
Aanze kutembea na viwembeMkazi wa jimbo la Mchinga akerwa na ahadi alizotoa Mbunge wao nakudai anawaomba wananchi waamke maana Chama cha Mapinduzi kinawachezea akili
Ubabe tu. Ana godfatherNimependa ujasiri wake ,lakini hivi kwani kunaulazima gani yule Mama hadi aendelee kuwa mbunge kule Mchinga? Au nayeye ana ndoto ?