Mkasa: Nilifunga safari kwenda kuonana na demu ambaye hatukuwahi kuonana kabla

Me nilikua na bahati sna.nilipataga mtoto wa zanaki tukajenga mahusiano akawa ikiwa hana simu anatumia ya rafiki zake .kushtuka nikatafuna rafiki zake3!!!yaan sikuwahi kuokota tikiti maji kwenye iko kipindi.mwinginevalikuaga mwanafunzi wa form4 aiseee sitokuja kumsahau yule mtoto.alinifanya kidogo nichizike.maana ilikua mnapiga show za kibabe na alikua fundi sikypata kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, heri yangu niliyekariri kamsemo kuwa "Shopping for the cheap deal can be more expensive in the long run"
 
Naisubiria kwa hamu sana
 

Mkuu Saint Vuga kwani bado hujapata Idhini kutoka kwa Relato ya kuanzisha thread ya hayo matukio yako?
Tumekua tukisubiri Thread ya Matukio yako kwa Miaka 3 sasa, tunakuomba Relato toa Idhini kwa Saint Vuga ili alete hayo matukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…