#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KILE ALICHOFANYA KB KWENYE MADHABAHU YA KANISA A J2 ILIYOPITA

ALIRUSHA PEPO KWENYE MADHABAHU YA KANISA JIPYA NA HATIMAYE KU-ILINK MADHABAHU HIYO NA MADHABAHU ILE YA KANISA LA ZAMANI


KB alirusha pepo kwenye madhabahu ya Kanisa jipya ikiwa ni pamoja na ku-iconnect madhahabahu hiyo na ile ya Kanisa la zamani

Alifanya hivyo alipokuwa akisema kuwa kabla ya J2 hiyo, aliwahi kuhudumu Kanisani hapo mara moja wkati waumini walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani

Maneno hayo ya KB yanaweza kuwa ni ya kweli iwapo tu KB alifanya hivyo katika kipindi kile ambacho mhusika alikuwa yupo Kanisa B; na ambako ndiyo kule hata yeye KB alikuwepo kipindi hicho

Vinginevyo linaweza kuwa lilikuwa ni changa la macho ukizingatia kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona Kiongozi huyu akihudumu kwenye madhabahu ya Kanisa A

Zaidi ni kuwa ni kitu cha kawaida sana mgeni kukaribishwa Kanisa A halafu akaanza kuongea uongo akiwa amesimama juu ya madhabahu,

Mfano mwingine halisi ni J2 ya wiki kadhaa zilizopita pale ambapo mgeni mmoja alikaribishwa kulisalimia Kanisa na akaanza kusifia ujenzi huku akisema ni mara yake ya kwanza kufika Kanisani hapo, ilhali mwanzoni tu wa mwaka 2012 mgeni huyu aliwahi kuwepo Kanisani hapo. Ni yule mgeni ambaye ana uhusiano na BIBI aliyewahi kuwa mmiliki wa Kiwanja cha Kanisa

KB alisema kuwa mara ya kwanza alipohudumu Kanisa A, ilikuwa ni wakati ule ambapo Kanisa la zamani lilikuwa bado linatumika, na hapo ndipo alipo-ilink madhabahu ya Kanisa la zamani na ile ya la sasa

Hata hivyo, madhabahu hiyo ya zamani imekuwa kwa muda mrefu iko linked na ile ya sasa isipokuwa possibly J2 iliyopita kuna kitu kilikuwa kimeenda kombo na hivyo KB kulazimika ku-RENEW link hiyo, na pengine ndiyo maana kwa mara ya kwanza madhabahu hiyo ilikuwa imezungushio uzio wa nguo

Katika hali ya kawaida, mara zote madhabahu hiyo huwa iko wazi bila kuwa imezungushiwa chochote

Mbali na hayo, madhabahu hiyo ya Kanisa la zamani imekuwa muda wote iko linked na ile ya Kanisa jipya na hii ya zamani ndiyo ile ambayo imekuwa iikitumika hasa kutengeneza faulo zote zinazopikwa kutokea Kanisani hapo, isipokuwa wao viongozi wa Kanisa A walivyo na akili nyingi, huwa hawajui kama mhusika anajua kuwa madhabahu hizo mbili ziko linked

Mhusika anajua hilo tangu siku nyingi sana nyuma isipokuwa tu Mungu bado hajasema naye namna ya kufanya ili aweze kuzitenganisha madhabahu hizo mbili zisiendelee kuwa na uhusiano tena MILELE; mhusika bado anausubiria wakati wa Bwana

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 29TH FEBRUARY 2024

TUKIO LILILOTUKIA OFISINI KWA MHUSIKA MUDA HUU

MHUSIKA HAKUWAHI KUZIJUA KABISA BAADHI YA MBINU AMBAZO WATU HUWA WANAZITUMIA KUTAFUTA “FWEDHA”


Mhusika atakuja kutoa ufafanuzi zadi kuhusiana na mada hii huko mbele ya safari akishalipwa maslahi yake, bado hayajalipwa hadi leo

IJUMAA ILIYOPITA YA TAREHE 23/02/2024 STAFF AMBAYE KWA SASA ANAJULIKANA KWA CHEO MAARUFU KAMA HR, ALILETA MATUNDA OFISINI YENYE SUMU NA KUYAACHA CHUMBA CHA TEA ROOM


Imekuwa kawaida kwamba watu wanakuja na matunda na kuyaacha kwenye chumba hicho na baada ya hapo, watu wanaanza kujisevia kwa nafasi yao

Mhusika alijisevia kipande kidogo tu cha tunda halafu kesho yake Jumamosi asubuhi akawa amepata shambulio la koo

Shambulio hili la koo lilifanana exactly na mashambulio yale ya nyuma
ambayo mhusika alikuwa akishambuliwa na aliyekuwa anahusika na mashambulio ya kipindi hicho alikuwa ni MR X

  • Kwa safari hii, MR X hakuwepo na kama ngekuwepo, basi kuna uwezekano mkubwa mhusika angeweza kusema kuwa hata katika hili nalo pia alihusika
  • Kwa utafiti wake hadi kufikia sasa, kuhusiana na mashambulio yale ya awali, mhusika ana dhana kuwa KWA MARA NYINGI SANA, yalikuwa yanafanywa au kutekelezwa kupitia kwenye mfumo wa maji ya kunywa wa nyumbani kwake mhusika
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa mashambulio hayo yalikoma mara tu baada ya mfumo wa maji yanayoingia nyumbani kwa mhusika, kuunganishwa na mfumo wa nyumba nyingine ya jirani yake
Tangu mfumo wa maji yanayoingia nyumbani kwa mhusika uunganishwe na mfumo wa nyumba jirani, mhusika hajawahi kupata tena shambulio la koo

……………………………..inaendelea
 
MALELZO ZADI KUHUSIANA NA MATUNDA YENYE SUMU YALIYOLETWA NA HR IJUMAA ILIYOPITA

Chances ni kwamba matunda hayo yaliondolewa kwenye chumba hicho mara tu baada ya mhusika kuwa amechukua kipande chake; yaweza kuwa possibly kulikuwa na watchdog kwa sababu uhakika alionao mhusika kwenye swala hili ni kwamba hayupo mtu mwingine ambaye alikula matunda hayo, vinginevyo sasa hivi watu wangekuwa wanaongea mengine.

OM-2 naye pia alichukua matunda hayo, na alichukua kiasi kikubwa zaidi, lakini baada ya hapo, kwa siku nzima mhusika hakumuona OM-2 akila matunda hayo; aliyachukua tu na kuja kuyahifadhi ofisini

KILE KILICHOTOKEA LEO MUDA MFUPI OFISINI KWAKE MHUSIKA: MTU AMBAYE ALIONEKANA KUWA NI MWANAFUNZI, AMEFIKA OFISINI KWAO NA KUOMBA AACHE BEGI LAKE HUMO


Mtu huyu aliwakuta watu wawili ofisini; OM-1 na mhusika, na baada ya kuingia, alimfuata mhusika na kumuomba aache begi lake ofisini humo ili aende akafanye mtihani

Wajati huo, OM-2 hakuwepo ndani ofisini na amekuwa hayupo tangu asubuhi na kulingna na wa maelezo ya OM-1 aliyoyatoa kwa mhusika, OM-1 anadhani kuwa OM-2 yuko somewhere anasimamia mitihani inayoendelea muda huu, japo hakuwa na uhakika sana na dhana yake hiyo

MAONGEZI MAFUPI YA MWENYE BEGI NA MHUSIKA

Kabla mhusika hajamhoji zaidi kwa nini alikuwa mwanafunzi huyu alikuwa anataka kuanzisha utaratibu mpya wa namna ya kuhifadhi begi lake, mwanafunzi alidai kuwa karibia mara zote huwa analihifdhi begi hilo kwa “SIR J.”; staff junor ambaye anashare ofisi na Mkuu wa Idara mstaafu wa 2006-2012, ambaye kwa bahati mbaya kwa leo hakubahatika kumkuta ofisini

WAKATI MAHOJIANO YAO YAKIWA YANAENDELEA, OM-1 ALIINGILIA KATI MAONGEZI YAO NA KUMRUHUSU MWANAFUNZI HUYO KULIACHA BEGI HILO

OM-1 alimruhusu kwa kumwelekeza mwanafunzi huyo kuliweka begi hilo mezani kwa OM-2; ambaye (OM-2) nhakuwepo ofisini, na hadi muda huu bado hajarudi ofisini

  • Baada ya ruhusa hiyo, CHAP CHAP mwanafunzi huyo alisogea mezani kwa OM-2 na kuliweka begi lake pale
  • Hapo mhusika aligundua trick iliyokuwa nyuma ya wawili hawa na kumuomba mwanafunzi huyo alichukue begi hilo na atoke ofisini
Baada ya hapo, mwanafunzi aliichukiua begi hilo na hatimaye kuondoka nalo

Zaidi ni kuwa baada ya hapo, OM-1 alimdokeza mhusika kuwa utaratibu wa kuhifadhi mabegi wakati wa mitihani umebadilika na ndiyo maana huyu alikuwa anajaribu kutumia njia nyingine

…………………inaendelea
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA TUKIO LA HR ALIYELETA MATUNDA YENYE SUMU OFISINI

Huyu mtu “DISGUISED HR” yuko COORDINATED kwa kiwango kikubwa sana na MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) na huyu ndiye kwa kipindi cha hivi karibuni tu, ameasisi huu mtindo wa kuwa analeta matunda ofisini na kuyaacha TEA ROOM

Kabla ya hapo, mtindo huu wa kuleta matunda ofisini haukuwahi kuwepo

Kwa namna ambavyo mhusika alishamsoma MMU kwa kipindi kirefu, huyu ni mtu ambaye anaweza kufanya kazi yoyote ile BILA KUJALI NJIA ANAYOITUMIA KUFANYA KAZI HIYO, provided matokea ya mwisho ni FWEDHA

Kama MMU angekuwa hajaajiriwa, angeweza kufanya kazi yoyote ilke na kwa kutumia njia yoyote ile, PROVIDED THE END RESULT NI FWEDHA

Zaidi ni kuwa utafiti wake mhusika umeshamuonyesha pia kuwa kabla MMU hajawa recruited kama mwanafunzi kwa ajili ya masomo kwenye taasisi, alitafutwa huko mtaani maalumu kwa ajili ya kuja kusoma na hatimaye baada ya masomo aweze kuajiriwa, NIA IKIWA ni ili aweze kushughulika na mhusika

Kwa umbile MMU ni mtu wa kawaida; isipokuwa kwa mambo mengine yaliyobaki ni kitu kingine tu tofauti na binadamu ambacho siri yake inashikiliwa na Mungu mwenyewe

Kwa hiyo MMU aliwahi kumfahamu mhusika hata kabla hawajawahi kuonana kwa sura

MATUKIO MENGINE YA ZAMANI YA MASHAMBULIO YA KOO


Baadhi tu ya post zake ni hizi hapa

…………………inaendelea
 
TUKIO LA MWANAFUNZI ALYETAKA KUACHA BEGI LAKE OFISINI KWAO MHUSIKA, LIMETOA UFUNUO WA JAMBO JINGINE JIPYA AMVBALO MHUSIKA ALIKUWA BADO HAJALIELEWA

MSHAHARA WA MWEZI HUU WA MHUSIKA UMEKATWA LAKI MBILI KAMILI NA HAKUNA OFFICIAL WRITTEN NOTIFICATION YA MAKATO HAYO, ISIPOKUWA MAELEZO YA SMS TU KUTOKA KWA MTU ASIYEJULIKANA JINA KWAMBA NI DENI LA PANGO LA NYUMBA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 06TH MARCH 2024
KUHUSIANA NA HUYU OFISA AMBAYE HUWA KILA MARA ANAKATAKATA TU MSHAHARA WA MHUSIKA: AMBAPO KWA MWEZI ULIOPITA ALIKATA LAKI MBILI


MHUSIKA ANAIOMBA MAMLAKA ILIYO JUL YAKE IMZUIE KUENDELEA KUKATAKATA MSHAHARA WA MHUSIKA

VINGINEVYO KAMA ANAONA NI HALALI KUENDELEA KUFANYA HIVYO, BASI MAMLAKA HIYO IMTAKE AWE ANAMWANDIKIA BARUA KWANZA MHUSIKA KUMJULISHA JUU YA MAKATO HUSIKA, BADALA YA KUWA ANAKATAKATA KIMYA KIMYA KAMA AMBAVYO AMEKUEWA AKIFANYA

MAKATO YOTE MAPYA YANAYOANZISHWA KWENYE MSHAHARA WA MHUSIKA KATIKA HALI YA KAWAIDA YANATAKIWA KUWA YANAAMBATANA NA TAARIFA RASMI YA MAANDISHI, NA KAMA SIVYO BASI MAKATO HAYO HAYATAKIWI KUFANYIKA

NI OMBI TU LA MHUSIKA KWA MAMLAKA AMBAZO MTU HUYU ANATUMIKA CHINI YAKE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 08TH MARCH 2024

JANA ALHAMIS YA TAREHE 07 MARCH APRIL BAADHI YA VIBAO VIPYA VYA KWENYE MILANGO YA OFISI VILIVYOWAHI KUWEKWA MWAKA JANA, VILIBADILISHWA NA KUWEKWA VIBAO VINGINE VIPYA ZAIDI


Mhusika bado anaendelea na utafiti wake kuhusiana na vibao hivi na taafifa zaidi zitawajieni kwenye siku zijazo

Muhimu ni kuwa kibao cha OM-2 kilichowahi kuwekwa mlangoni mwaka jana wakati wanafunzi walipokuwa wapo likizo, nacho pia kilibadilishwa kwa kuwekwa kibao kingine kipya zaidi, na ikiwa ni kwenye kipindi kingine tena ambacho wanafunzi wapo likizo

Kutokana na hali hiyo, OM-2 amepata vibao viwili, kimoja kipo mlangoni na cha pili ameamua kukiweka ndani ofisini kwenye uelekeo wa Meza yake ambapo huwa inakaa

Swala hili bado lipo kwenye utafiti na mhusika atakuja kutoa tena mrejesho kamili huko mbele ya safari

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI ALIOPEWA MHUSIKA BAADA YA KUWA AMEKATWA TZS 200,000/= KWENYE MSHARA WA MWEZI WA FEBRUARI 2024
Baada ya kuwa amekatwa laki mbili kwenye mshahara wa mwezi uliopita, mhusika alishauriwa akamuone Mkurugenzi wa Fedha lakini hakufanikiwa kupata nafasi ya kwenda kumuona mkuu huyo
Mara ya mwisho alikuwepo kwenye ofisi hiyo ilikuwa ni Oktoba 2022 (mwaka juzi), alipokuwa anafutailia malipo ya likizo yake ya kipindi hicho, ambayo hakuwa amelipwa na bado hayajalipwa hadi leo hii
 
UPDATE: FRIDAY, 15TH MARCH 2024

A VERY UNIQUE AND RARE COINCIDENCE ALIYOIBAINI MHUSIKA KWENYE NAMBA ZA USAJILI ZA MAGARI YA STAFF MATES WAKE WOTE WALIOPO IDARANI KWAKE


Mhusika amekuja kubaini kuwa namba za magari za office mates walio wengi wa mhusika; angalau kila gari ina tarakimu moja au mbili zinazofanana na tarakimu zile zilizopo kwenye namba za usajili za gari la mhusika; isipokuwa kwa magari matatu au manne

Magari yaliyo na tarakimu ambazo zote ziko tofauti na zile za gari la mhusika ni yafuatayo

Gari moja la binafsi la Mkuu wa Major Unit (MMU)

Jingine ni gari la “Junior staff” mume wa mkwe wa mhusika.

Hata hivyo, gari la “Junior” huyu linazo herufi mbili (charactrers) zinazofanana na gari jingine la jirani yake mhusika; ambaye (jirani huyu), magari yake yote mawili yanazo pia tarakimu zilizopo kwenye gari la mhusika

Jingine ni gari la swahiba wa mhusika ambaye huwa wanafundisha kozi moja. Hili nalo pia halina tarakimu hizo

Possibly linaweza kuwepo gari jingine la nne ambazo halina tarakimu hizi, na kama litakuwepo mrejesho wake utafuata baadaye

Magari mengine yote yaliyobaki, namba zake za usajili zina tarakimu moja au mbili zilizop kwenye gari la mhusika

Kwa mfano;

  • Magari yote mawili ya ofisi, yanazo tarakimu za aina hiyo pia, likiwemo lile la MMU ambalo lenyewe linazo tarakimu zote tatu zilizopo kwenye gari la mhusika
  • Gari jipya la Senior Mstaafu wa Kike (SMKE), linazo tarakimu mbili wakati lile la zamani, linayo tarakimu moja
  • Gari la Katibu Muhtasi mgeni aliyehamia idarani mwezi uliopita, linazo tarakimu mbili
HITIMISHO

Hii inaweza kuwa ni rare coincidence tu ya kawaida kwa sababu possibility ya kuchagua tarakimu moja kati ya 0 na 9 huku 0 ikiwa haitakiwi kuwa ya kwanza, ni 9 na ni ndogo mno; na hivyo ni kawaida kwa watu wapatao 40 kuwa na magari yenye namba za usajili ambazo tarakimu zake zimeingiliana kwa kiwango kikubwa

Vinginevyo mhusika bado anakusanya nguvu ili kuleta maelezo fasaha yanayohuissna na maelezo aliyowahi kuyatoa kwenye post hizi, yanayohusiana na namna ambavyo umeme huwa unabadilika nyumbani kwake

#1,864

#1,860

#1,858

#1,180

#1,174

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UFAFANUZI ZAIDI WA KILE ALICHOKIELEZA MHUISKA KUHUSIANA NA TARAKIMU ZA NAMBA HIZI ZA USAJILI WA MAGARI

Katika hali ya kawaida, tarakimu huwa ziko 10, na mojawapo ambayo ni 0, huwa haitumiki kama namba ya kwanza

Kwa hiyo uwezekano wa kupata tarakimu ya kwanza ya namba yoyote ya usajili ni 9

Vile vile,

  • uwezekano wa kupata tarakimu ya pili ya namba yoyote ya usajili ni 9 vile vile kwa sababu hapa 0 inaweza kutumika na namba inaruhusiwa kujirudia huku namba “111” ikiwa haipo
  • uwezekano wa kupata tarakimu ya tatu ni 9
Huu ni uwezekano wa kupata tarakimu zote tatu tu bila kujali herufi zitazokazotumika na namba hizo

Kwa hiyo katika hali ya kawaida, kuna uwezekano wa wa kupata tarakimu za namba za usajili wa magari

Ukiondoa tena namba “111” ambayo haipo, unabaki na possibilities 728

UWEZEKANO WA KUPATA NAMBA AMBAZO HAZINA TARAKIMU ZOTE TATU ZILIZOPO KWENYE GARI LA MHUSIKA

Kupata uwezekano huu, inabidi kuziondoa tarakimu tatu kwenye jumla ya tarakimu zote 10 zizlizopo, ambazo ni kati 0 na 9 na hivyo kubakiwa na tarakimu 7 badala ya 10

Kwa hiyo uwezekano huo ni

Ukiondoa tena namba “111” unabakiwa na possibilities 342

Kwa hiyo, yumkini (PROBABILITY) ya kupata tarakimu tatu za namba ya usajili ambayo tarakimu zake zote tatu hazifanani na zile zilizopo kwenye namba ya usajili wa gari la mhusika ni



Hii ni PROBABILITY ya TARAKIMU TU, bila kujali HERUFI za namba husika ya usajili ya gari

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 18TH MARCH 2024

KILE KILICHOPELEKEA MTOTO AMBAYE HAKUWA MGONJWA KUPEWA RUFAA KUTOKA MKOANI AKITOKEA NYUMBANI NA PASIPOK KUWA AMELZWA KWENYE HOSPITALI AU DISPENSARY

PRESENTATION MOJA ILIYOFANYWA NA PROFESA KANISANI JANA J2 YA TAREHE 17/03/2023 MARA BAADA YA IBADA KUMALIZIKA, INA UHUSIANO MKUBWA SANA NA TUKIO LA MTOTO HUYU

MTUMISHI WA MUNGU MGENI ALIYESIMAMA MADHABAHUNI J2 HAHUSIAKI NA CHOCHOTE KILICHOMO KWENYE MAELEZO HAYA

MAELEZO YA MAFUPI YA UTANGULIZI


Moja kati ya presentation mbili zilizofanywa Kanisani jana J2 ya tarehe 17/03/2023 ilikuwa na uhusiano mkubwa wa kiroho na presentation ile ya kwanza aliyowahi kuifanya Profesa aliyehusika, mwezi Februari 2023 (mwaka jana

Mbali na hilo presentation zote hizi mbili za Profesa, yaani ile ya zamani na ile ya jana, zina uhusiano na ile swala la mtoto aliyewahi kusingiziwa kuwa ni mgojnwa ilhali alikuwa ni mzima, na hivyo kupewa rufaa ya kuja kupatiwa matibabu huku akiwa anatokea nyumbani kwao anapoishi; pasipo kuwa amelazwa kwenye hospitali ya rufaa ya kwenye Mkoa ule alikokuwa anatokea

  • Akiwa bado yupo huko, kwa kuanzia, mtoto huyo alipewa rufaa kutokea kwenye Dispensari kwenda hospitali ya rufaa ya huko mkoani kwake
  • Baada ya kuwa amepokelewa hospitlai ya rufaa, mtoto huyu alianza kuwa anapelekwa clinic kwa ajili ya kuchukua vipimo huku akipatiwa dawa na kurudi nyumbani pasipo kulazwa kwenye hospitali hiyo, na aliendelea kupata matibabu kwa mtindo huo kwa takribani wiki nne, kabla hajapewa tena rufaa nyingine ya kuja huku kwa aili ya matibabu zaidi
KIPINDI AMBACHO MTOTO HUYU ALIONEKANA KUWA ANA TATIZO

Alifunga shule wakati wa Pasaka ya mwaka 2022 akiwa mzima wa afya thabiti, lakini ndani ya kipindi hicho hicho cha likizo ya Pasaka, ndiyo pale alipoonekana kuwa ana tatizo na hivyo kuanza clinic muda huo akianzia Despensary na hatimaye kutokea Dispensary kwenda Hospitali ya rufaa, na hivyo tangu npale hakufanikiwai tena kurudi shuleni kwake hata baada ya likizo ya Paska kuwa imemalizika

KILE KILICHOPELEKEA HAYA YOTE KUTOKEA KWA MTOTO HUYU

ZILIHITAJIKA DNA ZA MHUSIKA, YAANI MJOMBA WAKE MTOTO, KUPITIA DNA ZA MTOTO HUYU


Kwa macho, umbile la mtoto huyu linaoenakana kuwa liko “genetically identical” na lile la mjomba wake, yaani mhusika, na hivyo baada ya kuwa amechukuliwa vipimo kadhaa huko, bado kilihitajika kipimo kingine cha kutoka kwenye ubongo ambacho possibly kilishindikana kuchukuliwa huko kutokana na pengine, mojawapo ya sababu hizi

AIDHA

Vifaa vya huko vya kuchukua DNA kutoka kwenye ubongo havikuwepo au havikuwa mahsusi kama vile vilivyopo huku

AU

Vifaa hivyo vilikuwepo isipokuwa mamlaka ya huko ilishindwa kufanya zoezi hilo kubwa kutokana na ukweli kuwa mtoto huyo hakuwa amelazwa hospitalini; siku zote alikuwa anatokea nyumbani kwenda kuchukuliwa vipimo hospitalini

KWA NINI ULIIBUKA ULAZIMA WA KUPATA VIPIMO HIVI


Huku Kanisani kwake mhusika, baada ya KM-A kuwa amefundisha somo la MWILI, NAFSI NA ROHO ikiwa ni pamoja na milango ya fahamu ambayo ni MACHO, MASIKIO NGOZI, ULIMI NA PUA, na hivyo kufanikiwa kurusha pepo kwenye maeneo haya yote, ilifikia hatua mhusika akawa amepata ufahamu wa KUZUIA uwepo wa pepo kwenye maeneo haya

  • Baada ya kuwa amezuia, utaalamu mwingine sasa ukawa umehitajika kwa ajili ya kuendelea kurusha pepo kwenye mwili ambao ulikuwa ni kwa njia ya DNA
  • Kutokana na ukweli huu, vipimo hivyo vilihitajika sasa kwa ajili ya kurusha pepo kwenye DNA za mtoto ambazo ziko somehow IDENTICAL na zile za mhusika
Kwa hiyo kilichofanyika baada ya mtoto kuwa amepewa rufaa ya kuja huku, DNA zilichukuliwa kutoka kwenye ubongo, na baada ya hapo, ndiyo pale sasa usambazaji wa pepo kutoka kwenye GENES kuzitoa nje kwenye maeneo mengine ulipoanza

NAMNA USAMBAZAJI ULIVYOANZA KUFANYIKA: MR X NA KM-A WALIHUSIKA KWA KUANZIA

Alianza KM-A kwa kuchukua likizo kwa mara ya kwanza, huku akiwa amerusha pepo kwenye vyote LOCATION na RELOCATION pia, na mara tu baada ya kuwa amerudi Kanisani, aliitisha kongamano la UMISHENI, ambalo kusanyiko hili sasa ilikuwa ni DATABASE

Kwa picha ya uhakika aliyonayo mhusika muda huu, ailiyekuwa MNENAJI MKUU kwenye Kongamano hilo lililofanyika mara tu baada ya KM-A kurudi kutoka likizo ya wiki tano, (OKTBA 2022); ni mmojawapo tu ya watu wanaoweza kuwa wana details sahihi zaidi kuhusiana na haya mambo ambayo yamekuwa yakiendelea hapo Kanisa A kwa muda mrefu sasa

  • Baada ya Kongamano kupita, KM-A alipanda juu madhabahuni akiwa anachagua KEYS ambazo baadhi yake walikuwa ni KAIMU wake pamoja na Profesa (na mke wake pia) yule ambaye alikuwepo kwenye presentation ya kwanza Februari mwaka jana, na ambayo kwenye presentation ya J2 ya jana hakuwepo
  • Baada ya hapo tena, mwezi uliofuata wa Novemba 2022, MR X naye aliingia kazini kwa mara ya kwanza kwenye mazingira ya ofisini kwao mhuiska, kwenye siku mbili za J5 na Alhamis za tarehe 23 na 24 November 2022 (mwaka juzi); siku ambazo MR X aliwaleta rafiki zake na mhusika ofisini
BAADA YA YOTE HAYA KUWA YAMEFANYIKA

Attempt ya kwanza ya kumshambulia mhusika kupitia DNA ikafanyika sasa J2 ya wiki hiyo, tarehe 27/11/2022; maandalizi yakiwa yamefanywa na MR X kwa siku za J3 na Alhmis

Bibi yule mwenye UMBO KUBWA (GENES) pale Kanisani, akaingia kazini wakiwa wanashirikiana na Profesa mwingine pamoja na Security Guard, zoezi ambalo nalo pia halikufanikiwa; isipokuwa J2 hiyo ilitokea ajali ya ndege kwa sababu pepo huyo alikuwa tayari amesharushwa pia kwenye ardhi pia

Hadi kufikia muda huu, mbali na pepo huyu kuwa amerudishwa kwenye MWILI akiwa anakaa kwenye GENES, walikuwa pia tayari wamesham-translate kwenda kwenye ARDHI na pia DATABASE, kazi ambayo MR X alikuwa pia amei-RENEW kwenye siku hizo mbili tajwa, akiwatumia watoto rafiki zake na mhusika; aiku alipokuwa amewaleta kwenye mazingira ya ofisini

Baada ya attempt hiyo ya kwanza kufeli, ikafuata sasa ile RENEWAL nyingine ambayo ilifanywa na Maprofesa wawili, mmoja akiwa ni yule aliyefanya presentation ya J2 ya jana na mwingine akiwa ni ile KEY iliyowahi kuchaguliwa na KM-A baada ya kuwa ametoka likizo

Kwenye siku ya presentation hiyo, pepo huyo alikuwa translated rasmi kutoka kwenye GENES, kwenda kwa PRESENTORS pia, yaani kwenda kwa watu wanaofanya PRESENTATIONS

KUHUSIANA NA MTUMISHI WA MUNGU MGENI ALIYESIMAMA MADHABAHUNI JANA J2 YA TAREHE 17/03/2024

Matukio haya yaliyotokea Kanisani J2 ya jana tarehe 17/03/2024, hayana mchango wa aina yoyote ule kutoka kwa kwa mtumishi wa Mungu huyu aliyesimama madhabahuni J2 hiyo; isipokuwa kwa kuangalia namna pattern ya matukio ya nyuma ya AINA HII ambavyo yamekuwa yakipangwa na kufanyika, inaonyesha dhahiri kabisa kuwa presentation ya Profesa ililenga pia kumchafua pia mtumishi huyo wa Mungu

Pasipo kutumia unagalifu, akili ya haraka haraka ilikuwa inakubaliana na FACT iliyozoeleka siku zote kwamba renewal au usambazaji wa mapepo huwa unaanza kwa MADHABAHU KUSHAMBULIWA KWANZA halafu baada ya hapo ndiyo RENEWAL au USAMBAZAJI hufanyika

Kwa mara ya kwanza, J2 ya jana mhusika aliona pattern iliyo tofauti na ile ambayo ameizoea siku zote

Kwa hiyo, Mtumishi wa Mungu aliyesimama Madhabahuni J2 ya jana hahusiki na chochote kile kitakachoelezwa humu

……………………..inaendelea
 
KWA NINI MHUSIKA ANA DHANA KUWA MTUMISHI WA MUNGU MGENI AIYESIMAMA MADHABAHUNI ALIKUWA AMEKUSUDIWA KUCHAFULIWA

Kabla mhusika hajaendelea na maelezo zadi ya mtumishi huyu, mhusika anazidi kusisitiza tena kuwa Mtumishi wa Mungu aliyewahi kusimama kwenye Kongamano la Umisheni la Mwezi Oktoba 2022, ni mmojawapo ya watu muhimu sana wanaoweza kuwa na details zaidi ya haya mambo ya kipumbavu ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda mrefu hapo Kanisa A

KUHUSIANA NA RATIBA YA WIKI NZIMA ILIYOPITA KAMA ILIVYOKUWA IMETANGAZWA KWENYE MATANGAZO YA SIKU YA J2 TAREHE 10/03/2024

Ratiba ya wiki iliyopita, yaani wiki jana kama lilivyowahi kutolewa kwenye matangazo ya J2 iliyokuwa imepita nyuma yake, yaani J2 kwwnye matangazo ya tarehe 10/03/2024, haikuwahi kutangaza kitu kama kongamano la ujasiriamali kwa wiki iliyokuwa inafuata, yaani ya kuanzia tarehe 17/03/2024

  • Kiongozi wa Zamu J2 hiyo, alikuwa ni yule Junior ambaye hajawahi kusimama kuhubirii madhabahuni tangu waumini waanze kuabudu kwenye Kanisa jipya
  • Kiongozi huyu alitoa ratiba ya wiki ikiwa ni ile ya kawaida ambayo huwa inakuwa na mafundisho kwa siku ya J5 na maombi kwa siku ya Ijumaa, basi
Kwa hiyo Kongamano la Ujasiriamali halikuwahi kutangazwa kwenye ratiba ya siku ya J2 ya tarehe 10/03/2024

Kwa hiyo, kitendo cha ratiba kubadilika ghafla J2 iliyopita ya tarehe 17/03/2024 ukiunganisha na matukio yaliyotokea baada ya Ibada, kunatoa picha inayoonyesha kama mtumishi mgeni alishtukizwa ili aje afanye kitu kwenye madhabahu ambacho kitaendana na yale yaliyoendelea baada ya Ibada kumalizika, likiwemo lile la Presentation ya pili ya Professor

Konganmano la ujasiriamali halikuwahi J2 hiyo tajwa, japo lilikuwa limewahi kusikika likitamkwa kutoka kinywani mwa KM-A

Liliwahi kutamkwa, ila halikuwa scheduled

……………………..inaendelea
 
BAADA YA PEPO KUWA AMERUSHWA KWENYE DNA, BAADHI TU YA WATU AMBAO WAMEKUWA WAKIHUSIKA HASA KWENYE USAMBAZAJI

Wahusika kwenye usambazaji wa pepo huyu ni watu wote kwa sababu hayupo mtu ambaye hana Genes, isipokuwa the MOST PREFERRED, wamekuwa ni wale watu kutoka kwenye makundi ambayo yana unique genetic characteristics mithili ya yule bibi mwenye UMBO KUBWA SANA ambaye amewahi kuwepo Kanisa A

Kwa hiyo baadhi tu ya makundi haya yenye unique genetic characteristics ni kama yale yenye watu wafuatao

  • Giants wote
  • Dwarfs wote
  • Walemavu wote wakiwemo viziwi na vipofu
  • Jinsia zote (jinsia moja, mbili na zisizojulikana, yaani intersex)
  • Watu wote wanaofanana na race tofauti na zile ambazo ni za asili yao; kwa mfano, mwafrika anayefanana sura na mzungu au muasia
Kwa mfano, pale Kanisani kuna mtumishi wa Mungu wa kike, ambaye ana sura ya Kizungu, rangi ya kiafrika na kuna mwingine ana sura kama Mkorea, rangi ya Kiafrika

Hawa wawili walimpokea mhusika kwenye ibada ya J2 ya sikukuu ya wanawake na maelezo yao ameyataja kwenye post hii hapa #1,365 , huku nukuu ya maelezo hayo ikiwa ma ifuatavyo

  • ………………… mwanzo wa kunukuu
  • Baada ya kuingia ndani ya nyumba Ibada; mhusika alielekezwa na mmojawapo wa mashemasi wa kike, kwenye kiti kilichokuwa karibu pale ila baada ya kukisogelea aligundua kuwa kiti hicho kilikuwa tayari kina mtu
  • Kabla mhusika hajaamua kuelekea sehemu nyingine; shemasi mwingine tena wa kike alimfuata mhusika na kumwelekeza kwenda kukaa kwenye kiti kingine kwenye safu ya viti vilivyokuwa mbele, na jirani kabisa na safu ya viti vile ambavyo huwa wanakaa viongozi
Mhusika alienda akapata nafasi kwenye kiti hicho na hivyo kukaa pale kulingana na maelekezo ya shemasi wa pili

…………………………….mwisho wa kunukuu

Watu wenye double race; yaani half-casts au watu waliochanganya race za wazazi

Hawa watu wamekuwepo kwenye mazingira yote ya mhusika kuanzia nyumbani, Kanisani na ofisini pia

BAADHI YA TU YA WATU KUTOKA KWENYE BAADHI YA MAKUNDI HAYA

Baadhi tu ya wale ambao hadi muda huu mhusika amesha wa- identify ni kama wafuatao

II KWA UPANDE WA KANISANI

Mtumishi wa Mungu mgeni aliyewahi kuja kuhudumu kwenye J2 ya kilele cha Sikukuu ya Wanawake, tarehe 05 March 2023 (mwaka jana), na ambaye mhusika aliwahi kumuongelea kwenye tukio hili hapa #1,361

Wengine ni wafuatao

  • Mhusika mwenyewe (Giants)
  • MRS X (giants)
  • Bibi wa Kanisani (Giants)
  • Profesa aliyehusika kwenye tukio la bibi mwenye UMBO KUBWA (Giants ikiwa ni pamoja na sifa waliyojaliwa kufanana na mhusika kwenye baadhi ya viungo vvya miili yao
  • Security Guard aliyeshirikiana na Profesa kwenye tukio la bibi mwenye UMBO KUBWA Novemba 2022
  • Wahusika wa hafla ambayo waumini wa Kanisa A waliwahi kuhudhuria usiku na kwenda kuonyeshwa picha za ajabu Desemba 2020, na hatimaye waumini hao kurudi kanisani na kulalamika kwa KM-A (Giatns)
  • Profesa aliyefanya presentation ya jana J2 Kanisani na pia ile ya mwezi Februari 2023 (mwaka jana)
Familia ya watu kadhaa iliyopo kanisani na kama ambavyo waliwahi kuelezewa kupitia kwenye nukuu ya post hii hapa #1,543 , inayosomeka kama ifuatavyo

mwanzo wa kunukuu

………………KILICHOTOKEA J2 HIYO BAADA YA IBADA KUMALIZIKA


Watu wawili maarufu walipita karibu na pale mhusika alipokuwa ameketi

  • Mmoja alikuwa ni Mzee wa Kanisa (tumwite MZK) ambaye jina lake limefanana na la mwanasiasa maarufu sana hapa nchini
  • Mwingine alikuwa ni binti aliyekuwa anapiga picha wakati wa Ibada siku hiyo
MZK alipita karibu na mhusika akiwa ameambatana na kitoto rafiki wa mhusika ambacho mhusika alikuwa hajakiona kanisani muda mrefu sana

  • Kitoto hicho kilizaliwa kikiwa na miguu iliyopinda sana mithili ya upinde na mara zote mhusika alikuwa anakutana nacho kikiwa kina miguu ya aina hiyo
  • Tofauti na J2 hiyo, kitoto hicho kilikuwa kina miguu iliyonyooka sawasawa, baada ya kuwa kimepewa matibabu na Madaktari wetu Bingwa
  • Waumini wote Kanisani A wanakifahamu kitoto hicho kwa sababu kwa kipindi chake, kilikuwa ni kitoto pekee hapo Kanisani chenye miguu ya aina hiyo; miguu ilikuwa imepinda but very beautiful!!
Mhusika alitamani kukibeba kitoto hicho, lakini MZK alitoa udhuru kuwa alikuwa ana haraka kidogo akikirudisha kule ambako wenzake walikuwepo
Sasa MZK alikuwa anakitoa wapi kitoto hicho
?

…………………………mwisho wa kunukuu

II KWA UPANDE WA UWANJA WA NDEGE

WATU KADHAA ALIOWAHI KUONANA NAO AIRPORT SIKU AMBAYO MTOTO ALIKUWA ANASAFIRI KURUDI KWAO

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA WATU HAWA


Kabla mhusika hajakutana na watu hawa siku hiyo, alikuwa na dhana kuwa watu hawa alionana nao kwa bahati mbaya tu.

Hata hivyo, kwa kuzingatia matukio yaliyokuja kujili baadaye muda mrefu baada ya kuwa ameonana na watu hao, kwa sasa mhusika ana dhana tofauti kidogo na hivyo anadhani kuwa pengine si wote alioonana nao kwa bahati mbaya siku hiyo. Maelezo ya kina ya namna ambavyo mhusika alionana na watu hawa atakuja kuyatoa baadaye

Hawa ni

Mama ambaye ni mfanyakazi wa maeneo hayo na ambaye pia ni muumini wa Kanisa A.

Baadhi tu ya taarifa za mama huyu tayari zipo kwenye post hii hapa #1,392

Kwenye usambazaji wa mapepo hapo Kanisani, mama huyu yeye yuko kwenye kitengo cha TRAVELLERS, ARRIVALS and DEPARTURES

USHAHIDI WA AWALI KUHUSIANA NA HILI

Tangu kipindi kile walipoonana na mhusika huko Airport, imekuwa kawaida kwamba kila mhusika anapokuwa amehudhuria Ibada ya kwanza, especially pale KM-A anapokuwa ametangaza Ibada moja;

AIDHA

Mhusika atangongana na mama huyu kwenye parking wakati anaingia Kanisani (ON ARRIVAL) AU

Mhusika atagongana na mama huyu wakati wa kuondoka Kanisani (ON DEPARTURE)

AU

Mhusika atagongana na mama huyu kwenye incidence zote mbili za wakati wa kuingia Kanisani na za wakati wa kuondoka

Kwa mfano, jana J2 ya tarehe 17/03/2024 mhusika na mama huyu waligongana mara mbili kwenye parking na katika matukio ambayo hayakutarajiwa kabisa

Maelezo zaidi kuhusu mama huyu yatafuata baadaye

Wengine pia ni:

MWANASIASA MAARUFU NCHINI ambaye jina lake limefanana na la yule Kiongozi Mzee wa Kanisa A, mzee ambaye ametajwa kwenye nukuu iliyopo hapo juu inayosema

Mmoja alikuwa ni Mzee wa Kanisa (tumwite MZK) ambaye jina lake limefanana na la MWANASIASA MAARUFU SANA HAPA NCHINI”, nukuu hiyo ikiwa inatoka kwenye post hii haoa #1,543 ,

  • Binti wa Kiongozi ambaye (kiongozi) alihamishwa kutoka Kanisa A takribani miaka miwili iliyopita na kwenda kutumika kwenye Kanisa jingine; na ambaye pia wanatoka mkoa mmoja na MZEE WA KANISA anayetajwa hapo juu kuwa alikuwa ameambatana na kitoto rafiki wa mhusika
  • Binti staff-mate wa mhusika ambaye ofisi yake iko jirani na vhumba cha chaii
Binti huyu alionekana kuwa alikuwa anatokea kwenye parking za TERMINAL II huku akiwa anaelekea TERMINAL III, ilhali TERMINAL III kuna parking za kutosha na alikuwa amezipita

Kwa topology ya namna uwanja wa ndege ulivyo, huwezi ukawa unasafiri kupitia TERMINAL III halafu ukalazimika kupaki gari TERMINAL II. Huyu anaonekana obvious kuwa siku hiyo alikuwa yuko calculated

Kwa upande wa jinsia, mhusika anamfahamu pia angalau mtu mmoja ambaye ana mwonekano ambao si wa jinsia yake

Na orodha ni ndefu

KWA UPANDE WA OFISINI

  • Mkuu wa idara (Giant)
  • Binti ambaye aliwahi kuisihi block jirani na lile la mhusika, ambaye kwa sasa ameshahamia sehemu nyingine
  • Yule mwajiriwa mpya ambaye amekuwa akichengana na ratiba ya vipindi vya wanafunzi; wanapofunga anakuwepo ofisini na wanapofungua anasafiri
  • Staff mate na mjukuu wa mhusika pia ambaye ana mtoto (kitukuu wa mhusika) mwenye jina (mtoto) ambalo matamshi yake yanafanana na neno GENE
(Mhusika analitaja jambo hili hapa kwa sababu huko mbele ya safari kuna maelezo muhimu sana yatafuata yanayohusiana na matamshi ya jina hili)

  • Staff mate wa mhusika ambaye kuanzia mwaka jana 2023, walipangiwa na Mkuu wa Idara kuanza kufundisha kozi moja
  • Staff ambaye yuko seconded nje ya mazingira ya taasisi, kwa muda mrefu na ambaye amekuwa anafanya kazi kwenye bwawa la kuzalisha umeme
  • Dereva ambaye hivi karibuni alihamishiwa kwenye idara nyingine. Huyu ana dentition (mpangilio wa meno) na nywele zinazofanana na zile za mhsuiska
  • Kijana junior staff aliyewahi ku-train kwenye kitengo cha matetemeko ya ardhi pamoja na mke wake
Kwa ushahidi unaohitajika kwa wasomaji, kwa sasa hawa wanatosha, ila wapo wengi

Ikumbukwe kuwa si hawa tu ambao wamekuwa wakitumika bali watu wote, isipokuwa hawa ni wale ambao wamekuwa wakitumika zaidi na mara kwa mara kutokana na uniqueness kwenye GENES zao au nafasi zao

……………………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 19th MARCH 2024

………………inaendelea

KUHUSIANA NA MASWALA YA GENES


Wafuatao pia wanaangukia kwenye kundi muhimu zaidi kuliko watu wengine

Kwa upande wa ofisini kwake, kuna binti mwajiriwa mpya ambaye ana ofisi mbili, moja ikiwa ipo idrarani kwao mhusika na nyingine iko kwenye ile idara nyingine

Huyu pia ana gigantism tena ile ya kiwango cha juu sana, huku office mate wake wa kiume na ambaye naye pia ni mwajiriwa mpya, akiwa ni kinyume cha binti huyu

Vinginevyo kwa Kanisani, mhusika anao pia marafiki zake wawili watoto wachanga, mmoja ana ngozi nyeupe kama ya mzungu na mwingine ana sura kama mzaliwa wa Bara la Asia

Mwenye sura kama mu-Asia ni yule mtoto wa Kiongozi Junior ambaye mara kwa mara amekuwa akihudumu kwenye Ibada za J2 asubuhi pale inapotokea mhusika amehudhuria Ibada ya Asubuhi

Mhusika atarudi tena baadaye kwenye haya maswala ya GENES, ndani ya siku kadhaa zijazo

Kwa sasa mhusika anageukia kwa staff mate wake mwingine tena na ambaye naye pia ni KIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI, ambaye amekuwa muhimu sana kwenye matukio karibia yote ambayo yamekuwa yakimsibu mhusika kwa kipindi cha takribani mwaka mzima sasa

UP NEXT

KIONGOZI MWINGINE KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI,AMBAYE AMECHANGIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA KWENYE MATUKIO YOTE AMABAYO YAMEMSIBU MHUSIKA TANGU APRIL 2023 ( MWAKA JANA) HADI LEO

……………………….inaendelea
 
KIONGOZI MWINGINE KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI,AMBAYE AMECHANGIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA KWENYE MATUKIO YOTE AMABAYO YAMEMSIBU MHUSIKA NDANI YA KIPINDI CHA KUANZIA APRIL 2023 ( MWAKA JANA) HADI LEO

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kwa mara ya kwanza kabisa, mhusika na Kiongozi huyu walikutana na kuongea kwa karibu wakiwa kwenye Kituo cha Afya cha Taasisi ambayo huwa wanafanyia kazi, na ilikuwa ni August/Septemba 2009

Kabla ya hapo, wawili hawa walikuwa wanafahamiana kwa sura tu, lakini hawakuwahi wamewahi kuongea

Siku hiyo Kiongozi huyu wa Chama cha Wafanyakazi (tumiwite KCCW-2), alikuwa ameambatana na mke wake pamoja na kitoto chake kichanga chenye jina ambalo asili yake ni ya lugha ya Kiebrania, na tafsri ya jina hilo kwenye lugha yetu ya Kiswahili ni Yesu

Siku hiyo mhusika alikipenda kitoto hicho na kukibeba, na tangu pale alikiweka kwenye rekodi za kumbukumbu zake kiasi kwamba baada ya siku hiyo, kila mhusika alipokuwa akikutana na KCCW-2, alikuwa akiulizia kuhusiana na mtoto huyo mwenye jina Yesu

KABLA YA KUENDELEA NA MAELEZO ZAIDI TUKIRUDI NYUMA KIDOGO KABLA YA MWAKA 2009……

TUKIO LA JINGINE LA MWAKA 2007 LILILOSHAHIBIANA KIDOGO NA TUKIO LA SIKU HIYO


Mnamo Mei 2007, mhusika aliwahi kusafiri kikazi kwenda nje ya nchi kwenye mkutano wa kimataifa uliokuwa unahusiana na uchakataji wa data za matetemeko ya ardhi

Siku kadhaa baada ya kurudi kutoka kwenye mkutano huo, mhusika alipata kitu kama homa au Malaria na hivyo kulazimika kuripoti kituo cha Afya cha Taasisi, mahali ambapo miaka miwili baadaye, ndiyo alikuja kukutana na KWCC-2 akiwa na kitoto chake kichanga

BAADA YA KUPATA MATIBABU NA KUPEWA DAWA MWAKA 2007

Akiwa anatumia dawa alizokuwa mepatiwa kutoka kwenye kituo cha Afya, ilimchukua mhusika muda wa wiki tatu kamili kupata nafuu, na muda wote huo kabla ya hapo alikuwa amelala kitandani pasipo kuhudhuria kazini

Ilikuwa ni mara yake ya KWANZA katika maisha yake yote ya ukubwani kulala kitandani akiwa anaugua

Hilo likapita

MKUTANO MWINGINE WA KIMATAIFA WA KUCHAKATA DATA ZA MATETEMEKO YA ARDHI ULIOFANYIKA MWAKA 2009 NDANI YA NCHI

Mkutano huu ulifanyika Julai 2009 na ulifanyikia ndani ya nchi, ila mkoani Arusha

Baada ya mkutano kumalizika, mhusika alirudi ofisini na baada ya siku chache kupita, kwa mara nyingine alijisikia tena kiafya kama alivyowahi kujisika baada ya mkutano ule wa 2007, na hivyo kulazimika tena kuripoti kwenye kituo cha Afya cha Taasisi anayofanyia kazi

  • Huko kwenye kituo cha afya ndiyo safari hii sasa alibahatika kukutana na KCCW-2 akiwa na mtoto JESU pamoja na mke wake
  • Baada ya kupatiwa dawa, mhusika alienda akaanza kuzitumia dawa hizo akiwa amelala kitandani kwa muda wa wiki tatu kamili pasipo kuhudhhruria kazini
Hii sasa ikawa ni mara yake ya PILI katika maisha yake yote ya ukubwani kulala kitandani akiwa anaugua, na tangu pale hajawahi tena kukumbwa na hali ya namna hiyo hadi leo hii

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI SIKU HIYO MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO HAPO KWENYE KITUO CHA AFYA MWAKA 2009

Kabla hajapatiwa matibabu
, baada ya mtaalamu wa maabara kuwa amemchukua vipimo mhusika, mtaalamu huyo alipelekea majibu ya vipimo kwa Daktari yakiwa yanaonyesha kuwa kama Daktari angempatia mhusika dawa kulingana na majibu ya mtaalamu huyo, basi mhusika angepoteza maisha

Daktari huyo aliyastukia majibu hayo kuwa yalikuwa yamekosewa, kwa sababu kwa kiwango cha Malaria ambayo ilikuwa imeonyeshwa na mtaalamu huyo, ILIKUWA HAIWEZEKANI kwa mhusika kufika kituoni hapo, akiwa ananendesha gari yeye mwenyewe, bali angeletwa pale na watu wengine

Siku hiyo mhusika alifika hapo kituoni akiwa peke yake na alikuwa anaendesha gari mwenyewe.

Hiki ndiyo kitu kilichompa hint Daktari kuwa majibu ya mtaalamu wa maabara yalikuwa yamekosewa na Daktari mwenyewe ndiye aliyemjulisha mhusika makosa hayo ya mtaalamu wa kwenye maabara

Mtaalamu huyu kwa sasa hayupo tena hapo kituoni; ilitokea miaka kadhaa mbele akapata nafasi ya kujiendeleza zaidi na hivyo kuhamishiwa kwenye idara nyingine ya Zoology, na possibly yuko huko hadi leo

Haya ndiyo maelezo mafupi ya namna ambavyo mhusika na KCCW-2 waliwahi kukutana, kufahamina na angalau kuwa na ukaribu wa kiasi fulani

ILIPOFIKA APRIL 2023 (MWAKA JANA); KWA MARA YA KWANZA KCCW-2 ALIMTEMBELEA MHUSIKA OFISINI KWAKE

Katika kipindi chote cha kufahamiana kwao, wawili hawa walikuwa wanakutana sehemu zingine tu zilizo kwenye mazingira ya nje ya ofisi zao, ila yaliyo ndani ya mazingira yao ya kazi; na mara tatu au nne waliwahi kupeana lift kwenye magari yao wakiwa wanaelekea mtaani

Kwa upande wa mazingira ya ndani ya ofisi zao, siku hiyo ilikuwa ni mara yao ya kwanza; japo sometimes KCCW-2 alikuwa akiingia kwenye jengo la idara ya mhusika na kuishia ofisini kwa Mnununuzi wa Gari (MWG)

Kwa hiyo siku hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza kwa KCCW-2 kufika na kukaa kitako kwenye ofisi ya mhusika; kitu kilichopelekea baadaye wawili hao kuteta mawili matatu wakiwa ofisini humo

…………………inaendelea
 
YALE YA MUHIMU WALIYOFAKINIWA KUONGEA MHUSIKA NA KIONGOZI WAKE WALIPOKUWA OFISINI KWA MHUSIKA

Mhusika hakuwa amepata mabadiliko ya uongozi wa chama kile kingine kinachoongozwa na KCCW-2 kwa sababu kwenye Taasisi kuna vyama vitatu vya wafanyakazi na huyu kiongozi yuko kwenye chama ambacho mhusika si mwanachama wa chama hicho; bali wa chama kingine

KCCW-2 alimjulisha mhusika kuwa alishachukua madaraka kwenye chama na baada ya taarifa hizo mhusika alimpongeza

KILE AMBACHO KILIPELEKEA KIONGOZI HUYU AKAFIKA OFISINI KWA MHUSIKA SIKU HIYO

KCCW-2 alikuwa anataka kujua kama mhusika alikuwa anaendelea kufuatilia maslahi yake, na hatua ambayo alishafikia

  • Vile vile KCCW-2 alikuwa anatamani kumsaidia mhusika kuongeza nguvu kwenye mchakato wa madai hayo, kama alikuwa anaona kuna haja hiyo
  • Mhusika alimweleza KCCW-2 kuwa kwa sababu uongozi wa juu wa ofisi husika ya madai yake ulibadilka Desemba 2022, ilikuwa ni mapema mno kuanzisha mchakato mwingine wa ufuatiliaji wa maslahi hayo; na hivyo alikuwa ameamua kutulia akitoa nafasi kwa uongozi mpya kujipanga kwanza
  • Mhusika alimjulisha pia KCCW-2 kuwa itakapofika June au August 2022 hajapata majibu yoyote, basi labda hapo ndipo atakapoweza kuanzisha mchakatio mwingine wa ufuatiliaji
Baada ya mhusika kuwa ametoa hoja hiyo, KCCW-2 alimweleza mhusika kuwa kwa uongozi huo mpya uliokuwa umeingia madarakani, kwenye miezi hiyoilikuwa ni mbali mno

Zaidi KCCW-2 alimhakikishia mhusika akimweleza kuwa atapata majibu ya madai yake kutoka kwenye uongozi huo mpya, ndani ya muda mfupi ujao, possibly hata kabla ya June 2023

Hapo mhusika naye alikuwa tayari ameshamshauri KCCW-2 atulie kwanza kusubiria uongozi huo mpya wa ngazi za juu utafanya nini ndani ya kipindi tarajiwa cha majibu ya mhusika

Baada ya maongezi hayo, KCCW-2 alimuaga mhusika huku akimhakikishia kuwa kutokana na mabadiliko ya uongozi, chances ni kwamba mhusika atapata majibu yake ndani ya siku chache zijazo, huku KCCW-2 akimuahidi pia mhusika kuwa angerudi tena ofisini kwa mhusika ndani ya siku chache tu zijazo

Baada ya siku hiyo kupita, KCCW-2 hakurudi tena ofisini kwa mhusika na wala hawakubahatika kuonana tena hadi ilipofika January 2024 (mwaka huu), ndiyo plae KCCW-2 alipoonekana akiwa anapita barabarani jirani na jengo ilipo ofisi yao mhusika

MENGINE WALIYOWAHI KUTETA MHUSIKA NA KCCW-2; NA AMBAYO KWA KIPINDI HICHO, MHUSIKA ALIDHANI KUWA HAYAKUWA NA MUHIMU WOWOTE

Waliteta kuhusiana na lugha ya kabila la KCCW-2 huku KCCW-2 akimtamkia baadhi ya maneno yaliyopo kwenye lugha yao, yanayofanana na kwa maandishi na kwa matamshi, na maneno yaliyopo kwenye lugha nyingine aliyoitolea mfano

Baada ya KCCW-2 kuwa ameondoka, mhusika aliamua kufanya utafiti kidogo kuhusiana na maneno hayo yaliyosemwa na KCCW-2 na aligundua kuwa kitaalamu, baadhi ya maneno hayo yanaitwa FALSE COGNATES na mengine FALSE FRIENDS, kiasi kwamba utafiti wake hadi kufikia sasa umeshamhakikishia pasipo shaka kuwa hiki ndiyo hasa kile ambacho kimempeleka KCCW-2 akafika ofisini kwa mhusika siku hiyo

KCCW-2 alifika ofisini kwa mhusika akiwa ni wakala wa lugha, na alikuja kushughulika na lugha

FALSE COGNATES na FALSE FRIENDS

Definitions

False Cognates
are pairs of words, from two different languages, in which the two words appear to be spelled and pronounced similarly, leading the writer and reader to believe they share the same meaning; however, their meanings are not similar at all.

A False friend is a word in a foreign language that looks similar to a word in your own language, but has a different meaning

OR

In linguistics, a false friend is a word in a different language that looks or sounds similar to a word in a given language, but differs significantly in meaning.

Mfano: JINA; JEAN; GENE

Sounds similar
means PHONOLOGICALLY SIMILAR; matamshi yake yanafananana

Kwa hiyo, baadaye KCCW-2 ataturudisha tena kwenye GENEkwa sababu mtu akirusha pepo kwenye PHONOLOGY au sauti ya maneno, neno JINI na neno JINA, yanakuwa sawa

Kwa hiyo kitendo tu tuseme cha mtu mmoja kumuuliza kumuuliza mtu mwingine JINA LAKO NANI halafu naye akakajiibu naitwa JEAN au MAKOYE, tayari wote wawili wanakuwa wamemu-activate pepo huyu kwenye majina yao; wote wawili majina yao yanapokea pepo kuanzia kwenye muda huo wa maongezi yao

Na hiki ndicho kiliwahi kumleta KCCW-2 ofisini kwa mhusika; alikuja kurusha pepo kwenye PHONOLOGY ili kutengeneza consistency ya maneno ya haya ya aina hii

Mfano wa maombi

“Baba Mungu Mwenyezi mwenye JINA lililotukuka kupita MAJINA yote …………..

Kama pepo amerushwa kwenye phonology, maombi haya yanabadilika na kuwa

“Baba mungu Mwenyezi mwenye JINI lililotukuka kupita MAJINI yote” …………..

Hapa Mungu inabadilishwa na kuwa mungu, JINA kuwa JINI na hapa muombaji anafuta kila kitu kwenye maombi yake

MATUKIO YA HIVI KARIBUNI YALIYOTOKEA IDARANI KWAKE MHUSIKA, YANAYOANGUKIA KWENYE UTAALAMU HUU WA KCCW-2


Moja limefanywa na mjukuu na kitukuu wa mhusika na jingine limefanywa na mstaafu aliyesytaafu mwaka 2022

Mhusika alikutana na mjukuu na kitukuu wake anayeitwa JEAN na maelezo zaidi yatafuata baadaye

Mbali na hilo, hiki ndiyo kile ambacho ndani ya wiki mbili zilizopita, mstaafu wa idarani kwao mhusika wa mwaka 2022 ambaye jina lake lina phonology “GENE”, amekuwa akionekana akiwa anarandaradanda maeneno ya ofisini na katika namna ambayo hakuwa huru sana

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

Kwa hiyo, source ya haya yote inarudi tena kule kwenye GENE ya DNA ambayo ilisafirishwa kutoka mkoani kuja huku

BACK TO THE TOPIC AAGAIN; HUYU KCCW-2 NI NANI HASA


KCCW-2 anafanya kazi kwenye MAJOR UNIT inayohusiaana na mambo ya AQUATIC AND FISHERIES, na wako idara moja na Afisa Tawala mstaafu aliyestaafu mwaka 2014

Maelezo yanakuja pia kuhusiana na baadhi ya presentations za mfululizo ambazo zimekuwa zikifanyika idarani huku zikiwa zimeambatana na matukio mengine ya nyongeza

Hapa Profesa wa presentation ya J2 Kanisanin anahusika, pamoja na mtu mwingine idarani anayeitwa mu-EUROPE; ukilibadlisha neno EUROPE kwenda kwenye lugha ya KISWAHILI

…………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA NYINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA GENES

Kilichopelekea VIDEO SIGNAL ya TV ya mhusika kuzimwa ni GENES

Ili mitego ya mahasimu yake iweze kufanya kazi vizuri, macho ya mhusika yanatakiwa yawe mageni kwa baadhi ya skin pigments especialy zile ambazo ni za nje ya Bara la Afrika

With video signal on, hiki kitu kisingeweza kufanikiwa kwa sababu yeye huwa ni mgonjwa wa kuangalia documentaries ikiwa ni pamoja na travel videos

Wiki kadhaaa baada ya video signal ya TV ya mhusika kuzima, ndiyo pale Mu-Europe alipopata nafasi ya kuleta presenter ambaye skin pigmentation yake ni ya nje ya bara la Afrika

Majina Europe na Mu-Europe, nayo pia yanaangukia kwenye swala la phonology liliowahi kufanywa na KCCW-2 mwezi April mwaka huu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 20th MARCH 2024

NAMNA AMBAVYO DOCTRINE HII YA PHONOLOGY IMEKUWA IKIFANYA KAZI TANGU ILIPOZINDULIWA NA KCCW-2 MNAMO APRIL 2023

KWA UPANDE WA OFISINI KWAKE MHUSIKA


Wapo watu kadhaa idarani ambao doctrine hii iliwagusa moja kwa moja na hivyo mekuwa ikifanya kazi kwa kuwatumia

Lengo kubwa hasa la doctrine hii ni KUFUTA MAOMBI YOTE ambayo kwa namna moja ama nyingine, yanakuwa yametumia maneno yenye phonology zinazoangukia kwenye doctrine hii

Mfano halisi kati hili ni kama ule wa maneno ambayo mhusika ametangulia kuyataja kupitia posts zilizopo hapo juu; aiutumia maneno kama JINA au GENE ambayo phonology zake zinafanana na neno JINI

MANENO: TRUE COGNATES and TRUE FRIENDS (HOMONYMNS)

Definitions:

True cognates
are words that are spelled and pronounced similarly in two languages and have a similar meaning in both.

False cognates are words that have a similar sound and pronunciation in two languages but different meaning

True friends or Homonyms are words which sound alike or are spelled alike but have different meanings.

Are words that are spelled and pronounced similarly in two languages but have different meaning


BAADHI TU YA MIFANO HALISI YA MANENO HAYA ILIYOPO IDARANI KWA MHUSIKA

Kuna mtoto mfanyakazi wa usafi ambaye ndiye mfanyakazi mmoja pekee ambaye hajawahi kubadilishwa au kuhamishwa tangu alipoanza kufanya kazi idarani, jina lake linafana na neno DHABIHU (SACRIFICE)

Wengine ni wafuatao

Mfanyakazi mpya Office Mate (OM-1) wa mhusika aliyeripoti ofisini April 2023 (mwaka jana)

Huyu mfanyakazi jina lake la kwanza linafanana na maneno HYMNS na lile la ubini wake linafana na maneno MAN-HILL/ HILI
Ikumbukwe pia kuwa OM-1 aliingia mazingira ya ofisni, muda mfupi tu baada ya KCCW-2 kuwa ametembelea ofisini kwa mhusika

Kwenye muda huo huo vile vile, ndiyo jmuda ambao engo analoishi mhusika, lilizungushiwa uzio wa miti pamoja na net, ambao bado upo hadi hii leo

JINA LA UBIN LA SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)
Jina la ubini la SMKE ni homonym, with respect to lugha ya kuzaliwa ya mhusika

Matamshi na speling za jina hilo, vyote vinafanana exactly na neno jingine la lugha ya kuzaliwa ya mhusika, ambalo kwenye lugha hiyo, neno hilo liko RESERVED na huwa halitumiki kwenye maongezi ya kawaida au yale ya PUBLIC

Kwenye hii issue ya PHONOLOGY, SMKE ndiyo ametesa sana kwa ku-take advtantage ya jina hilo maana imekuwa ikitokea kwenye baadhi ya siku SMKE alikuwa anaweza akaja kwa muda tu ofisini na hatimaye kuondoka baada ya muda mfupi tu; nia yake hasa ikiwa ni ku-update tu au kuliweka sawa swala hili la phonology kwenye siku hiyo husika

  • Wapo pia staff wawili ambao majina ya ubini wao yamefanana exactly na neno la lugha ya Kiingereza ambalo linaamaisha mionzi au RADIATIONS
  • Vinginevyo yupo pia staff mwenye jina linalofanana na mojawapo ya majina ya mabara kwa lugha ya Kiswahili ambaye mhusika tayari ameshamwongelea
Vinginevyo baadhi tu maneno mengine yanayoangukia kwenye category zilizotajwa hapo juu bila kujali mazingira ni kama yafuatayo

  • SCRIPTURES na SCRIPTS (zile booklet za kujibia mitihani au code zile za watu wa computer programming)
  • PULPITS (mimbali) na PUPILS (wanafunzi)
  • PULPITS (mimbali) na PUPIL (mboni ya jicho)
  • PUPILS (wanafunzi) na PUPIL (mboni ya jicho)
kwenye hii issue ya phonology, ukikutana na watoto wa shule (PUPILS) baada ya kuwa umefanya maombi, wanafuta kila kitu ikiwa ni pamoja na kurusha pepo kwenye MBONI ZA MACHO yako

  • MIMBALI na MIMBA (hapa vile vile, ukikutana na mtu aliye na mimba tuseme unatokea Kanisani kwenye maombi, MIMBA HIYO INAFUTA KILA KITU ULICHOOMBA KANISANI
  • ALTARS (Madhabahu) na neno ALTER
  • DHABIHU na ZABIBU
Mifano ni mingi

MANENO YA AINA HII KWENYE MAZINGIRA YA YA NYUMBANI ANAKOISHI MHUSIKA

……………………….inaendelea
 
MANENO YA AINA HII KWENYE MAZINGIRA YA YA NYUMBANI ANAKOISHI MHUSIKA

Kwa wake ambao ni wataalamu wa lugha, watakumbuka kuwa neno la kiingereza ‘good” ni “adjective”; ambapo kawaida kila adjective huwa ina “Comparative degree” yake na pia “Superlative degree” yake

Kwa mfano:

Adjective: Bad

Comparative degree: Worse

Superlative degree: Worst

Adjective: Good

Comparative degree: Better

Superlative degree: Best

Kwenye mojawapo ya majirani wa mhusika, kuna watoto wanne waliofuatana kwa kuzaliwa na ambao pia bado ni PUPILS; na ambao majina yao yamekaa kwa kufuata mfumo huui

  • Wa kwanza ana jina linaloanza na neno God, halafu linaunganika na neno jingine
  • Wa pili ana jina linaloanza na neno Good, halafu linaunganika na neno jingine
  • Wa tatu ana jina linaloanza pia na neno God, halafu linaunganika na neno jingine linafonana kwa matamshi na neno “Better”
  • Wa nne ana jina linaloanza na mojawapo ya jina la mwanzo la mmojawapo wa hao watatu waliomtangulia kuzaliwa, halafu linamalizia na “Best”
Kwa hiyo kwa kufuata sauti za matamshi au phonology, kwenye familia hiyo kuna God, Good, Better na Best

Majina haya yanakava kuanzia neno Mungu (God) ikiwa ni pamoja na verb good huku verb hiyo ikiwa imeambatana complete na “degree” zake za comparison pampja na superiority

Phonology za majina au maneno haya, yanaangukia kwenye maneno ambayo mhusika tayari ameshayaanisha hapo juu

BACK TO KWCC-2 AGAIN:

MIEZI KADHAA NYUMA KABLA KWCC-2 HAJAMTEMBELEA OFISINI MHUSIKA


Kabla ya ugeni wa KWCC-2 ofisini kwa mhusika; wawili hawa walikuwa wamewahi kuonana kabla na kuongea kidogo wakiwa wapo kwenye korido, miezi kadhaa nyuma,

  • Ilikuwa ni kwenye siku ambayo KWCC-2; alifika kwenye jengo la Idara ya mhusika; kwa ajili ya kuonana na Mnunuzi wa Gari (MWG)
  • Siku hiyo, KWCC-2 alimuuliza mhusika kama bado anaendelea kuishi sehemu ile ile ambayo alikuwa anaishi tangu mwanzo na mhusika alijibu naam
Kitu kama hapa KWCC-2 alikuwa anataka ku-confirm kama mhusika alikuwa bado anaishi sehemu ile ile ambayo wanaishi pia watoto wenye majina yanayoendana na “comparative degree” na “superlative degree” za verb “GOOD”

Baada ya siku hiyo, mhusika na KWCC-2 hawakuonana tena hadi ilipowadia siku ile ya ugeni rasmi wa KWCC-2 ofisini kwa mhusika

KUHUSIANA NA MJUKUU NA KITUKUU WA MHUSIKA

KILE KILICHOTOKEA MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE MHUSIKA SIKU YA IJUMAA JIONI YA TAREHE 01/03/2024 KATI YAKE NA MJUKUU WAKE NA KITUKUU CHAKE


Mhusika akiwa yupo njia moja kuelekea nyumbani, pale nje karibu na parking upenuni mwa jengo la idara, aliisikia sauti ya mjukuu wake ikiwa inamwita “babu”

  • Baada ya kutupa jicho, babu alimuona mjukuu wake akiwa amesimama na kando yake alikuwepo kijana mtanashati wa umri wa kati (teenager)
  • Mhusika hakuweza kumfahamu kama ndiyo alikuwa yule kitukuu chake wa siku nyingi kwa sababu mara ya mwisho babu na kitukuu walionana ilikuwa aidha mwaka 2010 au 2011
Babu alimsogelea mjukuu na baada ya salamu, mjukuu alimjulisha babu kuwa yule aliyekuwa amesimama naye pale, ndiye yule kitukuu chake mpenzi waliyekuwa wamepotezana siku nyingi

Hadi kufikia siku hiyo, babu alikuwa hata ameshasahau hata jina la kitukuu chake kipenzi, na alisahau pia kukumbushia kuuliza jina

Baada ya maongezi mafupi ya watatu hawa, babu aliachana na wajukuu zake na kuelekea nyumbani

Hiyo siku ikapita

J3 YA WIKI ILIYOFUATA; J3 YA TAREHE 04/03/2024

J3 hiyo, babu na kitukuu ambaye safari hii alikuwa peke yake, waligangana kwenye ngazi, kitukuu akiwa anapandisha juu, babu naye akiwa anaondoka ofisini kurudi nyumbani kwake

Hata hivyo, siku hiyo vile vile, babu alisahau kumuuliza jina kitukuu; walisalimiana tu

Kesho yake tena J4 ya tarehe 05/03/202, babu alikutana tena na kitukuu chake kwenye ngazi na safari hii alikumbuka kuuliza jina

Baada ya kuuliza, kitukuu alimtajia babu jina ambalo matamshi yake yanafana na neno GENE au JINI

Tangu siku hiyo hadi leo, babu na kitukuu hawajafanikiwa kuonana tena kwenye mazingira ya ofisini au mazingira mengine tofauti

KUTOKANA NA KILE AMBACHO MHUSIKA AMEKIONA KWENYE UTAFITI WAKE ULIOHUSIANA NA JINA LA UBINI LA SENIIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)

OMBI LAKE KWA MAMLAKA ZA KISERIKAL
I LINALOTOKANA NA UTAFI HUO

MKOANI MOROGORO


Kuna sehemu moja maarufu sana huko mkoani Mororgoro inaitwa sijui MATAMBO, au jina linalofanana na hilo

Sehemiu hiyo inatumia jina ambalo neno lake liko RESERVED kwenye lugha yetu ya Kiswahili na ambalo katika hali ya kawaida halikutakiwa kuwa linatamkwa kwenye public

Mhusika alikuwa anaomba kama hamna ulazima wowote wa sehemu hiyo kuendelea kutumia jina hilo, mamlaka husika ZILIBADILISHE JINA HILO

Still, hata kama kuna ulazima wa kuendelea kutumia jina hilo, hasara zake bado zinaweza kuwa ni kubwa zaidi kuliko faida

Mbali na hilo, majina ya sehemu zingine zozote zile zinazoweza kuwa zinatumia majina yenye maneno ambayo ni RESERVED kwenye lugha yetu ya KISWAHILI, nayo pia yabadilishwe, hata kama ni VITONGOJI tu

Katika muda huu ambao WATAALAMU WA LUGHA YA KISWAHILI wanafanya kila jithada ili Kiswahili iwe lugha ya Dunia, possibly ni muhimu sasa marekebisho haya madogo yakafanyika

Imagine mtu amefika hapa akiwa anatokea tuseme RUSSIA, akiwa ameshajifunza KISWAHILI, yuko fluent hana shida yoyote, halafu kwa bahati anatembelea Morogoro na kukuta kuna sehememu inaitwa MATAMBO!!!

Hiki kitu haki-click vizuri sana kwenye akili ya kawaida

Katika hili, mhusika anaongea kutoka kwenye experience; tatizo tu ni kwamba experience hiyo ni purely spiritual kiasi kwamba ku-ishare na wataalamu wengine na wakaikubali kirahisi inakuwa ni shida kidogo

HITIMISHO

  • Muonekano halisi wa nje wa SMKE jinsi alivyo ukimhusianisha na mambo yake yote ambayo huwa anafanya akiwa anajua kuwa hatajulikana, ni MBINGU NA ARDHI
  • Maneno yote ya KISWAHILI KAMA LUGHA YA TAIFA, ambayo yako RESERVED, yawe RESERVED kwa uhalisia na hivyo yasitumike kama MAJINA YA SEHEMU YOYOTE ILE HAPA NCHINI
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom