Duu sheria ichukue mkondo wake harakaKama nilivyotumiwa
Ukhty Leo Nina mkasa nimeukuta hospitali ya mkoa wa Dodoma nilienda kusalimia wagonjwa,nikakuta binti wa kazi amelazwa kapigwa na boss wake mpk kamjeruhi,,,kisa alichelewa kuamka kumchemshia maji ya kuoga huyo mama ambae ni mwalimu wa shule ya msingi mlimwa C iliyopo hapa mjini Dodoma. Binti anaonekana kidogo anamatatizo ya akili japo anajielewa vzr,alipata ujauzito boss wake akamwambia asiseme kwa yeyote km ana mimba,mpk kajifungua kamwambia asiwaambie ht majirani km ana mtoto kwan hapo hakuja kuzaa bali alikuja kumlelea watoto wake,kwahiyo huyo mtoto akawa anamfungia kweny kabat lake la nguo huyo boss ili majiran wasisikie sauti ya mtoto kwa muda wa miezi mitano had Jana alipompiga had akazimia ndo siri ikagundulika,,binti yupo Hosp na mwanae,hali ya hako katoto ni ngumu mnoooo,ukiambiwa anamiez mitano huwezi kuamini,kwakweli nimeumia had nimeliaaaa,,,sijaamini sisi wanawake km ni wakatili kwa kiwango hiki,nimeumia mnooo km utaona yafaa peleka kwa group wamama wengine waone unyama huu na wenye roho za kiuaji km hizi waache tafadhari
Na yeye afungiwe kabatini shwaini mmoja huyo.Kama nilivyotumiwa
Ukhty Leo Nina mkasa nimeukuta hospitali ya mkoa wa Dodoma nilienda kusalimia wagonjwa,nikakuta binti wa kazi amelazwa kapigwa na boss wake mpk kamjeruhi,,,kisa alichelewa kuamka kumchemshia maji ya kuoga huyo mama ambae ni mwalimu wa shule ya msingi mlimwa C iliyopo hapa mjini Dodoma. Binti anaonekana kidogo anamatatizo ya akili japo anajielewa vzr,alipata ujauzito boss wake akamwambia asiseme kwa yeyote km ana mimba,mpk kajifungua kamwambia asiwaambie ht majirani km ana mtoto kwan hapo hakuja kuzaa bali alikuja kumlelea watoto wake,kwahiyo huyo mtoto akawa anamfungia kweny kabat lake la nguo huyo boss ili majiran wasisikie sauti ya mtoto kwa muda wa miezi mitano had Jana alipompiga had akazimia ndo siri ikagundulika,,binti yupo Hosp na mwanae,hali ya hako katoto ni ngumu mnoooo,ukiambiwa anamiez mitano huwezi kuamini,kwakweli nimeumia had nimeliaaaa,,,sijaamini sisi wanawake km ni wakatili kwa kiwango hiki,nimeumia mnooo km utaona yafaa peleka kwa group wamama wengine waone unyama huu na wenye roho za kiuaji km hizi waache tafadhari🙏🏼
Kama nilivyotumiwa
Ukhty Leo Nina mkasa nimeukuta hospitali ya mkoa wa Dodoma nilienda kusalimia wagonjwa,nikakuta binti wa kazi amelazwa kapigwa na boss wake mpk kamjeruhi,,,kisa alichelewa kuamka kumchemshia maji ya kuoga huyo mama ambae ni mwalimu wa shule ya msingi mlimwa C iliyopo hapa mjini Dodoma. Binti anaonekana kidogo anamatatizo ya akili japo anajielewa vzr,alipata ujauzito boss wake akamwambia asiseme kwa yeyote km ana mimba,mpk kajifungua kamwambia asiwaambie ht majirani km ana mtoto kwan hapo hakuja kuzaa bali alikuja kumlelea watoto wake,kwahiyo huyo mtoto akawa anamfungia kweny kabat lake la nguo huyo boss ili majiran wasisikie sauti ya mtoto kwa muda wa miezi mitano had Jana alipompiga had akazimia ndo siri ikagundulika,,binti yupo Hosp na mwanae,hali ya hako katoto ni ngumu mnoooo,ukiambiwa anamiez mitano huwezi kuamini,kwakweli nimeumia had nimeliaaaa,,,sijaamini sisi wanawake km ni wakatili kwa kiwango hiki,nimeumia mnooo km utaona yafaa peleka kwa group wamama wengine waone unyama huu na wenye roho za kiuaji km hizi waache tafadhari🙏🏼
Mwanamke mwenye akili na roho ya hivyo anakuwaje na mwanaume kwa mfano.
Achana na mwanamke mkuu! NI VIUMBE WENYE ROHO MBAYA KULIKO KIUMBE KINGINE CHOCHOTE DUNIANI!
Haha mama taaluma yake ni mwalimu " ... anatufundishia watoto wetu " Ambao tunatarajia kupitia mafundisho yake " watakuja kuwa ni watoto bora walio elimika staarabika na ndio mfano bora wa baadae wakuigwa katika jamii (refer watoto ni taifa la kesho )
So kwa huu unyama alio utenda kwa huyo dada wa kazi " Ni wazi ya kwamba kuna haja ya sisi kuwatizama watoto wanaofundishwa na huyo mwalimu kuwa ni wahanga " wakuu wanao athirika kwa tabia mbovu za huyo mama " akiendelea kuacha basi tutaraji kujua kuwa na kizazi cha jamii iliyojaza wana taaluma mbali mbali wenye roho katili kama yake "
zinazo pelekea watoto wetu kuiga tabia zake mbovu za unyanyapaa na manyanyaso " Tabia ambazo huja kuchochea taifa letu kuja kuwa na kizazi cha watu katili waliokosa utu nastaha katika Jamie yetu " (kama jiwe)
Jamii yetu inamtambua mwalimu kuwa nimlezi wa pili baada ya mzazi " so tunataraji kuwa na kizazi cha namna gani hapo baadae" ikiwa mlezi huyu tuliye mkabidhi mamlaka ya kuwaelimisha watoto wetu maisha yake yamezungukwa na tabia hizi korofi zilizo kosa Utu " ...
Huyo hafai hata kuwa mwalimu tena kwa sababu watoto wetu watakuwa ni wahanga wa tabia zake so anapaswa kufukuzwa kazi na kuwajibishwa kisheria " ili iwe fundisho kwa wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaBasi huyo anamatatizo ya kisaikolojia anahitaji msaada tofauti na hapo ni mchawi
mkuu hili sio la kucheka inahuzunisha sana sanaHahaha mbona mwenyemtoto haonekani?!