Mkasa wa doctor Mellus Tshube inaumiza sana!

Niliwahi kukaa na demu miaka miwili pamoja, nilipoona yamezidi nikaacha check mezani ya rent iliyobakia ,niliondoka na kumwachia kila kitu mpaka boxer, niliondoka na wallet na vyeti vyangu tuu, best decison ever, dawa ya haya mambo ukishajaribu kuweka mambo sawa kidiplomasia na yakashindikana ondoka tuu,kama kuna watoto au mali ajiri lawyer mmalizane, kuendelea kukaa ni maumivu pande zote
 
Alikuwa kawaida tu.

Hakuonekana kuwa na msongo wa mawazo.

Aliendelea na shughuli zake za kila siku kama kawaida. Hata, Feb 2 mwaka huu, alipost picha akiwa na mkewe katika hali ya mahaba.

Alikuwa baba wa familia ya watoto wawili; kijana Isago Tshube (7) na binti Entle Tshube (2) na mume wa Bi. Boipelo Gala Tshube.

Tunamzungumzia Dokta Mellus Tshube.
Daktari kijana tu aliyeacha simulizi ya kusikitisha sana kwa wakazi wa jiji la Gabarone, Botswana. Jumamosi ya wiki iliyopita.

ILIKUWAJE?
Inasemwa, kulikuwa na kutokuelewana baina ya wanandoa hawa, Tshube na mkewe, mchana wa siku ya Jumamosi.

Huko kutokuelewana kukazalisha vita ya majibizano iliyoendelea mpaka jioni. Vita baina yao ilipochemka barabara na kuiva wakati huo usiku ukiwa umeshabisha hodi, Tshube alimtimua mkewe ndani ya nyumba kisha yeye akajifungia ndani na watoto wao wawili.

Akiwa huko ndani, Tshube alianza kutuma meseji kwa marafiki, familia na majirani. Meseji za kuwajulisha juu ya uamuzi wake wa kuukatiza uhai wake. Aliingia hadi Facebook akaandika majina ya watu aliowatuhumu kutembea na mkewe, akamalizia na neno I'm out! Yaani kama vile anawasusia huyo mwanamke moja kwa moja.

Huku nje, Bi. Boipelo hali ilikuwa moja haikai mbili haisimami. Alikimbilia kwa majirani kwa mayowe ya kuomba msaada akihofia mumewe anaweza kweli kufanya kitu kibaya kwake na watoto aliojifungia nao ndani, huku akituma meseji za kuigongea hodi akhera.

Wakapiga simu polisi.
Ambapo mpaka wanafika, tayari Dr. Mellus Tshube alikuwa ameshawaua watoto wake wawili na yeye kujinyonga.

Walivunja mlango wakaingia ndani. Wakakuta miili ya watoto imelala chini kama vipande vya kuni, ikiwa haina uhai tena. Mwili wa baba yao ukiwa unaning'inia darini, kwenye kile kisehemu ambacho huwa kinabaki kama kimlango cha kuingilia huko darini. Huku vipande vya kamba viwili vilivyobakia baada ya kukatwa vikiwa vinaning'inia karibu yake.

Kwamba, aliwanyonga watoto wake kwanza, walipokata roho akakata kamba alizowanyongea vikabaki vipisi juu, miili ikaenda sakafuni, akapanda yeye kujimaliza. Pasi huruma wala majuto.

Polisi wanasema, simu yake ya mwisho kupiga ilikuwa saa sita na nusu hivi usiku. Alimpigia mwanafamilia.

Basi, ikabidi Boipelo apelekwe nyumbani kwao kwa ajili ya usalama wake. Ilhali, wale waliotajwa na marehemu katika ile post ya Facebook wakitakiwa kuhojiwa ili kuisaidia polisi. - source gazeti la Botswana Guardian.

TATIZO LILIKUWA NINI HASA?

Wivu wa mapenzi?
Wanasema hivyo. Mwanamke alikuwa na watu. Alikuwa ana-flirt nao. Mwingine mpaka Dr. Tshube alikwenda kumwomba akae mbali na mkewe. Ikawa kama kumpigia mbuzi zumari. Yaani, mke wa mwenzake alikuwa kama mkewe ilhali naye ni mume wa mtu.

Hilo, lilimuuma mno Dr. Tshube. Kudharauliwa na mwanaume mwenzake waziwazi. Ilimchoma tumbo na utumbo.

Katika kusakanya taarifa zaidi. Nikagongana na habari kutoka kwa rafiki wa karibu wa Dr. Tshube ambaye alishare ujumbe wa mazungumzo kati yao. Zilikuwa Meseji za marehemu juu ya hali ya ndoa yake ilivyokuwa.

Katika moja ya meseji alizotuma Dr. Tshube kwa rafiki yake enzi za uhai wake, ilikuwa ni ya malalamiko juu ya tabia ya mkewe.

Katika meseji hizo inaonekana Tshube aliwahi kufanya usaliti a.k.a ku-cheat na kukamatwa na mkewe. Lakini, akaamua kubadilika, kutulia na kujenga uaminifu ili kuimarisha familia yake. Lakini, mkewe sasa akaamua kufanya kitu kama kisasi. Hakushikika!

Yawezekana ndiyo sababu ya Dr. Tshube kujaribu kuvumilia mengi yanayoonekana kutovumilika.

Kuna sehemu aliongea kwa uchungu sana namna ambavyo anajitahidi kupambana na maisha ili kumpa mahitaji yake ikiwemo kuwa wa kisasa mitandaoni na kwenda kila tukio.

Tshube alilalamika, tatizo kubwa ni simu ya mkewe. Mara nyingi inawekwa Flight Mode akiwa nyumbani, na ikitokea simu ikaingia mkewe hawezi kuongea nayo akiwepo. Akakiri wamekwama kwenye usaliti ambao si ajabu ndiyo utakaowamaliza.

Kuna jamaa alimkamata naye, ghafla akawa haonekani simuni. Tshube alipopeleleza akagundua bibie amembadilisha jina kwenye contacts. Mke akajitetea kuwa ni rafiki tu kwa sasa hawakutani tena kimwili. Dokta akasema hadanganyiki. Akaweka kilugha chao hapo, ke lebile hela yaana. Paparazzi nikatoka kapa.

Inaonekana Tshube aliunganisha whatsapp ya mkewe na simu yake kwa hiyo akawa anajua kinachoendelea moja kwa moja. Rafikiye alimsihi aachane na kumfuatilia kwa njia hiyo, kwani itamuua ikiwa yeye Tshube alikuwa kupambana kujiponya msongo.

Tshube alisema itamfanya ashindwe kujua kinachoendelea. Akakiri kukosea na kujitahidi kujirekebisha kwa alichofanya mwanzo. Kwa kudhihirisha hilo, ameiacha simu yake wazi, jambo ambalo mkewe ameshindwa. Aliitafuta password mpaka kaipata na kuongeza password ya kidole kwenye simu ya mkewe bila mke kujua.

Alisema, anaona jitihada ndogo mno kwa mkewe kumdhihirishia kuwa anarekebisha makosa yake kama yeye alivyojitahidi kujirekebisha baada ya kukosea kwa sababu anajua anahitajika kurejesha ule uaminifu wote. Kwa namna msongo ulivyomtafuna hata Therapy aliiona kama uzushi tu. Hatari sana!

Tshube na watoto wake wamezikwa leo Tar. 4 Machi, 2023
-------------

Ni mkasa ulioacha maswali mengi.
Kwa nini Dr. Mellus Tshube aue watoto?
Amefanya hivyo ili kumwadhibu mkewe, Bi. Boipelo?
Adhabu inayoondoa maisha ya watoto wasio na hatia?
Ameishi na hii hali na msongo huu akiteseka kwa muda gani?

Kila kitu kimezama. Namna hiyo.
Kila kitu kimeenda; ndoto, furaha, mipango na kila alichokipambania.

Aliyeonekana kuwa kawaida, hakuwa kawaida.
Walioonekana kuwa na furaha , hawakuwa na furaha.
Watoto wasiohusika kwenye usaliti, wameadhibiwa pasi na kosa.

Usaliti unauma sana. Usaliti ni kitu rahisi ukitenda si ukitendewa.

Sijui mkewe ana hali gani baada ya tukio hili. Wanaume wenzake wanajisikiaje sasa?

Wanasema mkewe kama alishindwa kusamehe, asingelipa kisasi hivi.
Wanasema wanawake tulieni basi. Hapa wanasema wanapoondoa dhana kuwa mwanaume alicheat. Kuna wanawake utulivu ni sifuri.

Basi walau kama Dokta hakuona mabadiliko kama aliyoyafanya yeye baada ya kukosea, angemtaliki tu.

Wanasema... wanasema... wanasema hivyo lakini ndiyo imeshatokea.

Huu ndiyo mkasa wa Dr. Mellus Tshube.
Mbotswana aliyeua watoto wawili na kujiua sababu ya mkewe.
Mijitu tunaiambia , oeni, zaeni , ila msifunge ndoa!
 
Ndoa ni changamoto,nilivyoona Mke wangu hatuelewani ugomvi kila siku nilijua kinachofuata ni kama haya ya kuuana,nilimuachia nyumba ikiwa na kila kitu,nikawasha gari na kwenda kukaa sehemu nyingine kuanza maisha upya,leo ni miaka 12 kila mtu na maisha yake
Labda useme hiyo nyumba umewaachia watoto, kwamba ulimuacha na watoto.., otherwise haiwezekani
 
Ndoa ni changamoto,nilivyoona Mke wangu hatuelewani ugomvi kila siku nilijua kinachofuata ni kama haya ya kuuana,nilimuachia nyumba ikiwa na kila kitu,nikawasha gari na kwenda kukaa sehemu nyingine kuanza maisha upya,leo ni miaka 12 kila mtu na maisha yake
Je? Hamkuwa na watoto?
 
Ni jambo la kusikitisha na kutia uchungu sana!

Najaribu kutafakari, alipokuwa anawanyonga watoto, je, aliwalaghai kwa kuwasimamisha kwenye viti, na kuwavalisha vitanzi, ndipo akatoa viti na watoto kuning'inia na hatimaye kufa?

Kujiuliza huku kunafuatia kutoamini ukatili ambao sisi wanaume tunaufanya! Huyu Dr alikuwa katili kuliko mnyama simba au chui. Ni kweli alipitia wakati mgumu na kufikia kutoweza kuivumilia hali ile (tolerance limit), lakini kitendo cha kuwaua watoto kinadhihirisha alikuwa na tatizo lingine, tofauti na mgogoro wa ndoa.

Kama mtu ameshindwa kuvumilia tension fulani, si ajiue peke yake? Unaua watoto, wanakosa gani au wanahusika vipi na mgogoro wako? Na mgogoro wenyewe yawekana chanzo chake ni wewe mwenyewe (kama ilivyokuwa kwa Dr Shube), halafu unaua na wasiohusika!

Wengi wamefanya matukio ya kuu nia watoto kabla ya kujimaliza wenyewe. Wamekuwa wakiwaua watoto wao kwa namna tofauti tofauti; wapo wanaowapa sumu watoto wao (hili wanafanya sana akina mama), na wapo wanaowaua watoto wao kwa kuwapiga na vitu vizito.

Tujitahidi kushindana na msongo utokanao na tofauti kwenye ndoa zetu, na tusiwahusishe watoto wetu kwa namna yoyote ile kwenye migogoro ya ndoa zetu! Unanyonga watoto wadogo (malaika) wasiojua lolote! Inatia uchungu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment inaonyesha wewe ni mtu katili ma dhaifu kuliko huyo Dokta.

Wakati yeye kajiua inawezekana wewe ungeona umedharirishwa sana kama mwanaume na hivyo kupoteza hadhi ya uanaume na matokeo yake huenda ungeamua kutafuta mwanaume na kuanzisha mahusiano naye ukiona kuwa kama mkeo ndiyo njia ya kiungwana kuepusha majanga
 
Je hao watoto ni wa Dokta au wa mojawapo ya mchepuko ya huyo mama. Je Walipima vinasaba? Maana hii hasira ya dokta kwa kweli haingii akilini.
 
Je hao watoto ni wa Dokta au wa mojawapo ya mchepuko ya huyo mama. Je Walipima vinasaba? Maana hii hasira ya dokta kwa kweli haingii akilini.
Haijawahi kukutokea ndio maana unasema au unawaza hivyo hakuna muda huo wakati huo,
 
huenda labda alifungwa akil (kumwacha alishindwa) maana wanawake ni shida,ila huyo jamaa atauaje watoto wasio na hatia? je aligundua sio dam yake?, kwanin hakumwacha aende zake?
 
Ni jambo la kusikitisha na kutia uchungu sana!

Najaribu kutafakari, alipokuwa anawanyonga watoto, je, aliwalaghai kwa kuwasimamisha kwenye viti, na kuwavalisha vitanzi, ndipo akatoa viti na watoto kuning'inia na hatimaye kufa?

Kujiuliza huku kunafuatia kutoamini ukatili ambao sisi wanaume tunaufanya! Huyu Dr alikuwa katili kuliko mnyama simba au chui. Ni kweli alipitia wakati mgumu na kufikia kutoweza kuivumilia hali ile (tolerance limit), lakini kitendo cha kuwaua watoto kinadhihirisha alikuwa na tatizo lingine, tofauti na mgogoro wa ndoa.

Kama mtu ameshindwa kuvumilia tension fulani, si ajiue peke yake? Unaua watoto, wanakosa gani au wanahusika vipi na mgogoro wako? Na mgogoro wenyewe yawekana chanzo chake ni wewe mwenyewe (kama ilivyokuwa kwa Dr Shube), halafu unaua na wasiohusika!

Wengi wamefanya matukio ya kuu nia watoto kabla ya kujimaliza wenyewe. Wamekuwa wakiwaua watoto wao kwa namna tofauti tofauti; wapo wanaowapa sumu watoto wao (hili wanafanya sana akina mama), na wapo wanaowaua watoto wao kwa kuwapiga na vitu vizito.

Tujitahidi kushindana na msongo utokanao na tofauti kwenye ndoa zetu, na tusiwahusishe watoto wetu kwa namna yoyote ile kwenye migogoro ya ndoa zetu! Unanyonga watoto wadogo (malaika) wasiojua lolote! Inatia uchungu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Thats worst part of it. Kuua watoto. Tena kuwaua kwa kifo cha mateso hivyo. Afya ya akili inaua.
 
Kila kitu ni nature, nature ndio iliamua hivyo.
Rest In Piece Dr.
Rest In Piece kids
 
Pole man!

Just Run!run and restart Life!!

Hiyo Ndio Njia PEKEE ya kujiokoa kwasisi tuliofanya makosa ya kuanzisha familia!!!

Run,Run goo wherever !muache na Watoto uwe unatuma matumizi tu KWA Watoto WAKO!!

Run just Run,are you listening boy!!!

You cant win if she has decided to spoil it!!

Run I say run!!
He got his gun and they start runnin' hard,
He started firing and then he just charged,
Run niqqa run niqqa
Duck niqqa duck niqqa
Run motherfanta run
 
Hii comment inaonyesha wewe ni mtu katili ma djaifu kuliko huyo Dokta.

Wakati yeye kajiua inawezekana wewe ungeona umedharirishwa sana kama mwanaume na hivyo kupoteza hadi ya uanaume na matokeo yake huenda ungeamua kutafuta mwanaume na kuanzisha mahusiano naye ukiona kuwa kama mkeo ndiyo njia ya kiungwana kuepusha majanga
Sijuwi jinsia yako, lakini inaonekana hivi ni visa, na sijuwi unachotaka. Jiepushe na mambo yasiyo ya msingi; hayakusaidii lolote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo akaona asiwaache watoto wake...akaona bora aende nao! Ile kampeni ya katas ndoa inaendelea kupata nguvu.
 
Ndoa ni changamoto,nilivyoona Mke wangu hatuelewani ugomvi kila siku nilijua kinachofuata ni kama haya ya kuuana,nilimuachia nyumba ikiwa na kila kitu,nikawasha gari na kwenda kukaa sehemu nyingine kuanza maisha upya,leo ni miaka 12 kila mtu na maisha yake
Hongera

Maamuz sahihi ulifanya

Ova
 
Alikuwa kawaida tu.

Hakuonekana kuwa na msongo wa mawazo.

Aliendelea na shughuli zake za kila siku kama kawaida. Hata, Feb 2 mwaka huu, alipost picha akiwa na mkewe katika hali ya mahaba.

Alikuwa baba wa familia ya watoto wawili; kijana Isago Tshube (7) na binti Entle Tshube (2) na mume wa Bi. Boipelo Gala Tshube.

Tunamzungumzia Dokta Mellus Tshube.
Daktari kijana tu aliyeacha simulizi ya kusikitisha sana kwa wakazi wa jiji la Gabarone, Botswana. Jumamosi ya wiki iliyopita.

ILIKUWAJE?
Inasemwa, kulikuwa na kutokuelewana baina ya wanandoa hawa, Tshube na mkewe, mchana wa siku ya Jumamosi.

Huko kutokuelewana kukazalisha vita ya majibizano iliyoendelea mpaka jioni. Vita baina yao ilipochemka barabara na kuiva wakati huo usiku ukiwa umeshabisha hodi, Tshube alimtimua mkewe ndani ya nyumba kisha yeye akajifungia ndani na watoto wao wawili.

Akiwa huko ndani, Tshube alianza kutuma meseji kwa marafiki, familia na majirani. Meseji za kuwajulisha juu ya uamuzi wake wa kuukatiza uhai wake. Aliingia hadi Facebook akaandika majina ya watu aliowatuhumu kutembea na mkewe, akamalizia na neno I'm out! Yaani kama vile anawasusia huyo mwanamke moja kwa moja.

Huku nje, Bi. Boipelo hali ilikuwa moja haikai mbili haisimami. Alikimbilia kwa majirani kwa mayowe ya kuomba msaada akihofia mumewe anaweza kweli kufanya kitu kibaya kwake na watoto aliojifungia nao ndani, huku akituma meseji za kuigongea hodi akhera.

Wakapiga simu polisi.
Ambapo mpaka wanafika, tayari Dr. Mellus Tshube alikuwa ameshawaua watoto wake wawili na yeye kujinyonga.

Walivunja mlango wakaingia ndani. Wakakuta miili ya watoto imelala chini kama vipande vya kuni, ikiwa haina uhai tena. Mwili wa baba yao ukiwa unaning'inia darini, kwenye kile kisehemu ambacho huwa kinabaki kama kimlango cha kuingilia huko darini. Huku vipande vya kamba viwili vilivyobakia baada ya kukatwa vikiwa vinaning'inia karibu yake.

Kwamba, aliwanyonga watoto wake kwanza, walipokata roho akakata kamba alizowanyongea vikabaki vipisi juu, miili ikaenda sakafuni, akapanda yeye kujimaliza. Pasi huruma wala majuto.

Polisi wanasema, simu yake ya mwisho kupiga ilikuwa saa sita na nusu hivi usiku. Alimpigia mwanafamilia.

Basi, ikabidi Boipelo apelekwe nyumbani kwao kwa ajili ya usalama wake. Ilhali, wale waliotajwa na marehemu katika ile post ya Facebook wakitakiwa kuhojiwa ili kuisaidia polisi. - source gazeti la Botswana Guardian.

TATIZO LILIKUWA NINI HASA?

Wivu wa mapenzi?
Wanasema hivyo. Mwanamke alikuwa na watu. Alikuwa ana-flirt nao. Mwingine mpaka Dr. Tshube alikwenda kumwomba akae mbali na mkewe. Ikawa kama kumpigia mbuzi zumari. Yaani, mke wa mwenzake alikuwa kama mkewe ilhali naye ni mume wa mtu.

Hilo, lilimuuma mno Dr. Tshube. Kudharauliwa na mwanaume mwenzake waziwazi. Ilimchoma tumbo na utumbo.

Katika kusakanya taarifa zaidi. Nikagongana na habari kutoka kwa rafiki wa karibu wa Dr. Tshube ambaye alishare ujumbe wa mazungumzo kati yao. Zilikuwa Meseji za marehemu juu ya hali ya ndoa yake ilivyokuwa.

Katika moja ya meseji alizotuma Dr. Tshube kwa rafiki yake enzi za uhai wake, ilikuwa ni ya malalamiko juu ya tabia ya mkewe.

Katika meseji hizo inaonekana Tshube aliwahi kufanya usaliti a.k.a ku-cheat na kukamatwa na mkewe. Lakini, akaamua kubadilika, kutulia na kujenga uaminifu ili kuimarisha familia yake. Lakini, mkewe sasa akaamua kufanya kitu kama kisasi. Hakushikika!

Yawezekana ndiyo sababu ya Dr. Tshube kujaribu kuvumilia mengi yanayoonekana kutovumilika.

Kuna sehemu aliongea kwa uchungu sana namna ambavyo anajitahidi kupambana na maisha ili kumpa mahitaji yake ikiwemo kuwa wa kisasa mitandaoni na kwenda kila tukio.

Tshube alilalamika, tatizo kubwa ni simu ya mkewe. Mara nyingi inawekwa Flight Mode akiwa nyumbani, na ikitokea simu ikaingia mkewe hawezi kuongea nayo akiwepo. Akakiri wamekwama kwenye usaliti ambao si ajabu ndiyo utakaowamaliza.

Kuna jamaa alimkamata naye, ghafla akawa haonekani simuni. Tshube alipopeleleza akagundua bibie amembadilisha jina kwenye contacts. Mke akajitetea kuwa ni rafiki tu kwa sasa hawakutani tena kimwili. Dokta akasema hadanganyiki. Akaweka kilugha chao hapo, ke lebile hela yaana. Paparazzi nikatoka kapa.

Inaonekana Tshube aliunganisha whatsapp ya mkewe na simu yake kwa hiyo akawa anajua kinachoendelea moja kwa moja. Rafikiye alimsihi aachane na kumfuatilia kwa njia hiyo, kwani itamuua ikiwa yeye Tshube alikuwa kupambana kujiponya msongo.

Tshube alisema itamfanya ashindwe kujua kinachoendelea. Akakiri kukosea na kujitahidi kujirekebisha kwa alichofanya mwanzo. Kwa kudhihirisha hilo, ameiacha simu yake wazi, jambo ambalo mkewe ameshindwa. Aliitafuta password mpaka kaipata na kuongeza password ya kidole kwenye simu ya mkewe bila mke kujua.

Alisema, anaona jitihada ndogo mno kwa mkewe kumdhihirishia kuwa anarekebisha makosa yake kama yeye alivyojitahidi kujirekebisha baada ya kukosea kwa sababu anajua anahitajika kurejesha ule uaminifu wote. Kwa namna msongo ulivyomtafuna hata Therapy aliiona kama uzushi tu. Hatari sana!

Tshube na watoto wake wamezikwa leo Tar. 4 Machi, 2023
-------------

Ni mkasa ulioacha maswali mengi.
Kwa nini Dr. Mellus Tshube aue watoto?
Amefanya hivyo ili kumwadhibu mkewe, Bi. Boipelo?
Adhabu inayoondoa maisha ya watoto wasio na hatia?
Ameishi na hii hali na msongo huu akiteseka kwa muda gani?

Kila kitu kimezama. Namna hiyo.
Kila kitu kimeenda; ndoto, furaha, mipango na kila alichokipambania.

Aliyeonekana kuwa kawaida, hakuwa kawaida.
Walioonekana kuwa na furaha , hawakuwa na furaha.
Watoto wasiohusika kwenye usaliti, wameadhibiwa pasi na kosa.

Usaliti unauma sana. Usaliti ni kitu rahisi ukitenda si ukitendewa.

Sijui mkewe ana hali gani baada ya tukio hili. Wanaume wenzake wanajisikiaje sasa?

Wanasema mkewe kama alishindwa kusamehe, asingelipa kisasi hivi.
Wanasema wanawake tulieni basi. Hapa wanasema wanapoondoa dhana kuwa mwanaume alicheat. Kuna wanawake utulivu ni sifuri.

Basi walau kama Dokta hakuona mabadiliko kama aliyoyafanya yeye baada ya kukosea, angemtaliki tu.

Wanasema... wanasema... wanasema hivyo lakini ndiyo imeshatokea.

Huu ndiyo mkasa wa Dr. Mellus Tshube.
Mbotswana aliyeua watoto wawili na kujiua sababu ya mkewe.
Pole yake ila kawakosea watoto angejiua peke yake maana ukute wao bila shaka walikuwa bado wanataka kuishi sasa kisa yeye kachoka maisha kaamua nao wakose maisha.
 
Back
Top Bottom