Hivi mbona hakuna mtu anayezungumzia kuunganisha gridi ya Tanzania na Zambia.Ili zamani wakati Nyerere hajafa ilikuwa katika mikakati ya serikali ya wakati huo kukabiliana na mgao.inaonekana alivyokufa tu watu wakaamua kupiga dili.Ndo haya tunayoyaona sasa
Su unaona magwanda mnavyokurupuka! hii post ni ya 17th January 2011 10:06 PM .
Umechanganya madawa, mimi ni member kuanzia hiyo 2007 uliyoisema, wakati huo tukijulikana kama wana Jambo Forums. Upo hapo ulipo? Au ulikuwa unachakachuwa kama kawaida yenu.