Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Yawezekana hata bado unapangisha/ mpangaji huku unalipia uzinzi 40,000 karibu cement tatu kama upo dar. Chakula na nauli 110,000, labda mwanao anasoma st kayumba.
Duuh Magufuli anakazi kwelikweli
Dah...akili za ajabu sana hizi...mbona unachanganya mambo? Yeye alikwambia hizi pesa ni za kununulia cement au kulipia ada? Hebu jifunze kuheshimu bajeti za watu bana[emoji4]
 
Huyo demu wako mpo nae hadi sasa?
 
Chakufanya ungemtarifu mapema kwamba mm huku nimeshachukua chumba hata kama ulikuwa hujachukua ili usikie anasemaje
 
Nyapu zao na ww unamoyo huo ujanja ulosha pitwa na wakati ingewaacha wajilipie wao wale walikuja kukukomesha
 
Na akili zako timamu..unaopost ujinga ka huu..acheni utoto
 
ha hah aha basi raha .. kumbe mzigo unao home ila unataka vya mtaani koma
Baby mimi siko hivyo,bora nilete mbege na kitochi nyumbani tuburudike mimi na wewe tu,watoto tunapeleka kwa auntie yao kucheza ili sisi tumtoe yule mchonganishi mwilini mwetu au vipi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…