Mkapa signed bad mining deals, Magufuli wants to bury them, but legally he can’t

Umemuelewa?! The problem nyie watu ama huwa hamuelewi watu wanaongea nini au mnajifanya hamuelewi!! Rudia kusoma hapa:Hoja ya wale mnaowaona wanatetea wezi ipo hapa!!!

Kwa mfano, mkataba wa Acacia unawapa haki ya kusafirisha makinikia.

Taasisi za serikali ndizo zilibariki viwango vya madini mbalimbali yaliyomo kwenye makinikia!

Aidha, ni taasisi hizo hizo za serikali ndizo hukagua na kusema "everything is fine."

Hapo ndipo ina-cover Ulimwengu aliposema "....to accept as its own obligations commitments made by its predecessors."

Kama ndivyo, ili kuwabana hawa jamaa JPM alitakiwa ku-play by the rules ili wasiwe na pa kutokea!!!

Kwa mfano, Acacia wanadai hawakushirikishwa kwenye kupima zile mineral compositions. Sasa kama ni kweli hawakushirikishwa, unafikiri ni mahakama gani inaweza kukubali utafiti uliofanywa na upande mmoja?!

Hivi kulikuwa na taabu gani kuwashirikisha Acacia kwenye kila hatua hususani zile za kuchukua samples na kuzipima?! Hivi unadhani kama Acacia wangeshirikishwa kwenye uchukuaji wa samples na kwenda kuzipima hadi kutoka kwa results leo hii wangekuwa na pa kutokea?!

Kama ingefanyika hivyo ingeonekana ni Acacia ndio waliovunja makubaliano kwa kudai makanikia yana kiwango X cha madini wakati kumbe kuna X+n!!! Kinyume chake, leo hii Acacia ana kila sababu na haki ya kuikataa ripoti kama kweli hawwakushirikishwa!

PLAYING BY THE RULES!!!!
Tunaelewa sana usifikiri hatuelewi kilichoandikiwa.

Tunachosema kwanini kuwe na taarifa potofu kuhusu kilichopo ndani aidha kimeidhinishwa na Serikali au la hiyo siyo issue kwasababu tunajua kilichokuwa kinaendelea kupitia Mgongo wa Serikali.

Hata kama acacia wana haki kisheria kusafirisha makinikia hilo linajulikana wala halina shida.

Hapa tunataka kujua kwanini taarifa zilizokuwa zinaandikwa hazikuwa na ukweli kuhusu kilichokuwa ndani ya makontena mpaka Tume imeyaona yote hayo.
 
Which report you are talking about?

Have you read and understood what Jenerali wrote?
Its difficult for most of us to argue in English though the article by ulimwengu has been understood. Madam faiza we are product of shule za kata at least a little bit of encouragement from you would help for us who don't have the balls to reply in English. My apologies for broken English
 
Slowly by slowly he will suçceed let him first start by IPTL.

Andekini sana maoni yenu mpeleke EWURA wanyimwe licence wakisha nyimwa wana liuza na serikali ina linunua at depreciated price tunapina wizi wa mataba mbovu lakini mpaka tujiakikishie kuwa ni lao.

Kwanza sijuhi kama kesi ya IPTL na owner a mwanzo imeisha. TIndu Lisu atujuze hapa tusije tukatapeliwa tena kama ESCROW.
 
Jenerali Ulimwengu hilo sisi wala Rais Magufuli halitutishi kabisa.Serikali inajua kabisa Kuna mikataba mibovu kuhusu madini.

Lakini Pamoja na mikataba mibovu Rais Magufuli hakubali watu na wawekezi kutumia mwanya huo kutuibia Sasa hata pale ambako walitakiwa kutenda haki.

Wawekezaji wache waende tu ktk mahakama za kimataifa kwa Rais Magufuli sio issues kwake kabisa.
Tunaibiwa kisheria mkuu.. usiifanye shingo ngumu kushabikia upuuzi..!!
 
Kuna watu hawamuogopi simba, lakini haina maana hawawezi kuuawa na simba. Kiongozi yeyote anahitaji walamba miguu na wanaomkanyaga vidole vya miguu.
Mkuu, mimi huwa nawapenda sana watu ambao sio waoga. Ni ngumu sana kuamini kama bado viongozi wa Afrika wanataka waishi maisha ya kunyenyekewa na kuogwa.
 
Kwa hiyo ameandika kwa kingereza ili kuwapa wazungu siri zote au ameandikia watanzania...kwa nini asingeandikia kwa kiswahili kma kweli ana uzalendo...na huu ujumbe anataka kumfikishia nani
 
Tunaelewa sana usifikiri hatuelewi kilichoandikiwa.

Tunachosema kwanini kuwe na taarifa potofu kuhusu kilichopo ndani aidha kimeidhinishwa na Serikali au la hiyo siyo issue kwasababu tunajua kilichokuwa kinaendelea kupitia Mgongo wa Serikali.

Hata kama acacia wana haki kisheria kusafirisha makinikia hilo linajulikana wala halina shida.

Hapa tunataka kujua kwanini taarifa zilizokuwa zinaandikwa hazikuwa na ukweli kuhusu kilichokuwa ndani ya makontena mpaka Tume imeyaona yote hayo.
Thats the question mkuu!
 
Tunaelewa sana usifikiri hatuelewi kilichoandikiwa.

Tunachosema kwanini kuwe na taarifa potofu kuhusu kilichopo ndani aidha kimeidhinishwa na Serikali au la hiyo siyo issue kwasababu tunajua kilichokuwa kinaendelea kupitia Mgongo wa Serikali.

Hata kama acacia wana haki kisheria kusafirisha makinikia hilo linajulikana wala halina shida.

Hapa tunataka kujua kwanini taarifa zilizokuwa zinaandikwa hazikuwa na ukweli kuhusu kilichokuwa ndani ya makontena mpaka Tume imeyaona yote hayo.
Kuna kitu watu ni wagumu kukielewa, na ninahisi na wewe hujakielewa.

Serikali mnamlalamikia nani kwamba kilichomo ndani sio sahihi ikiwa wao ndio waliosign kilichomo ndani ni sahihi na kisafirishwe?

Au haujui kuwa kuna waangalizi wa serikali huko migodini?
 
Tunaelewa sana usifikiri hatuelewi kilichoandikiwa.

Tunachosema kwanini kuwe na taarifa potofu kuhusu kilichopo ndani aidha kimeidhinishwa na Serikali au la hiyo siyo issue kwasababu tunajua kilichokuwa kinaendelea kupitia Mgongo wa Serikali.

Hata kama acacia wana haki kisheria kusafirisha makinikia hilo linajulikana wala halina shida.

Hapa tunataka kujua kwanini taarifa zilizokuwa zinaandikwa hazikuwa na ukweli kuhusu kilichokuwa ndani ya makontena mpaka Tume imeyaona yote hayo.
Hizo taarifa zilizokuwa zinaandikwa wakati hazikuwa za kweli source yake ni wapi?!

Tafuta Ripoti ya TMAA... hii ni agency iliyopo wizara ya nishati na madini. Hawa huwa wanatoa ripoti kila mwaka. Na ni hawa ndio wali-conclude kwamba it's not viable kuwa na copper concentrates smelters Tanzania.

Mwaka 2011 walitoa ripoti iliyotaja, pamoja na mambo mengine, kiasi cha madini mbalimbali yaliyomo kwenye makinikia! Walichoandika wao ndicho hicho hicho kinachoripotiwa na Acacia.

Na ni kutokana na ukweli huo ndio maana nikasema karibu kila kitu kimebarikiwa na serikali. Kama ndivyo, ndo maana watu wanasema kwa sababu serikali haiwezi kukwepa huo uovu basi walitakiwa ku-play by the rule na hivyo kuwakosesha Acacia cha kuongea!
 
Umetoka kapa Mzee . . ?!
Not me, your excellency, What I wanted to say was that, whn you are addressing Tanzanians and you want your message to reach them, you had to address them in a language that majority of them may get the message, sasa hii message ni kma amewandikia Accasia make wabongo wengi, English is a problem na yeye aliyeandika huwa anajiita mzalendo, thats the point I wanted to make mkuu.
 
Kwa hiyo ameandika kwa kingereza ili kuwapa wazungu siri zote au ameandikia watanzania...kwa nini asingeandikia kwa kiswahili kma kweli ana uzalendo...na huu ujumbe anataka kumfikishia nani
Kwani tundu lissu aliongea kiingereza?!
 
Back
Top Bottom