Mkasa Wa Kweli kunitokea

Mkasa Wa Kweli kunitokea

.....Nilikuwa Mwanza Katika ujenzi Wa Minala.... Nikabahatika kumpata mrembo mmoja, akaniambia yuko Single na Amepanga si Mbali na pale Tulipofikia... Ajabu sasa Mida Ya Saa 4 Usiku 3 Usiku nikatimba magetoni.. Kabla Sijaanza Mgegeda... HODI inapigwa... Duhh kumbeka kaolewa Na mumewe ndo Karudi... Duuh Hofu ikanijaa Sana Nikaingia nyuma ya Sofa Kubwa Lakini sandos Nikazisahau pale Karibu na mlango... Mwanamke akazitupia uvunguni. Kumbe mzee baba Kaja na mchizi wake... Duuuuuuh Hofu ikazidi Sana..

Mwanamke akawa anajifanya Kama Kachoka Sana.... Na ajisikii kupika kwani jamaa Alikuwa anadai Wana Njaa na wanataka Ugali mkubwa.
Kuona mwanamke kachoka Yule Mr Akamtuma Yule jamaa Akanunue samaki yeye anapika ugali kwa Kutumia jiko la Mafuta... Jamaa akarudi wakala ugali jamaa Akaaga sasa Ajabu jamaaa Hata Hajamsindikiza Kaishia mlangoni.. Kavaa Taulo Kaunda Kuoga mlango Kaufunga kwa Nje..
....Mida Kidogo Kazima Taa Kama nusu Saa Hizi Kaanza KUMTAFUNA MKEWE haswaa mikelele Kama yote.. Dah Nikaanza Kuona Wivu.
Kuna wakati niliinuaka pale nilipokuwa na kuanza Kuwachungulia ...
Wakalala kabisa Na Kukoroma Juu.... Ila Mimi nilijitahidi kuwa Macho.. Mida ya Kumi hivi, nikasikia Hodi jamaa mmoja anagonga na Kumwambia jamaa Kumekucha wawahi.. Sikujuha kama ni Yule jamaa WA Usiku Au Lah.
Jamaa aakaamka akajiandaa na wakatoka.. Nilikaa Kama Nusu Sara Mwanamke Akanifata na kuniambia baby POLE sana... nilimkata jicho baya... Nikachukua viatu Vyangu nikaenda valia nje Tena Umbali mrefu Tu.

#Somo,Nimekoma Kwenda kwa Mwanamke

Mbaya Sana Hii Kitu Wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Chai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann ulimkata jicho? je ni kwasababu aligegedwa ukaona wivu? au kutosema ukweli kuwa ana mme?
kwann uliondoka bila kuambulia hata makombo ya mgegedo? ungepiga kwanza cha fasta ndio ukasepa zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaahaaa.....
Pole sana mkuu, naona ulikomaa kiume....tehteehh
 
Mkuu hiyo asubuhi ungekula mzigo kabla ya kusepa,

Ila pole sana,unakutana na mtu mda mfupi unajiamini kwenda kwake,utakufa mkuu..usifanye hiyo kitu tena
 
.....Nilikuwa Mwanza Katika ujenzi Wa Minala.... Nikabahatika kumpata mrembo mmoja, akaniambia yuko Single na Amepanga si Mbali na pale Tulipofikia... Ajabu sasa Mida Ya Saa 4 Usiku 3 Usiku nikatimba magetoni.. Kabla Sijaanza Mgegeda... HODI inapigwa... Duhh kumbeka kaolewa Na mumewe ndo Karudi... Duuh Hofu ikanijaa Sana Nikaingia nyuma ya Sofa Kubwa Lakini sandos Nikazisahau pale Karibu na mlango... Mwanamke akazitupia uvunguni. Kumbe mzee baba Kaja na mchizi wake... Duuuuuuh Hofu ikazidi Sana..undefinedMwanamke akawa anajifanya Kama Kachoka Sana.... Na ajisikii kupika kwani jamaa Alikuwa anadai Wana Njaa na wanataka Ugali mkubwa.Kuona mwanamke kachoka Yule Mr Akamtuma Yule jamaa Akanunue samaki yeye anapika ugali kwa Kutumia jiko la Mafuta... Jamaa akarudi wakala ugali jamaa Akaaga sasa Ajabu jamaaa Hata Hajamsindikiza Kaishia mlangoni.. Kavaa Taulo Kaunda Kuoga mlango Kaufunga kwa Nje......Mida Kidogo Kazima Taa Kama nusu Saa Hizi Kaanza KUMTAFUNA MKEWE haswaa mikelele Kama yote.. Dah Nikaanza Kuona Wivu.Kuna wakati niliinuaka pale nilipokuwa na kuanza Kuwachungulia ...Wakalala kabisa Na Kukoroma Juu.... Ila Mimi nilijitahidi kuwa Macho.. Mida ya Kumi hivi, nikasikia Hodi jamaa mmoja anagonga na Kumwambia jamaa Kumekucha wawahi.. Sikujuha kama ni Yule jamaa WA Usiku Au Lah.Jamaa aakaamka akajiandaa na wakatoka.. Nilikaa Kama Nusu Sara Mwanamke Akanifata na kuniambia baby POLE sana... nilimkata jicho baya... Nikachukua viatu Vyangu nikaenda valia nje Tena Umbali mrefu Tu.undefined#Somo,Nimekoma Kwenda kwa MwanamkeundefinedMbaya Sana Hii Kitu WadauundefinedSent using Jamii Forums mobile app
pole mkuu umenikumbusha mbali sana
 
.....Nilikuwa Mwanza Katika ujenzi Wa Minala.... Nikabahatika kumpata mrembo mmoja, akaniambia yuko Single na Amepanga si Mbali na pale Tulipofikia... Ajabu sasa Mida Ya Saa 4 Usiku 3 Usiku nikatimba magetoni.. Kabla Sijaanza Mgegeda... HODI inapigwa... Duhh kumbeka kaolewa Na mumewe ndo Karudi... Duuh Hofu ikanijaa Sana Nikaingia nyuma ya Sofa Kubwa Lakini sandos Nikazisahau pale Karibu na mlango... Mwanamke akazitupia uvunguni. Kumbe mzee baba Kaja na mchizi wake... Duuuuuuh Hofu ikazidi Sana..

Mwanamke akawa anajifanya Kama Kachoka Sana.... Na ajisikii kupika kwani jamaa Alikuwa anadai Wana Njaa na wanataka Ugali mkubwa.
Kuona mwanamke kachoka Yule Mr Akamtuma Yule jamaa Akanunue samaki yeye anapika ugali kwa Kutumia jiko la Mafuta... Jamaa akarudi wakala ugali jamaa Akaaga sasa Ajabu jamaaa Hata Hajamsindikiza Kaishia mlangoni.. Kavaa Taulo Kaunda Kuoga mlango Kaufunga kwa Nje..
....Mida Kidogo Kazima Taa Kama nusu Saa Hizi Kaanza KUMTAFUNA MKEWE haswaa mikelele Kama yote.. Dah Nikaanza Kuona Wivu.
Kuna wakati niliinuaka pale nilipokuwa na kuanza Kuwachungulia ...
Wakalala kabisa Na Kukoroma Juu.... Ila Mimi nilijitahidi kuwa Macho.. Mida ya Kumi hivi, nikasikia Hodi jamaa mmoja anagonga na Kumwambia jamaa Kumekucha wawahi.. Sikujuha kama ni Yule jamaa WA Usiku Au Lah.
Jamaa aakaamka akajiandaa na wakatoka.. Nilikaa Kama Nusu Sara Mwanamke Akanifata na kuniambia baby POLE sana... nilimkata jicho baya... Nikachukua viatu Vyangu nikaenda valia nje Tena Umbali mrefu Tu.

#Somo,Nimekoma Kwenda kwa Mwanamke

Mbaya Sana Hii Kitu Wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah una bahati wangeweza kukufanya mbaya endapo wangekudaka, dont trust any body, hutakiwi kwenda kwa mwanamke, yaani sio tu nyumbani kwake bali hata ikionekana yeye anakuelekeza lodge flan ni hatari hasa unapokua ugenini maana hujui anawaza nini
 
vipi ungepata chafya ya ghala mkuu...kama nakuona vile hapo nyuma ya sofa. kojo linagonga hahaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom