona. Huwa ana clinic yake na wana uwezo wa kufanya hiyoAsante Nyani Ngabu, hata TZ specialist kama huyo anapatikana wapi, unaweza kuwa na idea?
Siku hao watoto wakiijiwa na baba zao itakuwa balaaIngekuwa mwanamke ndio mwenye tatizo wala tusingekuona hapa. Sasa tuseme huko hospitali umeambiwa huo ugonjwa hauna dawa au ni nini? Kama hakuna dawa mwenzio atakuvumilia tu hivohivo, ni shida na raha. Na hizi mambo za hospitali umejitafutia shida bure, sa hizi ungekuwa na watoto zamani! Akili kumkichwa. Nakupa mbinu hii kaka niskize uzuri. Nenda chukua dawa yoyote mradi haina madhara umeze. Halafu baada ya mwezi mwambie mkeo ushapona. Utaona anapata ujauzito na maisha yataendelea vizuri. Upole muhimu.