Mkataba wa UDA: Mbivu au mbichi kujulikana leo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,927
244,502
Hii ni baada ya jana BARAZA LA MADIWANI wa Jiji la Dar es salaam kulijadili kwa masaa kwa zaidi ya masaa 6 na kuahidi kuanika ' madudu ' yake ndani ya siku mbili kuanzia leo .

Chanzo - nipashe.

MyTake , UKAWA mkiweka uzalendo mbele , uamuzi wenu ndio utakuwa wa mwisho , namba hazijawahi kudanganya .

Hakuna cha Mafuru ( individual ) , wala Mafuru ( Msajili wa hazina )
 
Sasa hapo ndio tutakapojua nini maana ya kufuata taratibu na sheria badala ya munkari, hamu na ashki. Tusubiri tuone!
 
Afadhali uwekwe hadharani majizi yafahamike, UKAWA weka yote hata kama Papa au shehe mkuu walihusika, kwa sababu walijitahidi sana kuficha hili ila limeangukia mikononi mwa watendaji bora acha walitumbue.
 
Hii ni baada ya jana BARAZA LA MADIWANI wa Jiji la Dar es salaam kulijadili kwa masaa kwa zaidi ya masaa 6 na kuahidi kuanika ' madudu ' yake ndani ya siku mbili kuanzia leo .

Chanzo - nipashe.

MyTake , UKAWA mkiweka uzalendo mbele , uamuzi wenu ndio utakuwa wa mwisho , namba hazijawahi kudanganya .

Hakuna cha Mafuru ( individual ) , wala Mafuru ( Msajili wa hazina )
Mafuru huyu huyu aliyekuwa NBC wakati ikifilisika basi atakuwa Emfulu
 
Hii siyo utumbuzi, hii ni operation ya kidole tumbo, ni rahisi lakini delicate.

Vile vijiwe vikiangukia kwenye utumbo ndio inakuwa nntolee! yaani mgonjwa anakata moto,
WATU WANAANZA KUSHINDANA KUOMBOKEZA.
 
Hii ni baada ya jana BARAZA LA MADIWANI wa Jiji la Dar es salaam kulijadili kwa masaa kwa zaidi ya masaa 6 na kuahidi kuanika ' madudu ' yake ndani ya siku mbili kuanzia leo .

Chanzo - nipashe.

MyTake , UKAWA mkiweka uzalendo mbele , uamuzi wenu ndio utakuwa wa mwisho , namba hazijawahi kudanganya .

Hakuna cha Mafuru ( individual ) , wala Mafuru ( Msajili wa hazina )
kinachoniudhi ni makelele na hakuna uwajibishwaji sao as escrow epa richmond and so on
 
  • Thanks
Reactions: 999
Back
Top Bottom