Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,327
- 6,850
- Thread starter
- #1,961
KWA UPANDE WA KANISANI:
BAADA YA CODE HII YA “GENE” AU “PHONOLOGY” KUWA IMEZINDULIWA RASMI NA KCCW-2 SIKU ALIPOTEMBELEA OFISINI KWA MHUSIKA
Pattern iliyoanza kujitokeza kuanzia pale ni kwamba kuna BAADHI YA MAJINA ambayo yalikuwa yakitajwa kutokea juu madhabahuni, AJALI MBAYA SANA ZA BARABANI ZILIKUWA ZINATOKEA
Ushahidi kuhusiana na swala hili mhusika alishawahi kuuleta humu ikiwa ni pamja na malalamiko yake
Hii ni kutokana na ukweli kuwa baada ya code hii kuzinduliwa; baadhi tu ya mambo machache yaliyotokea ni kama yafuatayo
Katika hili KM-A na Kinara wa Matangazo walihusika zaidi
Mbali na hilo, mhusika alikuwepo maeneo ya uwanja wa ndege akisindikiza wageni na hatimaye kubahatika pia kuonana na watu kadhaa aliowataja kwenye posts zilziopo hapo juu, siku ya J5 tarehe 21/09/2022
Kutokea siku hiyo, ilipofika J2 ya tarehe 27/11/2022, ajali ya kwanza kubwa ya ndege ilitokea nchini
Ni kwa sababu kwa wakati huo, vyombo vya usafiri vilianza kuwa vinabeba majini pia badala ya watu pekee
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
BAADA YA CODE HII YA “GENE” AU “PHONOLOGY” KUWA IMEZINDULIWA RASMI NA KCCW-2 SIKU ALIPOTEMBELEA OFISINI KWA MHUSIKA
Pattern iliyoanza kujitokeza kuanzia pale ni kwamba kuna BAADHI YA MAJINA ambayo yalikuwa yakitajwa kutokea juu madhabahuni, AJALI MBAYA SANA ZA BARABANI ZILIKUWA ZINATOKEA
Ushahidi kuhusiana na swala hili mhusika alishawahi kuuleta humu ikiwa ni pamja na malalamiko yake
Hii ni kutokana na ukweli kuwa baada ya code hii kuzinduliwa; baadhi tu ya mambo machache yaliyotokea ni kama yafuatayo
- Genes za kwenye mwili wa binadamu zilibadilika na kuwa “jini” na hivyo baadhi ya watu wanaweza kuwa walibadilika completely na kuwa “majini”
- Majina ya waumini Kanisani na watu wengine mahali popote pale, yalibadilika na kuwa “Majini”
- Vile vile neno “jina” lilibadilika na kuwa “jini”
Katika hili KM-A na Kinara wa Matangazo walihusika zaidi
Mbali na hilo, mhusika alikuwepo maeneo ya uwanja wa ndege akisindikiza wageni na hatimaye kubahatika pia kuonana na watu kadhaa aliowataja kwenye posts zilziopo hapo juu, siku ya J5 tarehe 21/09/2022
Kutokea siku hiyo, ilipofika J2 ya tarehe 27/11/2022, ajali ya kwanza kubwa ya ndege ilitokea nchini
Ni kwa sababu kwa wakati huo, vyombo vya usafiri vilianza kuwa vinabeba majini pia badala ya watu pekee
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA