PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,119
- 29,975
Kaondoa ushahidi wa kabati ndani hiyo haitasaidia kutopata kifungo
this is great point,how is that possible?,Mtoto ana miezi 5 alafu alifumgiwa kabatini kwa muda wa miezi 6, how came?
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa mwezi mmoja akiwa tumboni kabla ya kuzaliwa mama yake nae alikuwa anafungiwa Kwenye kabati...ambapo pia mwalimu hanaa kabati..Mtoto ana miezi 5 alafu alifumgiwa kabatini kwa muda wa miezi 6, how came?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa mkuu umenivunja mbavu zanguItakuwa mwezi mmoja akiwa tumboni kabla ya kuzaliwa mama yake nae alikuwa anafungiwa Kwenye kabati...ambapo pia mwalimu hanaa kabati..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo yanakanganya sanaa... CIA labda ndo wanaweza elewaa how is it possible mtoto wa miezi 5 kufichwa kwenye kabati kwa miezi 6 kwenye nyumba ambayo haina kabati...!!
Hakuna haja ya kusikia upande wa pili..Huyo beki 3 ni muongoo sanaaa...Sijui ni kwanini wasichana wa kazi huwa siwaamini amini huwa ni waongo sana.
Mtoto mchanga afungiwe kabatini toka asubuhi hadi saa 8 usiku halafu umkute mzima?
Mwajiri ana roho mbaya ila akamruhusu akae na mimba yake mmmh natamani nisikie upande wa pili
Hakuna haja ya kusikia upande wa pili..Huyo beki 3 ni muongoo sanaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja ya kusikia upande wa pili..Huyo beki 3 ni muongoo sanaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinafiki sana hivi vitoto vya kazi!!!!Sijui ni kwanini wasichana wa kazi huwa siwaamini amini huwa ni waongo sana.
Mtoto mchanga afungiwe kabatini toka asubuhi hadi saa 8 usiku halafu umkute mzima?
Mwajiri ana roho mbaya ila akamruhusu akae na mimba yake mmmh natamani nisikie upande wa pili
Na kwa nini unyanyase msichana wa kukulelea watotoInawezekana alikua ananyanyaswa kweli ila si kwa kiwango anachokiongea huyo msichana
We huyo beki tatu ni nduguyo???Teacher nduguyo nini?