Mkataa asili yake mtumwa!!!

Mkataa asili yake mtumwa!!!

Haitakua rahisi kama mnavyofikiri,
Ule udongo waliochanganya Mwl. Nyerere na Mzee Karume una maana kubwa sana kwa hili Taifa.


Udongo aliuchanganya Nyerere pekeake, na ndio maana baada ya pale Karume akaenda waambia Wazanzibari kuwa ''MUUNGANO NI KAMA KOTI, LIKIKUBANA LIVUE''
 
Acha kutuyayusha wewe....kwani udongo ni nini.....na ni wangapi wamebaki wanajua au kusikiliza habari za udongo wa JKN na AK...sasa hivi dotcom life.
 
geophysics
Mbona uzi unajieleza wenyewe Mkuu, Mkataa asili yake ni mtumwa tu kwa asili ya mtu mwingine. Mimi naamini ule udongo ndio asili yenyewe na waliouchanganya walishatangulia mbele ya haki, kilichobaki ni kudumisha tu asili yetu. dot.com ndio utumwa wenyewe huu.....!
 
Last edited by a moderator:
Lugha Moja, watu waMoja, tabia Moja, elimu Moja, utamaduni Mmoja = nchi moja...
iliyobakia ni ni SIASA hizo wasitubabaishe. We will always remain ONE forever.

Lugha moja?? Yaani wewe msukuma na mpemba waongee kiswahili wataelewana??! :
Msukuma anakwambie.. naendagga..halafu amii anakwambia naaja mie!.. Weh pana raha hapo😀😀😀
 
Lugha moja?? Yaani wewe msukuma na mpemba waongee kiswahili wataelewana??! :
Msukuma anakwambie.. naendagga..halafu amii anakwambia naaja mie!.. Weh pana raha hapo😀😀😀
Kaka kahtani Waonaje asubuhi ya leo, Bingwa wangu Lugha yetu hii ya kiswahili ni katika lugha chache hapa duniyani ambayo in fahamika na kuzunguka miongoni mwetu kwa urahisi na radhaa na bila kupaza sauti au kukamuliana wanapo zungumza wana wa mikoa na kabila mbalimbali.(tafauti na lugha za kiafrika zingine ni kufokeana tu). Kiswahili ni zawadi kwetu na tuitunze japo kwa matamshi yetu ya namna uliyo zitoa, La umuhimu ni lugha ambayo imetuunganisha na kupendana kuitumia. Laa kama ipo lugha imetayarishwa basi imwageni humu tuitafakari!! kila la Kheri na wote muwesalama salmin..
 
Kaka kahtani Waonaje asubuhi ya leo, Bingwa wangu Lugha yetu hii ya kiswahili ni katika lugha chache hapa duniyani ambayo in fahamika na kuzunguka miongoni mwetu kwa urahisi na radhaa na bila kupaza sauti au kukamuliana wanapo zungumza wana wa mikoa na kabila mbalimbali.(tafauti na lugha za kiafrika zingine ni kufokeana tu). Kiswahili ni zawadi kwetu na tuitunze japo kwa matamshi yetu ya namna uliyo zitoa, La umuhimu ni lugha ambayo imetuunganisha na kupendana kuitumia. Laa kama ipo lugha imetayarishwa basi imwageni humu tuitafakari!! kila la Kheri na wote muwesalama salmin..
Mkuu maneno yako kama msumari!! kweli kabisa hakuna lugha taamu kama kiswahilijapokuwa bado ina mapungufu na kwa upande wangu, sijaona lugha kama hii, ila nawaasa watanzania wenzangu tujaribu kujitahidi kufuta zile lahja za kiasili tunapoongea kiswahili, mfano mchaga anatakiwa ajitahidi kusema "mzee" badala ya "msee" na mpemba ajitahidi kusema "mkate" badala ya "nkate" hapo tutafika mbali,
Ahsante kaka kwa maneno murua!
 
Wakuu, Waungwana na wapendwa; Mungu tena ukitakajua thamani ya lugha ya Kiswahili .. fanyeni kasafari kidogo muende nje ya nchi mipaka mwa jirani hapo alafu uanze kusikia wanye kuzungmza Kiswahili Looh looh utashangaa!1 alafu ije cll kuCmu yako uanze wewe kuongea Mmmh mbona wajamaa watakuzunguka!! eti wewe wa ajabu kwao...a uwe mwalimu wa lugha naona wengi watajiandikisha kuisoma.mataifa mengi wana taka kujifunza lugha hii na wengine wamekuja kujifunza hapa.
 
Back
Top Bottom