Mkasa wa maisha yangu

Status
Not open for further replies.
Nusura nitoe buku saba yangu.
Bora mmenishitua.
 
Mkuu umeona lakini maisha yake yanavyotia simanzi.

Mkuu P. Majaribu, naomba nikushauri kidogo, siku nyingine unajua habari ya mtu hapa jukwaani, na ana nia mbaya kama kutapeli. Tafadhali iweke wazi kuliko kufumba mafumbo, kama ulivyofanya kwa huyu.
Ungeweka wazi tu kuwa jamaa ana A to Z, inasaidia kuokoa muda, pia watu wasitapeliwe.
Sasa wewe umezunguka sana, mtu kaweka picha zake ndio unaanza kufunguka kidogo si vizuri. Ndio maana baadhi ya wadau hapa walikuona kama hutaki tu asaidiwe.
Jaribu kuwa muwazi kwenye jambo la kujenga km hili.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni shule mwanangu komaa, km yupo wakuthibitisha, kuhusu anayoyasema bwana mdogo basi tuweni tayari kumuunga mkono, jamani kijana hajaomba chakula ameomba elimu ili siku nyingine asiombe pesa.

Mungu atakupigania mwanangu Mbaga

Ndugu msisite kumsaidia, kama kadanganya hukumu ni juu yake.
 


Haaaa Haaaa wengine IQ zao Zipo juu mkuu
 

Io hoja ya ubunge.nna wasiwasi nayo maana kwa Sasa Ana miaka 23....Je Huo ubunge aligombea akiwa na miaka mingapi???
 
Last edited by a moderator:
kama ni kweli basi mm ntakuwa tayari kukusaidia endapo ntapata uthibitisho wa ukweli kuhusu hili humu jf
 

Nimetumia njia shirikishi ili watu wengi wathibitishe zaidi,isije ikaonekana Kama ninamsingizia huyo dogo.
 
Last edited by a moderator:
Io hoja ya ubunge.nna wasiwasi nayo maana kwa Sasa Ana miaka 23....Je Huo ubunge aligombea akiwa na miaka mingapi???

Hiyo ya ubunge nayo alitaka kutapeli.Huyu ni nguli katika mambo ya utapeli.
 

nitumie account number za necta nitakulipia
 
JF dodoma mmeshindwa kuthibitisha au n ukweli kuwa jamaa n tapel?
Ila nmefuatilia nmegundua jamaa n mhitaji halisi, hvo natoa wito tumchangie kwa kupitia shule anayosoma, ki msingi Jf dodoma wangetusaidia kumpata mkuu wa shule ili tuwasilishe michango kwake,
Ushaur kama hutaki kuchangia acha hulazimishwi!
 

Kumbuka kazaliwa 1991,kuomba msaada amalizie elimu ya O level haimaanishi ni mtoto,najua unajua hesabu so utakuwa ushakalkuleti umri wake
 

kweli dunia ina mambo manake ww unamuamini huyu dogo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…