Mkataba wa TRL hauvunjwi ng'o!

Watu wa Chalinze hawahitaji reli, na rais ni mtu wa Chalinze kwa hiyo hata tukipiga kelele namna gani, Kawambwa hajambo tu; kona zote zinazomzunguka ziko imara kumlinda.

Jambo la kushangaza ni kuwa Kawamba ni mtu mwenye akili sana. Alipokuwa mwalimu pale Engineering, alikuwa mtu anayetegemewa kwa mambo mengi hata yale yaliyo nje ya taaluma yake. Sasa hivi baada ya kuwa mwanasiasa, amefuata njia ile ile waliyopitia wengi waliomtangulia kutokea taasisi za elimu ya juu: Sarungi, Msola, Kapuya, Malima, Mbilinyi, na wengineo.
 
there are situations in which normal civilized words cannot express the disappointement of the majority. Such threads should be put in a place where people can speak their minds deep from their dissapoinments and not like what the contributors have done here. Double standards , upuuzi mtupu.

Upungufu wa mwekezaji ni sababu ya kuvunja mkataba, sasa wanataka nini mkataba kama ulikuwani kati nchi tatu Tanzani, India na Msumbiji basi waliotayarisha mkataba wapigwe risasi hadharani bila kupelekwa mahakamani, labda kama waziri anadanganya.

Shirika la reli 100% la serikali, rites ya mtu binafsi reli haipitipii msumbiji anyway simweweli waziri kabisa ingekuwa mtihani ningepata E
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom