kibamia original
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 262
- 770
Kwenda kwa mwanamke au lodge/ hotel atakayopropose mwanamke ni kitendo cha hatari Sana.
Shukuru Mungu uko salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukuru Mungu uko salama
.....Nilikuwa Mwanza Katika ujenzi Wa Minala.... Nikabahatika kumpata mrembo mmoja, akaniambia yuko Single na Amepanga si Mbali na pale Tulipofikia... Ajabu sasa Mida Ya Saa 4 Usiku 3 Usiku nikatimba magetoni.. Kabla Sijaanza Mgegeda... HODI inapigwa... Duhh kumbeka kaolewa Na mumewe ndo Karudi... Duuh Hofu ikanijaa Sana Nikaingia nyuma ya Sofa Kubwa Lakini sandos Nikazisahau pale Karibu na mlango... Mwanamke akazitupia uvunguni. Kumbe mzee baba Kaja na mchizi wake... Duuuuuuh Hofu ikazidi Sana..
Mwanamke akawa anajifanya Kama Kachoka Sana.... Na ajisikii kupika kwani jamaa Alikuwa anadai Wana Njaa na wanataka Ugali mkubwa.
Kuona mwanamke kachoka Yule Mr Akamtuma Yule jamaa Akanunue samaki yeye anapika ugali kwa Kutumia jiko la Mafuta... Jamaa akarudi wakala ugali jamaa Akaaga sasa Ajabu jamaaa Hata Hajamsindikiza Kaishia mlangoni.. Kavaa Taulo Kaunda Kuoga mlango Kaufunga kwa Nje..
....Mida Kidogo Kazima Taa Kama nusu Saa Hizi Kaanza KUMTAFUNA MKEWE haswaa mikelele Kama yote.. Dah Nikaanza Kuona Wivu.
Kuna wakati niliinuaka pale nilipokuwa na kuanza Kuwachungulia ...
Wakalala kabisa Na Kukoroma Juu.... Ila Mimi nilijitahidi kuwa Macho.. Mida ya Kumi hivi, nikasikia Hodi jamaa mmoja anagonga na Kumwambia jamaa Kumekucha wawahi.. Sikujuha kama ni Yule jamaa WA Usiku Au Lah.
Jamaa aakaamka akajiandaa na wakatoka.. Nilikaa Kama Nusu Sara Mwanamke Akanifata na kuniambia baby POLE sana... nilimkata jicho baya... Nikachukua viatu Vyangu nikaenda valia nje Tena Umbali mrefu Tu.
#Somo,Nimekoma Kwenda kwa Mwanamke
Mbaya Sana Hii Kitu Wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
