Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 655
Habari zenu ndugu,
Ni takribani wiki tatu na kidogo zimepita tangu nilipoambiwa kwamba nimepita kwenye usahili na kuambiwa nipeleke vitu vinavyohitajika katika kampuni flani.Niliambiwa kwamba nitapigiwa simu ya kuitwa kazini lakini mpaka leo bado kimya.Nilijaribu kuwapigia simu na wameniambia kwamba wataniita mambo yakishakamilika,swali langu ni je kuna uwezekano wa hawa jamaa kuniita au nifanyeje.Naomba mwenye ufahamu wa mikataba ya ajira anisaidie kunifuta matongotongo hasa kwenye suala la kuchelewa kukamilika kwa mkataba.
Asante.
Ni takribani wiki tatu na kidogo zimepita tangu nilipoambiwa kwamba nimepita kwenye usahili na kuambiwa nipeleke vitu vinavyohitajika katika kampuni flani.Niliambiwa kwamba nitapigiwa simu ya kuitwa kazini lakini mpaka leo bado kimya.Nilijaribu kuwapigia simu na wameniambia kwamba wataniita mambo yakishakamilika,swali langu ni je kuna uwezekano wa hawa jamaa kuniita au nifanyeje.Naomba mwenye ufahamu wa mikataba ya ajira anisaidie kunifuta matongotongo hasa kwenye suala la kuchelewa kukamilika kwa mkataba.
Asante.